900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
Jadili ya ccm usiwashwewashwe na ya chademaMbowe angeanza na katiba ya chama chake wakati wanahangaika na katiba ya nchi wakati katiba yake haiko sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jadili ya ccm usiwashwewashwe na ya chademaMbowe angeanza na katiba ya chama chake wakati wanahangaika na katiba ya nchi wakati katiba yake haiko sawa
Ukishajua kuandika vizuri vitu vikasomeka,urudi tenaTunajua Nulad yupo! Wakati wa Euromaidan alikuwepo.
=====
Hivi hawa wamekuja kusikiliza kesi ama wamekuja kuingilia uhuru wa mahakama katika kesi hii?. Hii wapi karama ya watu hawa juu ya kuhimiza serikali ifuate sheria kwa mujibu wa katiba yao na Ilani zao zauchaguzi?
Nashangaa police wananipita Kama hawanioni au sionekani? Nawapiga picha hawanioni, au niwasogelee niwaguse SHATI,Kikundi cha watu 50 wanataka kuleta vurugu, peleka ndani wakalale na kunguni wakitoka j3 waende kuwasimulia wenzao vizuri Clubhouse na Maria Space.
Ni Asubuhi tulivu ya siku ya Alhamisi.
Kiongozi mkuu wa Upinzani Freeman Mbowe anatarajiwa kuletwa mahakamani Kisutu Leo katika Kesi ya Ugaidi.
Kesi hii inavuta kila mpenda haki na mwanademokrasia kutokana na ukweli Mbowe amebambikizwa kesi hii ili kumnyamazisha kutokana na Kampeni aliyoasisi ya Kudai Katiba Mpya
Mahakama hii inatarajiwa kufurika umati mkubwa wa watu kulaani unyama na uonevu wa vyombo vya dola.Ikumbukwe ni juzi tu bila Aibu alijitokeza IGP Simon Sirro na kuingilia mhimili wa Mahakama kwa kumhukumu Mbowe huku akijua kesi iko mahakamani.
Watu wengine wanaotarajiwa kufurika Kisutu ni Wawakilishi kutoka Jumuiya ya Ulaya, Marekani na balozi kadhaa nchini huku vyombo vikubwa vya Habari Duniani BBC, VOA, DW na Aljazeera vikitarajiwa kuwa live mahakamani.
Molemo media tayari iko kwenye viwanja vya Mahakama hii kuwaletea kila kinachojiri.
Updates
Imethibitishwa kwamba Freeman Mbowe hataletwa mahakamani na badala yake kesi inaendeshwa kwa njia ya Mtandao (Video Conference)
Taarifa za Uhakika ni kwamba dola Wana hofu kubwa kumleta Mbowe Mahakamani kutokana na Hasira ya wananchi.
Pamoja na vitisho vya IGP Simon Sirro alivyotoa juzi dhidi ya watakaohudhuria mahakamani Kisutu na kuongea uongo mwingi dhidi ya Mbowe lakini Leo idadi kubwa ya watu imehudhuria mahakamani na wengine wakiendelea kumiminika kabla ya kuanza kuondoka baada ya Taarifa kwamba kesi itaendeshwa kimtandao.
Kamanda wa Polisi DSM Muliro Jumanne alifika mapema Kisutu kuona Hali ya mambo huku kukiwa na Askari zaidi ya 100 wenye silaha na wengine waliovalia kiraia.
Pamoja na Serikali kuogopa kumleta Mbowe Mahakamani lakini ni wazi Kelele za umma unaotaka haki zimewatisha na kuwaogofya
Kesi Yaahirishwa
Ilipotimu saa 4 na dakika 20 kesi Imeahirishwa hadi kesho Ijumaa tarehe 6 August saa 3 Asubuhi kutokana na kile kilichoelezwa ni matatizo ya kimtandao
=====
KISUTU, DAR: Kesi ya Freeman Mbowe (CHADEMA) imeahirishwa hadi Kesho kutokana na muonekano hafifu wa Video Conference
Watuhumiwa wataletwa kesho saa 3 asubuhi mahakamani (Physically)
View attachment 1880638
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aliwaondolea lile jitu ovu bila damu kumwagika na sasa mambo ni safi! Mama yuko vizuri hadi magaidi sasa yanakamatwa!Unadhani hiki unachoandika hapa kitafuta udhalimu wa yule ibilisi aliyeko motoni? Hata huyu mama wa kambo aaue wapinzani wote hapo uwanja wa taifa, bado lile takataka lilikuwa ni janga kwa nchi hii. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika.
Ok. Wewe Mama D Kama Mama D mtazamo wako kuhusu katiba Ni upi?
Je ni (a)unaunga mkono kuwa tunaihitaji katiba mpya au ni (b) Hauungi mkono uhitaji wa katiba mpya.
Jibu fupi fupi tu.(a) au (b).
Sasa wale elfu 6 wa kwenye space ya Maria wako wapi?Wanachana wa chadema walioenda hata 10 hawafiki. Polisi kibao[emoji28][emoji28]

Nimeomba jibu liwe fupi fupi . Je jibu ni (a) au (b) ??Mabadiliko ya katiba ni muhimu sana kadri ya uhitaji na maboresho ya nchi
Tunahitaji katiba mpya kadri ya mahitaji ya taifa letu kwa vizazi vya sasa na vijavyo na sio katiba kwa maslahi ya kikundi cha watu wala chama flani
Nimeomba jibu liwe fupi fupi . Je jibu ni (a) au (b) ??
Maelezo mengi hayatakiwa.
Mtandao umezingua bwashee!kwa hiyo kesi inaendelea huko kwa njia ya mtandao sasa hivi?
Kwani mdude alishinda case au alisamehewa?!!Hivi unamkumbuka mdude alijigamba vipi baada ya kusamehewa? Kiongozi gani anakubali maneno ya kejeli kama hayo. Midomo inawaponza
Uzee dawa.
Mzee Mgaya jana aliwashauri wafuasi wa Chadema wasiende mahakama ya kisutu jijini Dar es salaam kwa sababu kesi za Ugaidi huendeshwa kwa njia ya mtandao...
Kwani Chadema ndio walalamikajiMmeshinda kesi?