Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdomo wenu unawaponzaMdude hajasamehewa ila mahakama haikuona ushahidi wa kumtia hatiani so alishinda kesi alokua amebambikiwa.mnapotosha sana
Akikujibu huyo dada nitagKiongozi, Mdude alisamehewa na nani na alisamehewa kutoka katika hatia ipi? Kwa lugha hii, unamaanisha kwamba Mbowe anashikiliwa kama kisasi kwa maneno ya mdude? Utekelezaji wa azma hii ni kifungu namba ngapi cha katiba?
Naomba msiseme maneno mengine yanayoweza kuumba hasira kwa watu dhidi ya serikali. Hakuna serikali inaweza kuwa inakamata watu bila sababu, eti kwa kuwa kuna mtu fulani alisema maneno yasiyofaa. Kama mdude alinena vibaya, kwa nini hakuwajibishwa mwenyewe kw amakosa yake, badala yake atafutwe Mbowe? Unasema Mdude alisamehewa, alikuwa katiwa hatiani na chombo gani kwa kosa lipi na hukumu yake ilikuwa namna gani ambayo sasa akasamehewa?
Maneno mengine mnayoyaandika hapa, yanadhalilisha serikali yetu. Siamini serikali yetu inaweza kuwa na tabia za kiwango cha chini namna hiyo. Serikali ina mammbo mengi ya maana ya kufanya, na hatuna serikali iliyo inferior na insecure kiasi hicho. Hiki ni kiwango chako cha kufikiri na kutenda na ndiyo sababu huwezi kuwa kiongozi wa serikali wewe. Unatia aibu.
Kwa hiyo chadema ni chama cha wakristu tu hakina waislam?Hii nchi watu wenye msimamo Ni waislamu lakini Hawa CHADEMA ni maigizo wanayo tu.poleni CHADEMA
Mahakama ipi wakati Sirro alikwisha hitimisha kesi na kumpata na hatia Mbowe.Waheshimu mahakama.
Wanavunja Amani ni chadema au polisi na ccmMambo ya usalama wa ndani ya nchi yatabaki kuwa ya nchi.
Tanzania is a sovereign coutry.
ila Chadema hakikufaa kabisaa kuwa chama cha upinzani nchini Tanzania kwa tabia ya mara kwa mara wanayo ionyesha inapo tokea jambo lolote basi wanaenda kuichongea Tanzania kwa mataifa makubwa wakitegemea Viongozi wetu wataogopa!! thubutu!!!! kamwe tusivumilie tabia hii ya kizandiki!!! labda wakafanye siasa zao Burundi lkn sio Tz.
Tunaomba viongozi wetu wasiyumbe kabisa, wawe imara kusimamia sheria za nchi.
Demokrasia sio kuvunja amani.
Kweli kabisa Siro alishatoa HukumuMahakama ipi wakati Sirro alikwisha hitimisha kesi na kumpata na hatia Mbowe.
Mkihudhuria lazima mchapwe maana msipochapwa utaanza kuandika: Polisi wafyata mkia mbele wa Makamanda wa ChademaHivi kuhudhuria Mahakamani ni kosa ? mbona mnakuwa wajinga nyinyi !
Mdomo unawaponzaSasa mdude ni nani mbele ya Rais.......kwa upumbavu huu ...nchi ina safari ndefu sana
Chadema huijui wewe! Wamesema wanaandamana na wasipoandamana lakini Polisi wameacha kazi zingine na kuandamana wao wakiongozwa na Muliro.Siasa za chadema naziona mitandaoni sana.
Makamu mwenyekiti anatoa statement mtandaoni kuwataka wananchi waandamane, jibu akalipata.
Haya mambo haya.
Mdomo unamiponzaKwani kujigamba ni kosa?
Wajinga ni wengi sana, hata propaganda wanaifanyia kazi.
Hao mashekhe waliokuwa wanatafunwa kule Keko miaka 8 walikuwa Ni wakristo we mbuzi kweliHii nchi watu wenye msimamo Ni waislamu lakini Hawa CHADEMA ni maigizo wanayo tu.poleni CHADEMA
Mambo yanaanzaga hivi hivi mdogo mdogo mwishowe inashindikana kuzuia yanatokea kama tunavyoshuhudia kwingineko.Hawaandamani.? Au nilielewa vibaya maelekezo ya katibu.!
Au sijui maana ya maaandamano.?
CCM wamebaki kuongelea ndani tu wanadhani chadema ni waogaSi mataga walisema hakuna mwana chadema atakayeweza kuandamana?
Hao hapo wamefika na mabango na bado wengine wanaendelea kuwasili.
Wewe mpuuzi kweli, polisi ndiyo kazi yao. Kuzuia, kukamata na kushitaki. Hapo wanakuwa wanazuiaChadema huijui wewe! Wamesema wanaandamana na wasipoandamana lakini Polisi wameacha kazi zingine na kuandamana wao wakiongozwa na Muliro.
Huoni huo ni ushindi?
Sio kuhongwa tuu, bali kawaita mazezeta viongozi wote wa juu na wameufyata.Kwani Gwajima katukana wangapi juzi tu kasema mkuu wa nchi kahongwa madola ili apokee chanjo kuwaua raia wake , fikiri tu kauli hii angesema mpinzani nini kengetokea.