Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua

Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua

Kiongozi, Mdude alisamehewa na nani na alisamehewa kutoka katika hatia ipi? Kwa lugha hii, unamaanisha kwamba Mbowe anashikiliwa kama kisasi kwa maneno ya mdude? Utekelezaji wa azma hii ni kifungu namba ngapi cha katiba?

Naomba msiseme maneno mengine yanayoweza kuumba hasira kwa watu dhidi ya serikali. Hakuna serikali inaweza kuwa inakamata watu bila sababu, eti kwa kuwa kuna mtu fulani alisema maneno yasiyofaa. Kama mdude alinena vibaya, kwa nini hakuwajibishwa mwenyewe kw amakosa yake, badala yake atafutwe Mbowe? Unasema Mdude alisamehewa, alikuwa katiwa hatiani na chombo gani kwa kosa lipi na hukumu yake ilikuwa namna gani ambayo sasa akasamehewa?

Maneno mengine mnayoyaandika hapa, yanadhalilisha serikali yetu. Siamini serikali yetu inaweza kuwa na tabia za kiwango cha chini namna hiyo. Serikali ina mammbo mengi ya maana ya kufanya, na hatuna serikali iliyo inferior na insecure kiasi hicho. Hiki ni kiwango chako cha kufikiri na kutenda na ndiyo sababu huwezi kuwa kiongozi wa serikali wewe. Unatia aibu.
Akikujibu huyo dada nitag
 
Mambo ya usalama wa ndani ya nchi yatabaki kuwa ya nchi.

Tanzania is a sovereign coutry.

ila Chadema hakikufaa kabisaa kuwa chama cha upinzani nchini Tanzania kwa tabia ya mara kwa mara wanayo ionyesha inapo tokea jambo lolote basi wanaenda kuichongea Tanzania kwa mataifa makubwa wakitegemea Viongozi wetu wataogopa!! thubutu!!!! kamwe tusivumilie tabia hii ya kizandiki!!! labda wakafanye siasa zao Burundi lkn sio Tz.

Tunaomba viongozi wetu wasiyumbe kabisa, wawe imara kusimamia sheria za nchi.

Demokrasia sio kuvunja amani.
Wanavunja Amani ni chadema au polisi na ccm
 
Magaidi yana umoja mno .

Anayeangushwa na konyagi alafu akasingizia amepigwa na wasiojulikana ni gaidi tu.
 
Siasa za chadema naziona mitandaoni sana.

Makamu mwenyekiti anatoa statement mtandaoni kuwataka wananchi waandamane, jibu akalipata.

Haya mambo haya.
Chadema huijui wewe! Wamesema wanaandamana na wasipoandamana lakini Polisi wameacha kazi zingine na kuandamana wao wakiongozwa na Muliro.
Huoni huo ni ushindi?
 
Hawaandamani.? Au nilielewa vibaya maelekezo ya katibu.!

Au sijui maana ya maaandamano.?
Mambo yanaanzaga hivi hivi mdogo mdogo mwishowe inashindikana kuzuia yanatokea kama tunavyoshuhudia kwingineko.

Usidharau nguvu ya umma kabisa mkuu.
 
Chadema huijui wewe! Wamesema wanaandamana na wasipoandamana lakini Polisi wameacha kazi zingine na kuandamana wao wakiongozwa na Muliro.
Huoni huo ni ushindi?
Wewe mpuuzi kweli, polisi ndiyo kazi yao. Kuzuia, kukamata na kushitaki. Hapo wanakuwa wanazuia
 
Back
Top Bottom