Tusiwe kama uncivilized society in a modern world kwani akiruhusiwa kumzika mama yake itaipunguzia nn jamhuri?Kwani alizaliwa peke yake? Lini mshitakiwa aliwahi ruhusiwa kwenda kwenye mazishi? Au hii iwe special kwa huyu, mwandishi habari? Wakulima je? Wafugaji je?
Tusiishie kusikitika, tuepuke kujiingiza kwenye mambo ya kujitakia. Kulikuwa na kila njia ya kuachana na hayo lakini naona alijivunia ushujaa.
Huyo ni anasapoti lolote linalofanywa na serikali' huyo huyo kabendera akiteuliwa atasifia. UsijichosheMkuu tetea uovu maana uko mezani kwa mfalme na sahani yako imejaa mlo wa kutosha, na namna nzuri ya huo mlo ili uweze kushuka utakavyo ni pamoja na kujenga hoja ya kuutetea huo uovu. Hata akina Mwigulu, Nape, Januari nk walikuwa wanatetea uovu enzi za JK wakiwa mezani kwenye mlo kama ww. Ila hiyo warmup inayowakuta hivi sasa akili imewarudia.
Mahakama Bado Haijathibitisha Kama Jamaa Alifanya Hayo Wewe Tayari Ushaweka Conclusion.Kwani alizaliwa peke yake? Lini mshitakiwa aliwahi ruhusiwa kwenda kwenye mazishi? Au hii iwe special kwa huyu, mwandishi habari? Wakulima je? Wafugaji je?
Tusiishie kusikitika, tuepuke kujiingiza kwenye mambo ya kujitakia. Kulikuwa na kila njia ya kuachana na hayo lakini naona alijivunia ushujaa.
Anaweza ruhusiwa au kutoruhusiwa,maana huyo si'mfungwa bali ni mshtakiwa aliyeko mahabusu.Kwani alizaliwa peke yake? Lini mshitakiwa aliwahi ruhusiwa kwenda kwenye mazishi? Au hii iwe special kwa huyu, mwandishi habari? Wakulima je? Wafugaji je?
Tusiishie kusikitika, tuepuke kujiingiza kwenye mambo ya kujitakia. Kulikuwa na kila njia ya kuachana na hayo lakini naona alijivunia ushujaa.
Please just give yourself a minute and think twice. " Where Shall I be by this TIME Tomorrow???????"Kwani alizaliwa peke yake? Lini mshitakiwa aliwahi ruhusiwa kwenda kwenye mazishi? Au hii iwe special kwa huyu, mwandishi habari? Wakulima je? Wafugaji je?
Tusiishie kusikitika, tuepuke kujiingiza kwenye mambo ya kujitakia. Kulikuwa na kila njia ya kuachana na hayo lakini naona alijivunia ushujaa.
Vipi hao washtaki wakiwa kwenye hali hio mara pa wamepigiwa Simu mama zao wako mochwari wamepata ajali vipi wataendelea na kesi ?Kwani alizaliwa peke yake? Lini mshitakiwa aliwahi ruhusiwa kwenda kwenye mazishi? Au hii iwe special kwa huyu, mwandishi habari? Wakulima je? Wafugaji je?
Tusiishie kusikitika, tuepuke kujiingiza kwenye mambo ya kujitakia. Kulikuwa na kila njia ya kuachana na hayo lakini naona alijivunia ushujaa.
Kavunja Sheria Ipi Boss??Mungu ndiye aliyesema tiini sheria za wanadamu na tiini wenye mamlaka! Huyu kavunja sheria ina maana kavunja amri ya Mungu na wanadamu. Sasa unaposema Mungu atakulipia mi sikuelewi.
Kwani alizaliwa peke yake? Lini mshitakiwa aliwahi ruhusiwa kwenda kwenye mazishi? Au hii iwe special kwa huyu, mwandishi habari? Wakulima je? Wafugaji je?
Tusiishie kusikitika, tuepuke kujiingiza kwenye mambo ya kujitakia. Kulikuwa na kila njia ya kuachana na hayo lakini naona alijivunia ushujaa.
Hii chuki mnayo pandikiza kwa wananchi kuna siku mtaivuna.Pole sana Kibendera, wote tunalipa kama tukitenda uovu na siyo wewe tu, Dunia iko hivyo, C’ est la vie!
It doesn’t matter legality is already reasonable to take care of such thinking!Please just give yourself a minute and think twice. " Where Shall I be by this TIME Tomorrow???????"
Nimeuliza. Huwainaruhusiwa? Je, imewahi tokea? Au tuanze na huyu anayeonekana ni mtu mashuhuri?Anaweza ruhusiwa au kutoruhusiwa,maana huyo si'mfungwa bali ni mshtakiwa aliyeko mahabusu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado sijajua sheria zetu tz zinasemaje kuhusu hili, nadhani DPP atakuwa ana play part kubwa hapa, na hata kama ikimuhusisha DPP still itachukua muda mrefu zaidi kumuandikia DPP kuhusu hiyo issue, but kwa humanitarian reasons nadhani itawezekana. Hii issue inanikumbusha tukio lililotea Kenya last yr mwanamke aliyetuhumiwa kumuua mume wake (marehemu alikuwa raia wa nje), aliruhusiwa kwenda kwenye mazishi na mahakama licha alikuwa mtuhumiwa mahabusu.Kwani alizaliwa peke yake? Lini mshitakiwa aliwahi ruhusiwa kwenda kwenye mazishi? Au hii iwe special kwa huyu, mwandishi habari? Wakulima je? Wafugaji je?
Tusiishie kusikitika, tuepuke kujiingiza kwenye mambo ya kujitakia. Kulikuwa na kila njia ya kuachana na hayo lakini naona alijivunia ushujaa.
Haya mambo yapo nchi nyingi tu sio Tz pekee