johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Amina!Kila wakati Mungu ni mwema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina!Kila wakati Mungu ni mwema
Hapo umejitukana mwenyewe mi sipo. Utapata laana. Wamama sio wa kuwatukanaLabda kwenye msitu wa mama yangu pale chini nilipotokea.
kwa hiyo?Mtandao umezingua bwashee!
Wewe umewahi kuvuta hata bangi bwashee?Km kweli amewahi kuuza madawa club akatuharibia mamia ya vijana basi yote kheri wakuadhibu waadhibu
Kama si kweliKm kweli amewahi kuuza madawa club akatuharibia mamia ya vijana basi yote kheri wakuadhibu waadhibu
Kesho mtandaoni tena!kwa hiyo?
Mzee Mgaya acha za kuleta, hii si kesi ya kwanza ya ugaidi kufunguliwa Tanzania na kama ilivyoanza na usiri na hukumu iliyotolewa na Sirro ndivyo itakavoendelea.Uzee dawa.
Mzee Mgaya jana aliwashauri wafuasi wa Chadema wasiende mahakama ya kisutu jijini Dar es salaam kwa sababu kesi za Ugaidi huendeshwa kwa njia ya mtandao
Km kweli amewahi kuuza madawa club akatuharibia mamia ya vijana basi yote kheri wakuadhibu waadhibu
Mdude hakusamehewa bali alishinda kesi!Hivi unamkumbuka mdude alijigamba vipi baada ya kusamehewa? Kiongozi gani anakubali maneno ya kejeli kama hayo. Midomo inawaponza
Jibu unalo
Nakwambia ni vichekesho maana kila mkoa amewakilisha nusu ya mtu. Kwani Tanzania ina mikoa 30 na waliohudhuria ni 15. 15/30 =0.5. Nimemsaka rafiki yangu Erythrocyte naye hakukanyaga. Naona sasa niondoke hapa Kisutu.Nimeona idadi kundi la kama wanachama 19 wa chadema hapo kisutu😂😂😂😂😂😂
Nakwambia ni vichekesho maana kila mkoa amewakilisha nusu ya mtu. Kwani Tanzania ina mikoa 30 na waliohudhuria ni 15. 15/30 =0.5. Nimemsaka rafiki yangu Erythrocyte naye hakukanyaga. Naona sasa niondoke hapa Kisutu
Ukiona hiwezi kuvumilia maneno kama yale ya Mdude, utambue kuwa wewe huna sifa wala uwezo wa kuwa kiongozi.Hivi unamkumbuka mdude alijigamba vipi baada ya kusamehewa? Kiongozi gani anakubali maneno ya kejeli kama hayo. Midomo inawaponza