Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Nani aliwahitoka mahabusu kwenda kwenye mazishi ya mama ama baba yake ama mtoto wake? Kwani watu wangapi waafiwa wakiwa magerezani lini wakaachiwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio report ya daktari inavyosema au umejiongeza na kile kimsemo MTANZANIA mpe muktasari tu NEWS anatiririka
Jibu nilichokuulizaTuambie wewe report ya daktari inasemaje kuhusu chanzo cha kifo…!
Nani kakwambia akili imewarudia.Mkuu tetea uovu maana uko mezani kwa mfalme na sahani yako imejaa mlo wa kutosha, na namna nzuri ya huo mlo ili uweze kushuka utakavyo ni pamoja na kujenga hoja ya kuutetea huo uovu. Hata akina Mwigulu, Nape, Januari nk walikuwa wanatetea uovu enzi za JK wakiwa mezani kwenye mlo kama ww. Ila hiyo warmup inayowakuta hivi sasa akili imewarudia.
Basi wafungwa na watuhumiwa wote wakifiwa waiombe jamhuri udhuruTusiwe kama uncivilized society in a modern world kwani akiruhusiwa kumzika mama yake itaipunguzia nn jamhuri?
Embu nisaidie kupiga mstari kwa kunielezea akili imewarudi kiaje, wamehama chama? La hasha, wametangaza kushindana nae urais ticket ya ccm 2020, la hasha.Unauliza au unapigia jibu mstari?
Ni MBWA pekee anaweza kutoa maoni haya!Kwani alizaliwa peke yake? Lini mshitakiwa aliwahi ruhusiwa kwenda kwenye mazishi? Au hii iwe special kwa huyu, mwandishi habari? Wakulima je? Wafugaji je?
Tusiishie kusikitika, tuepuke kujiingiza kwenye mambo ya kujitakia. Kulikuwa na kila njia ya kuachana na hayo lakini naona alijivunia ushujaa.
Uhuni huo kafanyie kijijini kwenu!Mungu ndiye aliyesema tiini sheria za wanadamu na tiini wenye mamlaka! Huyu kavunja sheria ina maana kavunja amri ya Mungu na wanadamu. Sasa unaposema Mungu atakulipia mi sikuelewi.
Katika utawala huu wa Magufuli, Tanzania imekuwa ni Taifa la kidikteta lisilojali Utu,Haki,Usawa na Sheria kwa raia wake.
Anayotendewa Erick ni zaidi ya Unyama na Ukaburu ulokuwa unafanywa na Makaburu wa enzi za Utawala wa weupe wachache nchini Afrika Kusini.
Mtu kafiwa na mamake mzazi tena kuna uwezekano mkubwa kifo cha mama huyu kitakuwa kimechangiwa na Utawala huuhuu! Huu ni ukatili wa hali ya juu sana.
RIP Mama Mujahwuzi na pole sana Erick! Mungu ndiye atakayekulipia kwa watesi wako.
Embu nisaidie kupiga mstari kwa kunielezea akili imewarudi kiaje, wamehama chama? La hasha, wametangaza kushindana nae urais ticket ya ccm 2020, la hasha.
Akili imewarudije, fafanua tafaadhali, so called great thinker.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni woga wa kuogopa kivuli, kwani wanasiasa sio watanzania eti wasiongelee udhalimu wa dola, unataka nani sasa aongee, mbona rais wenu anafanya kampeni za siasa mpaka usiku wa manane yeye hatafuti turufu ?, halafu anatuambia kazi ya urais ngumu eti huwa inafika usiku wa manane hajalala, wewe saa nane usiku unapiga simu wavuta bangi kwenye ukumbi wa disco utaacha kuwa na uchovuwanasiasa walipaswa kukaa kando sasa hivi wanachukulia msiba wa Mama Kabendera kama turufu yao kisiasa wakati anayeathirika ni kabendera kwanza kwa kufiwa na mwanae na pili kuendelea kukaa ndani wanapoanza kutoa kauli za kuishambulia dola anayeathirika ni Kabendera na sio wao
Who is kabendera? Watuhumiwa wangapi wamefiwa na hawajaenda kuzika? Hata kasusura alifiwa na hakuruhusiwa, isiwe huyu mwenye makosa makubwa hivyo? Amejitakia, na hawa wapinzani wanajifanya kuuchukua msiba kama wao, ingekuwa mimi ndio mahakam nisingemtoa kamwe ili walio nyuma yake wajifunze. Hii sio serikali ile iliyoitwa dhaifu na legelege, mtaisoma namba, walisema akina mnyika tena bungeni kwamba anatakiwa dikteta, sasa wewe unalalamika
Ni punguwani ndo anaweza kumsifia mbwa kuwa na uwezo wa kutoa maoni.Ni MBWA pekee anaweza kutoa maoni haya!
Kwahiyo kabendera ni mfungwa? Huyo ni suspect,hivyo dhamana mahakamani ni haki ya mtuhumiwa.Kwani dhamana iliwekwa kwa ajili ya wafungwa au watuhumiwa? Tumia akili kidogo boss!
Siyo kila mtuhumiwa ana haki ya dhamana mkuu. Inategemea na shitaka aliloshitakiwa nalo!Kwahiyo kabendera ni mfungwa? Huyo ni suspect,hivyo dhamana mahakamani ni haki ya mtuhumiwa.