Kisutu: Mahakama yatupilia mbali hoja za Meya wa Dar es Salaam kutaka asalie madarakani, yasema hoja za mwombaji hazina miguu ya kusimamia

CCM ni sawa na mtu wanatenga ugali ili mle yeye anakunywa mchuzi wote anachukua finyango anasokomeza mifukoni kisha anaanza kuondoka eneo la tukio kwa mbwembwe.

Na kwa sisi watanzania ni janga kubwa kuruhusu siasa kuingia hadi kwenye mifumo ya Haki..tutapata shida sana mbeleni zaidi ya hizi.
 
Vipi kuhusu wale wanaohujumu nchi kwa makusudi kwa kushirikiana na adui zetu. Haki yao ni nini??
Adui yetu ni UMASIKINI, MARADHI, NA UJINGA, wanaoshirikiana na hawa maadui ni ccm na serikali yao kwa kuendelea kuzorotesha elimu, huduma za jamii, na uchumi. Haki yao ni kutupwa katika shimo liwakalo moto!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuambie kulikua na hasara gani kutokumchagua kua meya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili lilikuwa Wazi Mkuu! Labda kama Ingekuwa kama Kenya na si Tanzania. Hakuna Tofauti kati ya CCM, Police, Majeshi yote kiujumla, Mahakama na Vyombo vyote vya Dola kiujumla.
 
Vipi kuhusu wale wanaohujumu nchi kwa makusudi kwa kushirikiana na adui zetu. Haki yao ni nini??
Nyie mkiambiwa ukweli mnasema hujuma lisu mlitaka kumuua kisa aliwaoutsmart wajinga nyie na Kama kweli aliwahujumu je Sheria inasema wauwawe?
 
Huyo hakimu si ni yule aliesimamia kesi ya kabendera magoti?
 
Hakimu Janet Mtenga anatafuta Ujaji!
 
Wale wote wanaofanya hujuma kwa upinzani kwa makusudi tuweke rekodi zao siku hi nchi ikikombolewa watajibu unless wawe wametangulia mbele ya haki.

Nchi hii kwa sasa inatawaliwa na vichaa,wendawazimu,malimbukeni na madikteta wa awamu hii…!
Sielewi Rais Magufuli anafurahia nini kuona Viongozi walioko Upinzani na walochaguliwa kwa ridhaa ya Wananchi wanaondolewa kwene Uongozi kwa hila za Serikali ya CCM ikishirikiana na Mahakama ya Kisutu!
 
Huyo akatafute kazi nyingine asilete ujuaji mwisho akalala mlupango na Mahakama imeshaitupilia mbali kesi yake!
 
Kunywa maji upunguze stress
 
Nyie mkiambiwa ukweli mnasema hujuma lisu mlitaka kumuua kisa aliwaoutsmart wajinga nyie na Kama kweli aliwahujumu je Sheria inasema wauwawe?
Msaliti adhabu yake ni moja tu kufugwa jiwe kubwa na kutupwa katika ya bahari kwenye kina kirefu. Kasome Biblia mkuu!
 
Wale wote wanaofanya hujuma kwa upinzani kwa makusudi tuweke rekodi zao siku hi nchi ikikombolewa watajibu unless wawe wametangulia mbele ya haki.
Wewe utakuwa umeshaliwa na funza tayari
 
Tuambie kulikua na hasara gani kutokumchagua kua meya?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakukuwa na hasara yoyote..kuchaguliwa kuwa MEYA haina maana kwamba ww una akili zaidi kuliko madiwani wengine. Kuchaguliwa kuwa MEYA ni utaratibu wa kawaida tu kwamba madiwani wakishachaguliwa wanachagua miongoni mwao mmoja awe meya na mwingine awe naibu...!!

Nashangaa huyu MEYA anavyotokwa na povu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…