Hatuombeani mabaya ila itatafsirika vipi mchana huu kila mwendesha mashtaka aliyepo hapo kabla ya kusimamia hiyo "Jamhuri" kila mmoja akapata ujumbe kwenye simu yake "mama yako na mkeo wameaga dunia kwa kugongwa na gari la mkaa"?
Wataendelea kusubiri SAA za kesi kutajwa tena?
Mnaweza kuona ni hadithi, lakini Mungu akitaka kutoa fundisho anatoa tuu. Kitabu cha Kutoka Mungu alimwadhibu Farao kwa watoto wazaliwa wa kwanza kufa nchi nzima usiku mmoja kwa sababu ya moyo mgumu wa mtu mmoja.
Sent using
Jamii Forums mobile app