Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,729
- 2,851
Acha upumbavu wako, huyo sethi kachukua pesa za wananchi na bado tanesco wanadaiwa mabilioni kwa sababu ya huyo sethi na wenzakeHuu ujinga bado unaendelezwa? Mama sasa hasomeki.
Sasa unataka aachiwe bulr alafu hiyo pesa utailipa weww kwa hiyo benki ya china?
Mue mnatoa mawazo mkijua mnachangia nini na sio kukurupuka
Tanesco bado wanadaiwa zaidi ya billion mia tatu hadi 400 wewe unataka waachiwe ukipandishiwa bei ya umeme utakubali?