Kisutu: Maafisa wa EU, UN na Mabalozi wa Marekani, Sweden na Ujerumani wahudhuria Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe

Just thinking aloud. Mbona kesi ya wale walioambiwa masheikh ya ugaidi hawakutaka kujiridhisha ni kitu gani kinaendelea?
 
Hawa jamaa nilifikiri baada ya kuwalegezea msimamo wetu juu ya corona ndio watukuwa wameridhika. Mbona chokochoko zao tena wakati tumeamua kuenda na dunia inavyoenda.?!

Labda mtawawini kwa kutangaza hadharani kuruhusu ushoga maana hiyo nayo ni sehemu ya kwenda na dunia inavyoenda.
 
Mwaka huu utaangaika sana na kujaribu kila neno unalofikiri linavuta attention ya watu, lakini ni kujilisha upepo. Watanzania tunapuuza sana mambo ya Chadema na pia tunakupuuza sana posts unazoleta humu.
Sasa kama unapuuza/mnapuuza,wewe mbona umejibu?!
 
hakuna kitu kama hicho hao walienda kuchungulia tu kama wachunguliaji wengine hawawezisema lolote
 


 
Wewe Dada una Mambo,maofisa wepi hao,nilidhani mabeberu Kumbe ngozi nyeusi,beberu halina muda wa kufanya bageining na gaidi,Mbowe is gone!!!!
 
Je walisemaje walipoambiwa haletwi Leo mahakamani kwa sababu magari ni mabovu?
Tabia ya jeshi la police kuniaribia nauli yangu kwa visingizio vya ajabu ,eti magari mabovu kumleta mwamba , sio kwamba mnakandamiza haki za mh Mbowe bali pia mnavunja haki yangu,

IGP unamagari MANGAPI ? Mpaka gari la kumleta mh Mbowe mahakamani likose? Endeleeni na janja janja ila yana mwisho
 
Kipindi cha jk kesi kubwa ubakaji !
Kipindi cha magufuli kesi kubwa hujumu uchumi !
Kipindi cha SSH kesi kubwa sasa ugaidi !

Hii nchi bwana
Halafu samia kawatoa wazanzibara wenzake, kaanza kuwatesa watanganyika...
 
Watu weupe wamekuwa ndio kimbilio la weusi na waarabu wanaoteswa na ndugu zao.
Hii dunia Ingekuwa ni mwafrika na mwarabu pekee hakika isingekalika.
Mwafrika roho mbaya mwarabu katili.
Unashindwa kuelewa hao watu weupe wazungu ndio wanaounda matatizo ili msiwe stable.
Unashindwa kuelewa kipindi mwarabu unaemwita katili Gaddafi alipotaka kuifanya Afrika ijitegemee wazungu unaowatukuza wakamuua.
Unashindwa kuelewa hao wazungu wanakutawala kikoloni mambo leo.
HII DUNIA MZUNGU NDIO KAIHARIBU KILA KONA.
MWARABU UNAEMWITA KATILI KAKUPA MISAADA MINGI HAPA TZ KWA TAASISI ZAKE KM OIC,TIF N.K N.K HAO WAARABU UNAOWAITWA MAKATILI WAMEKUSAMEHE MADENI NA WAMEKUKOPESHA BILA RIBA.
TAFITI MAMBO USIMEZE PROPAGANDA.
 
Kipindi cha jk kesi kubwa ubakaji !
Kipindi cha magufuli kesi kubwa hujumu uchumi !
Kipindi cha SSH kesi kubwa sasa ugaidi !

Hii nchi bwana
Akija Rais Mpya Askofu Gwajima naye kesi kubwa zitakuwa ni za kujirekodi tukinyanduka! 😁 Thithi idhi Tanzania bhana!!
 
Hao wana diplomatic privileges na diplomatic immunity
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…