Kiswahili cha Kisiasa Kwa Watanzania: Ikulu sio Eneo Specific, ni Makazi ya Rais, Tuna Ikulu ya Magogoni, Chamwino, Sasa Hadi Ikulu ya Chato!

Kiswahili cha Kisiasa Kwa Watanzania: Ikulu sio Eneo Specific, ni Makazi ya Rais, Tuna Ikulu ya Magogoni, Chamwino, Sasa Hadi Ikulu ya Chato!

Mbio to ikulu ya Chattle![emoji41][emoji41][emoji41]
dw_kiswahili_B_PKmx5Jpd4.jpg
 
Kwa nini yupo Chato ?Ama kweli hata Trump angeamua kweda Florida? basi Florida ingekuwa ikulu 🗣.
Ila Coronavirus ni mwanaume bwana katudhibitishia kuwa Rais wetu ni mwepesi kama karatasi,hana ujasiri wa kufront line mapambano.
Majaliwa Oyeeeeeeh.
Jiwe ziiii. Jiwe mdomoni tu,mbele ya Covid 19 hakuna cha jiwe.
Asante China.
 
Wanabodi,

Kiukweli baadhi ya Watanzania ni walalamishi mpaka basi, baada ya rais Magufuli kushinda urais wa Tanzania katika uchaguzi huru, wa haki na wa kidemokrasia, na serikali ikaamua kujenga uwanja wa ndege Chato, kuna watu humu walipinga sana ujenzi wa uwanja huo, mimi ni miongoni mwa wachache tuliounga mkono ujenzi wa uwanja huo
Naunga Mkono Uwanja wa Ndege wa Chato, Una Justification, Utakuwa kama Ggabolite, au Yamoussoukro, Watalii Watamiminika! - JamiiForums

Sasa rais Magufuli yuko Chato, watu humu wanaanza tena kupiga kelele, kwanini rais yuko Chato muda mrefu?.

Japo Kiswahili ndio lugha yetu ya taifa, lakini kiukweli Kiswahili ni kigumu hata kwa baadhi ya Waswahili wenyewe, hivyo kwa vile ni mmoja wa Watanzania tuliobahatika kuzaliwa mjini, kukulia mjini, kusomea mjini na sasa tunaishi mjini, Kiswahili ndio lugha yetu kuu, tunakimanya vilivyo.

Wengi wasiojua Kiswahili barabara, wanadhani Ikulu ni eneo rasmi specific la makazi ya rais kuishi na kufanyia shughuli zake kama ilivyo Ikulu ya Magogoni au Ikulu ya Chamwino, kumaanisha rais asipokuwa Ikulu ya Magogoni au Chamwino, akiwa pengine popote, anakuwa hayuko kazini, hivyo huku kwenye mitandao ya kijamii sasa kuna kelele za watu kutaka kulazimisha lazima wamuone rais Magufuli na kumsikia akitokea ama Ikulu ya Magogoni, au Ikulu ya Chamwino.

Ikulu sio eneo lolote specific, bali eneo lolote la makazi rasmi ya rais ambapo anaweza kutimiza majukumu yake ya urais, hivyo kwa Tanzania tuna ikulu ya Magogoni, Ikulu ya Chamwino, Ikulu ndogo ya Lushoto na karibu kila mkoa kuna Ikulu ndogo kama ya Arusha, Tanga, Morogoro, Mishi, Iringa, etc.

Enzi za Nyerere aliamua yeye hakai Ikulu bali aliishi Msasani, kama angeamua kufanyia kazi zozote za urais hapo Msasani, then pangekuwa ni ikulu ya Msasani. Mwalimu Nyerere alikuwa anakwenda likizo Butiama, wakati akiwa Butiama, akiamua kufanya majukumu yoyote ya kirais, then hapo Butiama panakuwa ni Ikulu ya Butiama.

Kwa muda sasa rais Magufuli yuko kijijini kwake Chato, kwa vile huko Chato anatimiza majukumu yake yote ya urais, then hapo Chato ni ikulu ya Chato, as long as mambo yote yanakwenda, hizi kelele za watu kutaka kumuona rais Magufuli akiwa ikulu ya Magogoni au ikulu ya Chamwino za nini?.

Hii ni press release ya leo
View attachment 1426440
Hitimisho.
Watanzania wazalendo watapenda kumuona rais wao akitimiza majukumu yake ya urais akiwa popote na tungependa rais wetu awe free kukaa mahali popote anapopenda as long as it takes.
Kuna watu wenye akili fupi wanadhani uwepo wa rais Magufuli Chato ni kuikimbia Corona, it's not!, kwa sisi ambao ka Corona ni kaugonjwa kadogo ambacho hakatishi na tusitishane, hatuwezi kukuambia ka Corona!.
Tupunguzeni kulalamika!

Paskali
Rejea
Hongera Rais Magufuli kuipendezesha Ikulu yetu kuliko enzi za Nyerere, Ikulu iwe kivutio cha utalii, restrictions ziondolewe watalii wafurike - JamiiForums

Tusilalamike tuu, kulaumu na kulaani kila kitu, kwenye mazuri tupongeze! Rais Magufuli is changing for the better!. - JamiiForums

Tusikalie kumlaumu tu Rais Magufuli na Serikali yake wanapofanya mabaya, kwenye mazuri, pia tupongeze!. - JamiiForums

Paschal Mayalla: Acheni kulalamika, kubalini mafanikio ya Serikali - JamiiForums
Unajua Paskali watu wengine hawajauelewa ule ujumbe wa COVID-19: #Stay Home and #Stay safe and spend your time creatively at home.
 
Wakati wa matatizo ndipo kiongozi husimama mbele kutuonesha njia,kututia moyo,kutuunganisha vyema na kupambania ushindi ajabu tatizo likitokea kiongozi yule hukaa nyuma,hujibanza mbali na haongei zaidi huwasukumiza wasaidizi wake frontifedi!! Tuliona toka enzi za tetemeko,misiba ilipotokea
Duniani kote viongozi wajuu wamekuwa majasiri kwa kutoa miongozo na kuwa karibu na wananchi!! Hongera kwao viongozi hao shupavu siyo vizuri wakati wa kuomba kazi unazururaaaa na kuongea kila saa lkn ikifika kazi yenyewe kupamba moto unajificha wala huongei unashindwa hata na babu museveni bana chyaa....waswahili walisema kuvaa gwanda za jeshi rahisi lakini kuzitendea kazi ni balaa
 
Wanabodi,

Kiukweli baadhi ya Watanzania ni walalamishi mpaka basi, baada ya rais Magufuli kushinda urais wa Tanzania katika uchaguzi huru, wa haki na wa kidemokrasia, na serikali ikaamua kujenga uwanja wa ndege Chato, kuna watu humu walipinga sana ujenzi wa uwanja huo, mimi ni miongoni mwa wachache tuliounga mkono ujenzi wa uwanja huo
Naunga Mkono Uwanja wa Ndege wa Chato, Una Justification, Utakuwa kama Ggabolite, au Yamoussoukro, Watalii Watamiminika! - JamiiForums

Sasa rais Magufuli yuko Chato, watu humu wanaanza tena kupiga kelele, kwanini rais yuko Chato muda mrefu?.

Japo Kiswahili ndio lugha yetu ya taifa, lakini kiukweli Kiswahili ni kigumu hata kwa baadhi ya Waswahili wenyewe, hivyo kwa vile ni mmoja wa Watanzania tuliobahatika kuzaliwa mjini, kukulia mjini, kusomea mjini na sasa tunaishi mjini, Kiswahili ndio lugha yetu kuu, tunakimanya vilivyo.

Wengi wasiojua Kiswahili barabara, wanadhani Ikulu ni eneo rasmi specific la makazi ya rais kuishi na kufanyia shughuli zake kama ilivyo Ikulu ya Magogoni au Ikulu ya Chamwino, kumaanisha rais asipokuwa Ikulu ya Magogoni au Chamwino, akiwa pengine popote, anakuwa hayuko kazini, hivyo huku kwenye mitandao ya kijamii sasa kuna kelele za watu kutaka kulazimisha lazima wamuone rais Magufuli na kumsikia akitokea ama Ikulu ya Magogoni, au Ikulu ya Chamwino.

Ikulu sio eneo lolote specific, bali eneo lolote la makazi rasmi ya rais ambapo anaweza kutimiza majukumu yake ya urais, hivyo kwa Tanzania tuna ikulu ya Magogoni, Ikulu ya Chamwino, Ikulu ndogo ya Lushoto na karibu kila mkoa kuna Ikulu ndogo kama ya Arusha, Tanga, Morogoro, Mishi, Iringa, etc.

Enzi za Nyerere aliamua yeye hakai Ikulu bali aliishi Msasani, kama angeamua kufanyia kazi zozote za urais hapo Msasani, then pangekuwa ni ikulu ya Msasani. Mwalimu Nyerere alikuwa anakwenda likizo Butiama, wakati akiwa Butiama, akiamua kufanya majukumu yoyote ya kirais, then hapo Butiama panakuwa ni Ikulu ya Butiama.

Kwa muda sasa rais Magufuli yuko kijijini kwake Chato, kwa vile huko Chato anatimiza majukumu yake yote ya urais, then hapo Chato ni ikulu ya Chato, as long as mambo yote yanakwenda, hizi kelele za watu kutaka kumuona rais Magufuli akiwa ikulu ya Magogoni au ikulu ya Chamwino za nini?.

Hii ni press release ya leo
View attachment 1426440
Hitimisho.
Watanzania wazalendo watapenda kumuona rais wao akitimiza majukumu yake ya urais akiwa popote na tungependa rais wetu awe free kukaa mahali popote anapopenda as long as it takes.
Kuna watu wenye akili fupi wanadhani uwepo wa rais Magufuli Chato ni kuikimbia Corona, it's not!, kwa sisi ambao ka Corona ni kaugonjwa kadogo ambacho hakatishi na tusitishane, hatuwezi kukuambia ka Corona!.
Tupunguzeni kulalamika!

Paskali
Rejea
Hongera Rais Magufuli kuipendezesha Ikulu yetu kuliko enzi za Nyerere, Ikulu iwe kivutio cha utalii, restrictions ziondolewe watalii wafurike - JamiiForums

Tusilalamike tuu, kulaumu na kulaani kila kitu, kwenye mazuri tupongeze! Rais Magufuli is changing for the better!. - JamiiForums

Tusikalie kumlaumu tu Rais Magufuli na Serikali yake wanapofanya mabaya, kwenye mazuri, pia tupongeze!. - JamiiForums

Paschal Mayalla: Acheni kulalamika, kubalini mafanikio ya Serikali - JamiiForums
Nadhani umekosea kuutaja huo ugonjwa: Huo ni "kaugonjwa kadogo kadogo sana kanaitwa KOLONA"
 
Wapinzani wa magufuli sio wanataka rais awepo ikulu ila wanataka tu aongee ili nao wapate hoja za kuongea.
Maana kwa kutoongea magufuli wanajiona kama wamepigwa lockdown ya kisiasa. Wanakosa hoja. Wanajua akiongea maneno mia hawatakosa hata mawili ya kukosoa.
Hivyo kuwafanya waendelee kuwa hewani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa anasema kaugonjwa kadogo tusitishike halafu yeye kalala mbele,hapana!Hapa ndipo watu wanamkumbusha kurudi ikulu kupiga kazi!
 
Kaka Pascal Mayalla kuongoza hawa viumbe wa leo ni kazi sana maana kila utakachakifanya watainuka kukupinga. Na pia kumbuka mti wenye matunda ndio huo unaopigwa mawe
 
Uchaguzi ulikuwa wa huru na haki kwa kigezo kipi? Na unafahamu fika kwamba matokeo ya Uchaguzi kule zanzibar yalifutwa kwa figisu kibao!! Na hata huku bara bado vyama vililalamika na kutoa waraka kwamba hawamtambui rais aliyetangazwa na Tume....Acha unafki faza hata kama kujipendekeza huko kumezidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini yupo Chato ?Ama kweli hata Trump angeamua kweda Florida? basi Florida ingekuwa ikulu 🗣.
Ila Coronavirus ni mwanaume bwana katudhibitishia kuwa Rais wetu ni mwepesi kama karatasi,hana ujasiri wa kufront line mapambano.
Majaliwa Oyeeeeeeh.
Jiwe ziiii. Jiwe mdomoni tu,mbele ya Covid 19 hakuna cha jiwe.
Asante China.
Katoka nduki hatari kwenda kujificha!Halafu alivyo mnafiki anasema tupige kazi kwamba Corona ni kaugonjwa kadogo,aje tupige kazi wote!
 
Back
Top Bottom