Kisutu: Maafisa wa EU, UN na Mabalozi wa Marekani, Sweden na Ujerumani wahudhuria Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe

Watu weupe wamekuwa ndio kimbilio la weusi na waarabu wanaoteswa na ndugu zao.
Hii dunia Ingekuwa ni mwafrika na mwarabu pekee hakika isingekalika.
Mwafrika roho mbaya mwarabu katili.
 
Wawe na consistency tu ya kuhudhuria ndio kwanza ngoma mbichi...kesi ya kabsjuno walikuja mara moja tu wakasepa.
 
Nchi hii vichekesho sana. Mnanunua mindege inaozea aiport kwa kukosa abiria afu mnakosa gari la kumpeleka gaidi mahakamani?

Mnataka gaidi awalipue wafungwa wetu?
Madege alinunua jpm..11 hadi yote yawe delivered ndo watz tutapumua
 
Umesahau na ARVs anazomeza huyo mzembe
 
Hiyo Tarehe 27 ataletwa lakini mpango ni kuhakikisha Hakimu anaumwa
 
🀣🀣🀣🀣🀣
Bavicha wamepatwa na mhaho wanahahaa...
 
Ishu ya ugaidi kumuamini siro ni ngumu Sana tangu ishu ile ya kuokota dereva taxi mchovu mvaa kandambili eti ndo amemteka No ngumu Sana kumuamini huyu mzee.
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Uongo hapo Ni uwanja wa ndege ulioko Senegal walikuwa ndio wanaelekea kupanda ndege abiria

Mumeanza kuchakachua picha Kama kipindi Cha Lisu

Mahakamani watu huwa wanaenda na masanduku hayo ya kuburuza ya vigurudumu?

Chadema mumebobea uongo

Picha tells it all
 
Eti kesi ya ugaidi inayomkabili mula Omar balozi wa marekani nchini Afghanistan ahudhurie!!!
 
Reactions: Qwy
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…