King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mikumi Tena kwa Samia Suluhu Hassan.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2][emoji2]Ruge kafanana na Burning SpearWale jamaa(Seth na Rugemalira) ukiangalia picha zao sa hivi wanafanana na wale manabii wa enzi za yesu.
Ujambazi wa kidola!Samia = Magufuli.
Kiri na kuweka mzigo kwenye akaunti haraka sana.
Mtaelewa tu vivutio vya utalii nyinyi
CCM ni ile ile, na Samia ni yule yule........(Samia wa enzi ya Magu= Samia wa sasa).Ina maana huyu DPP mpya nae anaendelea na tabia ya kujigeuza ndie mahakama?
Seth mjanja anajua Mafia kashapotea kwenye ramani hivyo ataishi vizuri tu akirudi uraiani🤩🤩🤩Mzee wa Heineken mbishi bado naona ngoja tusubiri kidogo tuone
Eeh Kesi ipo na serikali lazma ipigwe mipunga kama Legal system itaachwa ifanye kazi bila kuingiliwaSinga singa intown....sasa ile mitambo pale pameota nyasi....yale ma HOF engines yatahitaji mpunga ww kutosha kuyaamsha na kuyawasha au kuyauza ... Kuna hatari ya kesi inakuja kati ya GOVT na SETH + RUGE na hichi ndicho yule jamaa alikikwepa akaamua kuwahifadhi akiamini kwa mateso na kukosa uhuru natural death itasema nao...
Sheria alizotuachia yule aliyepita mama alishasema sheria hizo ziangaliwe upyaHuu ujinga bado unaendelezwa? Mama sasa hasomeki.
Sasa mbona tukiwambia Samia na Magu ni kitu kimoja manatokwa mipovu?Ni kweli.
BTW, CCM ni ile ile.
DPP Sylvester Mwakitalu leo amemuachia huru mfanyabiashara Herbinder Seth baada ya kukiri makosa na kulipa faini.
Mzee Ruge bado amekomaa, tusubiri tuone nini kinaendelea.
Source: Darmpya Blog
Hawezi kufungua kesi tena huyu mhindiSinga singa intown....sasa ile mitambo pale pameota nyasi....yale ma HOF engines yatahitaji mpunga ww kutosha kuyaamsha na kuyawasha au kuyauza ... Kuna hatari ya kesi inakuja kati ya GOVT na SETH + RUGE na hichi ndicho yule jamaa alikikwepa akaamua kuwahifadhi akiamini kwa mateso na kukosa uhuru natural death itasema nao...
[emoji3][emoji3][emoji3] absolutely true I'm happy wako nje sasaWale jamaa(Seth na Rugemalira) ukiangalia picha zao sa hivi wanafanana na wale manabii wa enzi za yesu.
Huu ujinga bado unaendelezwa? Mama sasa hasomeki.
Mama hana Chuki na Wafanyabiashara sio kama yule aliyepitaMama Safi siyo safi?
Hatimaye wamebana wameachia
Ulitaka afanye nini? Unapoteza billion 365 unamwambia kwa kuwa hii ni biashara nenda nyumbani UKAZITUMIE KWA RAHA YAKO?Huu ujinga bado unaendelezwa? Mama sasa hasomeki.