Kisutu: Mahakama yamhukumu Mfanyabiashara Herbinder Seth Kulipa fidia ya Tsh. 26.9 bilioni

Kisutu: Mahakama yamhukumu Mfanyabiashara Herbinder Seth Kulipa fidia ya Tsh. 26.9 bilioni

Kumbe siyo fisadi?
Ingekuwa ufisadi angeshafunguliwa kesi, ingesikilizwa na angehukumiwa. Kwa kuwa serikali imekuwa ikibumba tuhuma imeshindwa kufungua kesi kwa sababu haina ushahidi wo wote na Seth angeigalagaza mahakamani. Serikali ilibaki na hoja moja ya uongo kuwa upelelezi haujakamilika!
 
Napongeza juhudi hizi,

Ni mwanzo mzuri Sana kuyafikia maridhiano kwa mustakhbali mzima was ustawi taifa letu.

Mwendazake alkua Ni mtu katili Sana, sidhan Kama aliweza kukaa Kwenye tumbo la mwanamke kwa miez 9.

Sasa tofauti iko wapi? Mbona style ya kumwachia ni ile ile tu iliyotumika kwa wengine? Unataka kusema huu utaratibu wa Plea ameuanzisha Mama au enzi za JPM? Unataka kujitoa ufahamu hapa bure [emoji3]
 
Singa singa intown....sasa ile mitambo pale pameota nyasi....yale ma HOF engines yatahitaji mpunga ww kutosha kuyaamsha na kuyawasha au kuyauza ... Kuna hatari ya kesi inakuja kati ya GOVT na SETH + RUGE na hichi ndicho yule jamaa alikikwepa akaamua kuwahifadhi akiamini kwa mateso na kukosa uhuru natural death itasema nao...
Mtu kashakiri na amekubali kulipa faini halafu aanzishe kesi

Answered zake je ataiba na kuondoka nazo?
 
Wale jamaa(Seth na Rugemalira) ukiangalia picha zao sa hivi wanafanana na wale manabii wa enzi za yesu.
TANZANIA ILIGEUKA JEHANAMU HALAFU yESU WA CHATO NDIO ALKUWA MTOA HUKUMU.
 
Kumbe yale mambo ya kulipa faini mnamalizana bado yapo ?
 
Back
Top Bottom