Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,690
- 3,399
Wewe ungependa tuendelee na ule utawala? Kwako hakuna shida unayoiona kwenye ule utawala?Sasa mbona tukiwambia Samia na Magu ni kitu kimoja manatokwa mipovu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ungependa tuendelee na ule utawala? Kwako hakuna shida unayoiona kwenye ule utawala?Sasa mbona tukiwambia Samia na Magu ni kitu kimoja manatokwa mipovu?
Basi inakuwa imeisha hioKama ameshakiri makosa na kulipa faini, hatakuwa na nguvu tena ya kisheria ya kutaka kulipwa fidia!
Ingekuwa ufisadi angeshafunguliwa kesi, ingesikilizwa na angehukumiwa. Kwa kuwa serikali imekuwa ikibumba tuhuma imeshindwa kufungua kesi kwa sababu haina ushahidi wo wote na Seth angeigalagaza mahakamani. Serikali ilibaki na hoja moja ya uongo kuwa upelelezi haujakamilika!Kumbe siyo fisadi?
Amevumilia sana! Amekaa zaidi ya miaka minne!Mhindi hawezi kuvumilai mateso gerezani
Nadhani nguo kaletewa mahakamanihuyo Sigh akitoka anahama na nchi kabisa.
vv
Kwa wizi iliyonayo serikali yetu haiwezi kusema kwa sababu zingine zitapigwa juu kwa juu!😭😭😭ametulipa bei gani mh. Di pi pii ?
Napongeza juhudi hizi,
Ni mwanzo mzuri Sana kuyafikia maridhiano kwa mustakhbali mzima was ustawi taifa letu.
Mwendazake alkua Ni mtu katili Sana, sidhan Kama aliweza kukaa Kwenye tumbo la mwanamke kwa miez 9.
Ila nahisi kuna jambo nyuma ya pazia. Iweje asilipe enzi za mwendazake aje alipe enzi za mama??? Lazima kuna makubaliano yamefikiwa...Mambo ni yale yale
Endeleeni kupiga makofi
Mtu kashakiri na amekubali kulipa faini halafu aanzishe kesiSinga singa intown....sasa ile mitambo pale pameota nyasi....yale ma HOF engines yatahitaji mpunga ww kutosha kuyaamsha na kuyawasha au kuyauza ... Kuna hatari ya kesi inakuja kati ya GOVT na SETH + RUGE na hichi ndicho yule jamaa alikikwepa akaamua kuwahifadhi akiamini kwa mateso na kukosa uhuru natural death itasema nao...
TANZANIA ILIGEUKA JEHANAMU HALAFU yESU WA CHATO NDIO ALKUWA MTOA HUKUMU.Wale jamaa(Seth na Rugemalira) ukiangalia picha zao sa hivi wanafanana na wale manabii wa enzi za yesu.
Ulitakaje?Huu ujinga bado unaendelezwa? Mama sasa hasomeki.
Si umeona Ruge?Amevumilia sana! Amekaa zaidi ya miaka minne!
Yupo tayari kufa huku akipigania haki yakealiwaambia wamwachie kwanza ili awape ramani nzima - wakamgomea... Mzee kichwa sana yule.
Huenda Ruge anataka haki itendeke, ahukumiwe kwa haki na si kupoteza pesa zake bure bila sababu!Si umeona Ruge?
Yule anatafuta haki yake kwanzaHuenda Ruge anataka haki itendeke, ahukumiwe kwa haki na si kupoteza pesa zake bure bila sababu!
Wahindi waoga snYule muhindi sasa hivi kakonda kawa kama Wabogojo...
Sheria hiyo ipo, Boss! Siyo ujinga, ila sheria ipo kwa ajili ya watu wajinga kama hawa.Huu ujinga bado unaendelezwa? Mama sasa hasomeki.
Ushujaa gani unautaka mbele ya sheria. Ukiwa mwizi ukakamatwa, legea usije ukafa kwa kipondo. Subiri huyo mwingine utamsikia na haki yake.Wahindi waoga sn