Kesi imesikilizwa kwa video acha kukariri maishaLeteni watuhumiwa mahakamani pia, wacheni woga usio na sababu. Mahakama pekee ndipo penye jibu ya hofu yenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesi imesikilizwa kwa video acha kukariri maishaLeteni watuhumiwa mahakamani pia, wacheni woga usio na sababu. Mahakama pekee ndipo penye jibu ya hofu yenu.
Nchi hii vichekesho sana. Mnanunua mindege inaozea aiport kwa kukosa abiria afu mnakosa gari la kumpeleka gaidi mahakamani?Je walisemaje walipoambiwa haletwi Leo mahakamani kwa sababu magari ni mabovu?
Wawe na consistency tu ya kuhudhuria ndio kwanza ngoma mbichi...kesi ya kabsjuno walikuja mara moja tu wakasepa.Hayo si maandamano aliokataza IGP Sirro??? Mbona vijana wa IGP Sirro wamejikausha hawaja wakamata sasa wala kuwatawanyisha na mabomu ya machozi???
Halafu utakuta hata huyo huyo IGP Sirro ametoa mpaka escort ya police na ulinzi kwa wahusika wa haya maandamano. Aibu ilioje hii.
Ama kweli wahenga walisema "Debe lililo tupu, ndio lenye kelele zaidi". Kelele zote, Vitisho Vyote, Vitimbi Vyote, Uonevu Wote na Kutunishiwa misuli wanafanyiwa wanyonge wasio jiweza na wasio na nguvu ya kujitetea tu nchi hii.
Madege alinunua jpm..11 hadi yote yawe delivered ndo watz tutapumuaNchi hii vichekesho sana. Mnanunua mindege inaozea aiport kwa kukosa abiria afu mnakosa gari la kumpeleka gaidi mahakamani?
Mnataka gaidi awalipue wafungwa wetu?
Umesahau na ARVs anazomeza huyo mzembeMabeberu wamekusaidia haya..
1. Chanjo ya korona. Kama sio wao wewe na mchepuko wako msinge chanjwa.
2. Barabara
3. Reli.
5. Stigla goji
6. Misaada ya elimu..
7. Ujenzi wa vyoo mashuleni baada ya kuona serikali ya ccm haina uwezo.
8. Bajeti ya serikali inawategemea mabeberu.
9. Buku 7 mnazo lipwa pale lumumba zimetoka kwao..
10. Nk nk nk...
Acha upumbavu ,budget ya inchi kwa asilimia kubwa inategemea ufadhili wa development partners amboa wajinga wajinga ,mnawaita mabeberu. Bure kabisa.Hao mabeberu mnadhani watawasaidia?. Nyumbu mna matatizo Sana.
Hiyo Tarehe 27 ataletwa lakini mpango ni kuhakikisha Hakimu anaumwaHalafu wanaambiwa Mbowe hajafikishwa mahakamani kwa sababu hakuna gari la kumpeleka huko, naamini kuanzia hapo hao maofisa wataona hii serikali yetu ina matatizo kichwani, haiwezekani Sabaya kila siku anapelekwa mahakamani halafu Mbowe wa kila baada ya wiki anakosa gari.
P'se don't insult. Leave a fool to remain so. Otherwise people will not differentiate between the two. Chadema members are a brand of high equity.una uwezo mdogo sana kichwani .
Nchi tumewakabidhi mazwazwaMadege alinunua jpm..11 hadi yote yawe delivered ndo watz tutapumua
🤣🤣🤣🤣🤣Hivyo ndivyo ilivyokuwa leo Mahakamani , ambapo Wadau wa Maendeleo wa Tanzania kutoka kwenye Taasisi za Kimataifa wameshiriki kesi hiyo ya Ugaidi kwa lengo la kujua kinachoendelea , Maofisa hao wengi wao wamefika ili kujiridhisha na mwenendo wa kesi hiyo .
Ugaidi katika nchi ni jambo baya linaloweza kuwatisha wawekezaji , hivyo ilikuwa ni lazima wadau wa maendeleo kuhudhuria kesi hiyo ili kupima kiwango cha ugaidi kwa lengo la kulinda wawekezaji kutoka kwenye nchi zao , maana ni hatari kuwekeza kwenye nchi yenye Ugaidi
Na kama kweli Hakimu anaumwa unataka aje tu?Hiyo Tarehe 27 ataletwa lakini mpango ni kuhakikisha Hakimu anaumwa
Mabeberu? Wale tunaoshinda milangoni kwao kuomba chanjo ya corona?Hao mabeberu mnadhani watawasaidia?. Nyumbu mna matatizo Sana.
😆😆😆Ishu ya ugaidi kumuamini siro ni ngumu Sana tangu ishu ile ya kuokota dereva taxi mchovu mvaa kandambili eti ndo amemteka No ngumu Sana kumuamini huyu mzee.
Uongo hapo Ni uwanja wa ndege ulioko Senegal walikuwa ndio wanaelekea kupanda ndege abiriaHivyo ndivyo ilivyokuwa leo Mahakamani , ambapo Wadau wa Maendeleo wa Tanzania kutoka kwenye Taasisi za Kimataifa wameshiriki kesi hiyo ya Ugaidi kwa lengo la kujua kinachoendelea , Maofisa hao wengi wao wamefika ili kujiridhisha na mwenendo wa kesi hiyo .
Ugaidi katika nchi ni jambo baya linaloweza kuwatisha wawekezaji , hivyo ilikuwa ni lazima wadau wa maendeleo kuhudhuria kesi hiyo ili kupima kiwango cha ugaidi kwa lengo la kulinda wawekezaji kutoka kwenye nchi zao , maana ni hatari kuwekeza kwenye nchi yenye Ugaidi
mbinu za kishamba sana !Na kama kweli Hakimu anaumwa unataka aje tu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MasikiniChadema chama la KIMATAIFA...mpaka wameogopa kumleta MWAMBA