Mimi sio mwanachama wa Chama chochote ila ni mpenda haki!Sikubaliani na yeyote anayekandamiza uhuru na haki za watu ambao wanatimiza majukumu yao kama walivyoruhusiwa na katiba!Mm sina ushabiki wa chama chochote hapa Tz, lakini chadema msipobadili aina ya mapambano yenu kwenye kudai hiyo demokrasia mnayoitaka bc mtaendelea kulia-lia milele na hamtofanikiwa. Endelea kupambana kwa ajili ya tumbo la mwanasiasa ashibe na mkipata shida hakuna atakayewajua
Hawa ndio watu 5000 tulioambiwa wametoka mikoa 20 ya nchini? Tehetehe.
Mm sina ushabiki wa chama chochote hapa Tz, lakini chadema msipobadili aina ya mapambano yenu kwenye kudai hiyo demokrasia mnayoitaka bc mtaendelea kulia-lia milele na hamtofanikiwa. Endelea kupambana kwa ajili ya tumbo la mwanasiasa ashibe na mkipata shida hakuna atakayewajua
Kamanda mbwakachoka!Tuliza makalio we bwege.
Mkuu hizi lugha za kujipa ushindi wa mezani tumezichoka.Chadema huijui wewe! Wamesema wanaandamana na wasipoandamana lakini Polisi wameacha kazi zingine na kuandamana wao wakiongozwa na Muliro.
Huoni huo ni ushindi?
Ukiona mtu anatoa mitusi hadi anachanganyikiwa jua ameishiwa hojaUnajivua sidiria yako ya mtumba. ! Mdude kaachiwa na SSH au na mahakama?
Unataka awe loyal baada ya kuteswa na asiseme tena?
Kajambe mbele huko...!
Nyie ndio watu ambao baba zenu waliungana na wakoloni tusipate uhuru mapema.
mwalimu yake chaki, mkulima jembe, askari yake bunduki mzee, unafeli wapi?Polisi ni waoga sana yaani wananchi wapo mikono mitupu wao na mabunduki kama wapo Somalia vile.
wewe utabaki milele?Hawa ccm na mapolisi wao watakufa midomo wazi.
Wewe je?wewe utabaki milele?
Bunduki inashikwa muda wote kama upo vitani? Kwani mwalimu anakuwa na chaki muda wowote?mwalimu yake chaki, mkulima jembe, askari yake bunduki mzee, unafeli wapi?
ndio bunduki inashikwa muda wote, huonagi wakilinda mabenki mda wote.Bunduki inashikwa muda wote kama upo vitani? Kwani mwalimu anakuwa na chaki muda wowote?
Sasa kwenye maandamano ya amani mibunduki nakujihami kote kama kuna vita nini shida?ndio bunduki inashikwa muda wote, huonagi wakilinda mabenki mda wote.
Hapo nimekubali,kwenye msitu wa mavux ya mamangu.
Bro, acha siasa. Umeishiwa hoja, ulitaka polisi waje na filimbi au.? Kuelewa umeelewa ila tuu unataka ubishani usio wa msingiBunduki inashikwa muda wote kama upo vitani? Kwani mwalimu anakuwa na chaki muda wowote?
Bado maccm hawataki kujifunza kama ya Farao vile Mungu amefanya mioyo yao iwe migumu ili awaadhibu zaidi,kawaondolea yule dicteta mzandiki lakini bado wamekaza shingo.kuna mabaya zaidi yanakuja.Mama D BWANA,ndo ivyo wao mabom na MARISASI ,sie tupo na mungu