Mama huyu amekufa kutokana uonevu na kubambikiwa kesi kwa mwanaye. Hata hivyo bado na mambo hayo mabaya kutendeka, bado hata huruma kwa Kabendera haipatikani busara ya kwenda kumuaga mama yake mzazi. Huruma ipo kwa wabakaji, watuhumiwa wa uhujumu uchumi, majangili, wauwaji na wala si wabambikiwaji wa kesi za kisiasa kwa sura ya utakatishaji wa fedha.
Watesi na wadhulumaji wa haki za msingi wapo katika mikono salama ya Ibilisi. Kwa kuwa;
1. They are used already
2. They are misused by evil powers
3. They start to be abused
4. Indeed, they will end up be confused and perish to hell.
Sent using
Jamii Forums mobile app