Kisutu: Mahakama yamhukumu Mfanyabiashara Herbinder Seth Kulipa fidia ya Tsh. 26.9 bilioni

Kisutu: Mahakama yamhukumu Mfanyabiashara Herbinder Seth Kulipa fidia ya Tsh. 26.9 bilioni

Singa singa intown....sasa ile mitambo pale pameota nyasi....yale ma HOF engines yatahitaji mpunga ww kutosha kuyaamsha na kuyawasha au kuyauza ... Kuna hatari ya kesi inakuja kati ya GOVT na SETH + RUGE na hichi ndicho yule jamaa alikikwepa akaamua kuwahifadhi akiamini kwa mateso na kukosa uhuru natural death itasema nao...
Naunga mkono hoja. Mtu akiiba kwa kutumia udhaifu wa sheria ni ngumu kumshinda, labda nguvu itumike.

Sidhani kama lilikuwa dili la watu wawili tu la kina Seth na Ruge. Hilo dili lilienda kisheria kabisa ndo mana mwendazake aliamua kutumia nguvu ili watoe mpunga. Jamhuri ilishindwa kukamilisha ushahidi.

Sasa itategemea uungwana wa hao mabwana, kwani wanaweza kuja kuibua kesi huko mbeleni, ukizingatia kwa sasa tunaenda kidemokrasia angalau.
 
Am sure alijaribu kipindi cha Magufuli pia kujinunulia uhuru.

Ila hii approach itumaanishie nini maskini? Kwamba inawezekana tukafungwa kisa hatuna pesa? Mtu akikiri makosa anatakiwa atumikie adhabu iliyopo kisheria au alipe pesa atoke?
 
Amekiri kitu gani, kwamba zile pesa za mgao wa mboga zilikuwa za sirikali na siyo eskrow........mzee ruge yeye anasemaje!
 
DPP Sylvester Mwakitalu leo amemuachia huru mfanyabiashara Herbinder Seth baada ya kukiri makosa na kulipa faini.

Mzee Ruge bado amekomaa, tusubiri tuone nini kinaendelea.

Source: Darmpya Blog
Mhindi hawezi kuvumilai mateso gerezani
 
Nafasi yao warithi sabaya na bashite nao wakae miaka 6 kusubiria ushahidi kukamilika Ili kuondoa dabo standard
 
DPP Sylvester Mwakitalu leo amemuachia huru mfanyabiashara Herbinder Seth baada ya kukiri makosa na kulipa faini.

Mzee Ruge bado amekomaa, tusubiri tuone nini kinaendelea.

Source: Darmpya Blog
ametulipa bei gani mh. Di pi pii ?
 
Hao wazee walimgomea mzee wa visasi kupora kampuni yao akawapa kichwa cha uhujumu uchumi.Waoze ndani au watoe pesa kununua UHURU wao.
Haingii akilini eti hao wawili ndio waliosomba pesa za escrow.
Ishu ya escrow ni kichaka tu
 
Militaka afanye nini, uibiwe halafu kwa kuwa ni pesa za Tanesco ?, haha aaahaa nchi hii kazi kweli kweli....
JK : Pesa siyo za umma
CCM : makofi na nyimbo za kusifu

JPM : Pesa za umma
CCM : Makofi na nyimbo za kusifu

Either ways, we are robbed by the STATE.
 
Hiyo Singasinga atahama nchi na kufungua kesi ya madai. Tofauti na hapo wasainiane makubaliano kuwa hakuna upande utafungua kesi dhidhi ya mwenzake Kwa yeye au ndugu au rafiki n.k.
 
Nilidhani akikiri ananyanywa hela zetu zote.
Kumbe analipa kiasi
 
Ni maamuzi yako ndio uhuru huo!
Mimi sinunuliwa kama Mtumwa
kobys-smile.png
 
Hiyo Singasinga atahama nchi na kufungua kesi ya madai. Tofauti na hapo wasainiane makubaliano kuwa hakuna upande utafungua kesi dhidhi ya mwenzake Kwa yeye au ndugu au rafiki n.k.
Kwani DPP wajinga, hapo kaandika na kukiri kosa, hawezi enda popote pale kufungua kesi
 
Back
Top Bottom