nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 820
- 2,896
Hawa ndio watu 5000 tulioambiwa wametoka mikoa 20 ya nchini? Tehetehe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunajua Nulad yupo! Wakati wa Euromaidan alikuwepo.Salaam Wakuu,
Jeshi la Polisi linawashikilia Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA waliofika Mahakamani Kusikiliza kesi Mbowe.
Leo Kisutu ulinzi ni Mkali, Hawaruhusu watu kuingia, isipokua wachache tu kutokana na maradhi ya Corona. Hivyo Wanachama na Wafuasi wengi wa CHADEMA hawakufanikiwa kuingi.
Walipokua wengi Wakaanza kuimba Mbowe sio Gaidi, na kutoa Mabangu waliyokuwa wameficha ndani ya nguo.
Baada ya Robo saa, Polisi walikuja na Magari wakaanza kuwatawanya bila kupiga Mabomu.
Watu zaidi ya 20 Wamekamatwa na Wengine wamefanikiwa kukimbia
View attachment 1880581View attachment 1880582View attachment 1880583View attachment 1880585View attachment 1880586View attachment 1880587View attachment 1880588View attachment 1880590
Huna hoja. JIfunze kutokurukia mambo yanayokuzidi ufahamu. tweenty4seven nty4Ujumbe umekufikia
Nmeshangaa sana mkuu!Chadema ni wachache au waoga,yani Dar yote wafuasi wa Chadema ndo hao tu?.
Hii nchi watu wenye msimamo Ni waislamu lakini Hawa CHADEMA ni maigizo wanayo tu.poleni CHADEMA
Hahaa kazi hizi za kutumwa nalaani asije katk ukoo wangu akaelekea huko.Polisi ni waoga sana yaani wananchi wapo mikono mitupu wao na mabunduki kama wapo Somalia vile.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utasikia kwenye space ya Maria tuko elfu 6Hawa ndio watu 5000 tulioambiwa wametoka mikoa 20 ya nchini? Tehetehe.
Kwahiyo hao 10 tu ndio jeshi lote la Dar limehamia kisutu?😅😅😅Nmeshangaa sana mkuu!
Huwezi amini kama wale elfu 6 wanaopiga porojo kwenye space ya Maria kama ndio hao
Kama Daudi na GoliathPolisi ni waoga sana yaani wananchi wapo mikono mitupu wao na mabunduki kama wapo Somalia vile.
Bado sijaona,Ndo hivyo licha ya mikwara mbuzi ya IGP kwamba atakayesogea atakiona cha mtema kuni lakini watu wamefika kwa wingi hawajali kauli ya sirro wala nani.
Hadi hapo hujagundua kwamba watu hawana uoga tena?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uko mitaa gani mkuu?Kwahiyo hao 10 tu ndio jeshi lote la Dar limehamia kisutu?[emoji28][emoji28][emoji28]
Kama kila mmoja alitoka nyumbani kivyake ilikuwaje wakafika na kuanxa kuimba wimbo mmoja wenye maneno yaleyale na wakiwa na mabango? Yenye ujumbe uleule?Yaani kila mtu ametoka nyumbani kwake kwa nia yakuhudhuria kesi halafu wakakutana eneo moja waende waombe kibali?
Yeah afu yawe non stop.Ulitamani maandamano yawe ya vurugu ili kuhalalisha kwamba Mbowe ni gaidi? Wana chadema wana akili sana wanajua mitego yote.
Kwa hiyo hizo dio hoja zenu kwa waTz?Magaidi yana umoja mno .
Anayeangushwa na konyagi alafu akasingizia amepigwa na wasiojulikana ni gaidi tu.
Unaonaje mama alivyo siyo dhalimu.,!?Mbona hatukuona huo msimamo wao kwenye masheikh wa uamsho?
Wanachana wa chadema walioenda hata 10 hawafiki. Polisi kibao😅😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uko mitaa gani mkuu?
Uko site kweli?
Midomo yenu inaponza watoto wewe ona hapa chiniHayawani kweli wewe! Hujui ni ujinga askari wote unaenda kuwalundika Kisutu na kama kulikuwa na njama kubwa ya uporaji lets say Airport nani ataweza kukabili hayo wakati resources zote mmepeleka Kisutu?
Kama huna akili kiasi hicho kaa jikoni umpikie shemeji yako. Ebo
Mama Anaupiga Mwingi Sana Mpaka Unatoka Nje😂😀Anaupiga mwingi