Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Nani aliwahitoka mahabusu kwenda kwenye mazishi ya mama ama baba yake ama mtoto wake? Kwani watu wangapi waafiwa wakiwa magerezani lini wakaachiwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
We acha kuongea kamlevi wa gongo…!
Kumbuka Mahabusu bado siyo mfungwa mpaka pale MAHAKAMA itakapo thibisha vinginevo!
Juzi kule Kenya tulishuhudia yule mama Sarah aliyemwua mmewe wa Kizungu akiruhusiwa na Mahakama kwenda kushiriki mazishi ya mmewe! Je huyo hakuwa mahabusu?Au Wakenya ni wajinga sana kuliko Watz?