Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua

Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua

Polisi ni waoga sana yaani wananchi wapo mikono mitupu wao na mabunduki kama wapo Somalia vile.
Kuna sehemu huruhusiwi kupiga kelele Wala kufanya mimutano ya siasa nazo ni hospitali na mahakamani.Marufuku hata kupiga honi Sasa wao waanaenda kuimba kwaya mahakamani walitarajia Nini Ni kubughudhi mahakama pia Ni kuingilia uhuru wa majakama na kuitishia. Na kuokosesha isifanye kazi kwa utulivu .Utaendaje kuendesha mkutamo wa siasa na mibango mahakamani hivi hao chadema kichwani akili zimo?
 
Chadema ni wachache au waoga,yani Dar yote wafuasi wa Chadema ndo hao tu?.
 
Kuna sehemu huruhusiwi kupiga kelele Wala kufanya mimutano ya siasa nazo ni hospitali na mahakamani.Marufuku hata kupiga honi Sasa wao eanaenda kuomba kwaya majakamani walitarajia Nini Ni kubughudhi mahakama pia Ni kuingilia uhuru wa majakama na kuitishia.Utaendaje kue desha mkutamo wa siasa na mibango mahakamani hivi hao chadema kichwani akili zimo?
Hawakuingia ndani ya viwanja vya mahakama bali mita kadhaa nje ya mahakama mkuu.
 
Mambo yanaanzaga hivi hivi mdogo mdogo mwishowe inashindikana kuzuia yanatokea kama tunavyoshuhudia kwingineko.

Usidharau nguvu ya umma kabisa mkuu.
Hii kwa Tanzania is not easy Kutokea
 
Wewe mpuuzi kweli, polisi ndiyo kazi yao. Kuzuia, kukamata na kushitaki. Hapo wanakuwa wanazuia
Hayawani kweli wewe! Hujui ni ujinga askari wote unaenda kuwalundika Kisutu na kama kulikuwa na njama kubwa ya uporaji lets say Airport nani ataweza kukabili hayo wakati resources zote mmepeleka Kisutu?
Kama huna akili kiasi hicho kaa jikoni umpikie shemeji yako. Ebo
 
Hawakuingia ndani ya viwanja vya mahakama bali mita kadhaa nje ya mahakama mkuu.
Hizo kelele za nyimbo zilikuwa hazifiki viwanja vya mahakama? Na kukusanyika kwao kulikuwa na kibali Cha polisi? Na kibali Cha mwenye eneo hilo walilokusanyika?
 
Balozi Mulamula Tanzania yenye kiongozi mkuu wa upinzani aliyebambikwa kesi ya Ugaidi tunauza Bidhaa gani nje!? Infact rebranding Tz hivyo tunaharibu nitamushauri Mama naona international media kubwa zote zipo....
 
Kuna sehemu huruhusiwi kupiga kelele Wala kufanya mimutano ya siasa nazo ni hospitali na mahakamani.Marufuku hata kupiga honi Sasa wao eanaenda kuomba kwaya majakamani walitarajia Nini Ni kubughudhi mahakama pia Ni kuingilia uhuru wa majakama na kuitishia. Na kuokosesha isifanye kazi kwa utulivu .Utaendaje kuendesha mkutamo wa siasa na mibango mahakamani hivi hao chadema kichwani akili zimo?
Tuliza mihemko uandike kitu kinachoeleweka wewe msukule.

Wapi umesikia watu wakiimba? Watu wamesimama wameshika mabango nayo inakatazwa? Mabango yanapiga kelele?
 
Hizo kelele za nyimbo zilikuwa hazifiki viwanja vya mahakama? Na kukusanyika kwao kulikuwa na kibali Cha polisi? Na kibali Cha mwenye eneo hill walilokusanyika?
Hakuna polis atakayetoa kibali hata kiwe cha mkusanyiko wa amani isipokuwa ccm wanaweza kukusanyika popote pasipo kibali cha polisi wala nani na hakuna wa kuwafanya kitu.

Na suala la kwenda mahakamani wala halihitaji kibali cha polisi kama kuna sheria ya namna hiyo naomba uiweke hapa.

Yaani kila mtu ametoka nyumbani kwake kwa nia yakuhudhuria kesi halafu wakakutana eneo moja waende waombe kibali?
 
Back
Top Bottom