Kiswahili cha Kisiasa Kwa Watanzania: Ikulu sio Eneo Specific, ni Makazi ya Rais, Tuna Ikulu ya Magogoni, Chamwino, Sasa Hadi Ikulu ya Chato!

Kiswahili cha Kisiasa Kwa Watanzania: Ikulu sio Eneo Specific, ni Makazi ya Rais, Tuna Ikulu ya Magogoni, Chamwino, Sasa Hadi Ikulu ya Chato!

Wanabodi,

Kiukweli baadhi ya Watanzania ni walalamishi mpaka basi, baada ya rais Magufuli kushinda urais wa Tanzania katika uchaguzi huru, wa haki na wa kidemokrasia, na serikali ikaamua kujenga uwanja wa ndege Chato, kuna watu humu walipinga sana ujenzi wa uwanja huo, mimi ni miongoni mwa wachache tuliounga mkono ujenzi wa uwanja huo
Naunga Mkono Uwanja wa Ndege wa Chato, Una Justification, Utakuwa kama Ggabolite, au Yamoussoukro, Watalii Watamiminika! - JamiiForums

Sasa rais Magufuli yuko Chato, watu humu wanaanza tena kupiga kelele, kwanini rais yuko Chato muda mrefu?.

Japo Kiswahili ndio lugha yetu ya taifa, lakini kiukweli Kiswahili ni kigumu hata kwa baadhi ya Waswahili wenyewe, hivyo kwa vile ni mmoja wa Watanzania tuliobahatika kuzaliwa mjini, kukulia mjini, kusomea mjini na sasa tunaishi mjini, Kiswahili ndio lugha yetu kuu, tunakimanya vilivyo.

Wengi wasiojua Kiswahili barabara, wanadhani Ikulu ni eneo rasmi specific la makazi ya rais kuishi na kufanyia shughuli zake kama ilivyo Ikulu ya Magogoni au Ikulu ya Chamwino, kumaanisha rais asipokuwa Ikulu ya Magogoni au Chamwino, akiwa pengine popote, anakuwa hayuko kazini, hivyo huku kwenye mitandao ya kijamii sasa kuna kelele za watu kutaka kulazimisha lazima wamuone rais Magufuli na kumsikia akitokea ama Ikulu ya Magogoni, au Ikulu ya Chamwino.

Ikulu sio eneo lolote specific, bali eneo lolote la makazi rasmi ya rais ambapo anaweza kutimiza majukumu yake ya urais, hivyo kwa Tanzania tuna ikulu ya Magogoni, Ikulu ya Chamwino, Ikulu ndogo ya Lushoto na karibu kila mkoa kuna Ikulu ndogo kama ya Arusha, Tanga, Morogoro, Mishi, Iringa, etc.

Enzi za Nyerere aliamua yeye hakai Ikulu bali aliishi Msasani, kama angeamua kufanyia kazi zozote za urais hapo Msasani, then pangekuwa ni ikulu ya Msasani. Mwalimu Nyerere alikuwa anakwenda likizo Butiama, wakati akiwa Butiama, akiamua kufanya majukumu yoyote ya kirais, then hapo Butiama panakuwa ni Ikulu ya Butiama.

Kwa muda sasa rais Magufuli yuko kijijini kwake Chato, kwa vile huko Chato anatimiza majukumu yake yote ya urais, then hapo Chato ni ikulu ya Chato, as long as mambo yote yanakwenda, hizi kelele za watu kutaka kumuona rais Magufuli akiwa ikulu ya Magogoni au ikulu ya Chamwino za nini?.

Hii ni press release ya leo
View attachment 1426440
Hitimisho.
Watanzania wazalendo watapenda kumuona rais wao akitimiza majukumu yake ya urais akiwa popote na tungependa rais wetu awe free kukaa mahali popote anapopenda as long as it takes.
Kuna watu wenye akili fupi wanadhani uwepo wa rais Magufuli Chato ni kuikimbia Corona, it's not!, kwa sisi ambao ka Kolona ni kaugonjwa kadogo ambacho hakatishi na tusitishane, hatuwezi kukuambia ka Kolona!.
Tupunguzeni kulalamika!

Paskali
Rejea
Hongera Rais Magufuli kuipendezesha Ikulu yetu kuliko enzi za Nyerere, Ikulu iwe kivutio cha utalii, restrictions ziondolewe watalii wafurike - JamiiForums

Tusilalamike tuu, kulaumu na kulaani kila kitu, kwenye mazuri tupongeze! Rais Magufuli is changing for the better!. - JamiiForums

Tusikalie kumlaumu tu Rais Magufuli na Serikali yake wanapofanya mabaya, kwenye mazuri, pia tupongeze!. - JamiiForums

Paschal Mayalla: Acheni kulalamika, kubalini mafanikio ya Serikali - JamiiForums
"kwa sisi ambao ka Kolona ni kaugonjwa kadogo ambacho hakatishi na tusitishane, hatuwezi kukuambia ka Kolona!"

Mkuu Paskali, kwa mtu ambaye hukurupuka tu kusoma maandishi yako bila ya kutuliza akili yake, hataweza kamwe kukuelewa na kuishia kukulaumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Kiukweli baadhi ya Watanzania ni walalamishi mpaka basi, baada ya rais Magufuli kushinda urais wa Tanzania katika uchaguzi huru, wa haki na wa kidemokrasia, na serikali ikaamua kujenga uwanja wa ndege Chato, kuna watu humu walipinga sana ujenzi wa uwanja huo, mimi ni miongoni mwa wachache tuliounga mkono ujenzi wa uwanja huo
Naunga Mkono Uwanja wa Ndege wa Chato, Una Justification, Utakuwa kama Ggabolite, au Yamoussoukro, Watalii Watamiminika! - JamiiForums

Sasa rais Magufuli yuko Chato, watu humu wanaanza tena kupiga kelele, kwanini rais yuko Chato muda mrefu?.

Japo Kiswahili ndio lugha yetu ya taifa, lakini kiukweli Kiswahili ni kigumu hata kwa baadhi ya Waswahili wenyewe, hivyo kwa vile ni mmoja wa Watanzania tuliobahatika kuzaliwa mjini, kukulia mjini, kusomea mjini na sasa tunaishi mjini, Kiswahili ndio lugha yetu kuu, tunakimanya vilivyo.

Wengi wasiojua Kiswahili barabara, wanadhani Ikulu ni eneo rasmi specific la makazi ya rais kuishi na kufanyia shughuli zake kama ilivyo Ikulu ya Magogoni au Ikulu ya Chamwino, kumaanisha rais asipokuwa Ikulu ya Magogoni au Chamwino, akiwa pengine popote, anakuwa hayuko kazini, hivyo huku kwenye mitandao ya kijamii sasa kuna kelele za watu kutaka kulazimisha lazima wamuone rais Magufuli na kumsikia akitokea ama Ikulu ya Magogoni, au Ikulu ya Chamwino.

Ikulu sio eneo lolote specific, bali eneo lolote la makazi rasmi ya rais ambapo anaweza kutimiza majukumu yake ya urais, hivyo kwa Tanzania tuna ikulu ya Magogoni, Ikulu ya Chamwino, Ikulu ndogo ya Lushoto na karibu kila mkoa kuna Ikulu ndogo kama ya Arusha, Tanga, Morogoro, Mishi, Iringa, etc.

Enzi za Nyerere aliamua yeye hakai Ikulu bali aliishi Msasani, kama angeamua kufanyia kazi zozote za urais hapo Msasani, then pangekuwa ni ikulu ya Msasani. Mwalimu Nyerere alikuwa anakwenda likizo Butiama, wakati akiwa Butiama, akiamua kufanya majukumu yoyote ya kirais, then hapo Butiama panakuwa ni Ikulu ya Butiama.

Kwa muda sasa rais Magufuli yuko kijijini kwake Chato, kwa vile huko Chato anatimiza majukumu yake yote ya urais, then hapo Chato ni ikulu ya Chato, as long as mambo yote yanakwenda, hizi kelele za watu kutaka kumuona rais Magufuli akiwa ikulu ya Magogoni au ikulu ya Chamwino za nini?.

Hii ni press release ya leo
View attachment 1426440
Hitimisho.
Watanzania wazalendo watapenda kumuona rais wao akitimiza majukumu yake ya urais akiwa popote na tungependa rais wetu awe free kukaa mahali popote anapopenda as long as it takes.
Kuna watu wenye akili fupi wanadhani uwepo wa rais Magufuli Chato ni kuikimbia Corona, it's not!, kwa sisi ambao ka Kolona ni kaugonjwa kadogo ambacho hakatishi na tusitishane, hatuwezi kukuambia ka Kolona!.
Tupunguzeni kulalamika!

Paskali
Rejea
Hongera Rais Magufuli kuipendezesha Ikulu yetu kuliko enzi za Nyerere, Ikulu iwe kivutio cha utalii, restrictions ziondolewe watalii wafurike - JamiiForums

Tusilalamike tuu, kulaumu na kulaani kila kitu, kwenye mazuri tupongeze! Rais Magufuli is changing for the better!. - JamiiForums

Tusikalie kumlaumu tu Rais Magufuli na Serikali yake wanapofanya mabaya, kwenye mazuri, pia tupongeze!. - JamiiForums

Paschal Mayalla: Acheni kulalamika, kubalini mafanikio ya Serikali - JamiiForums
Mkuu P,
Sikubaliani na wewe kwamba ikulu ni pahali popote Raisi atakapoamua kufanyia kazi. Ikulu si Raisi au jengo peke yake. Bali Ikulu ni jengo na wafanyakazi wa jengo. Raisi hafanyi kazi peke yake, Raisi ni taasisi na ana vyombo vyake na vinafanyia kazi sehemu au maeneo maalum. Vyombo hivi vimeratibiwa na kupangiwa maeneo au sehemu za kufanyia kazi, kati ya maeneo hayo Chato haijawahi kuwemo au kuthibitishwa kwamba ni eneo moja wapo. Raisi kama individual ni muajiriwa wa ikulu, au niseme wa hayo maeneo ya kazi zake.

Ila ikiwa utasema kama Raisi wetu ameamua kufanya kazi akiwa nyumbani kwa kuwa yumo katika wale wanaotajwa kama 'covid-19 vulnerable groups' na katika mazingira haya ya sasa ya hali ilivyo hasa Dar es Salaam, niseme tu katika hali hio hakuna ubaya. Ila hili nalo lingeekwa wazi tu kwetu ili tujuwe kwamba Raisi wetu anafanyia kazi nyumbani kwa sasa!
 
Umenena 👏🏽👏🏽👏🏽

Mh. Magufuli ninachompendea ni.. huwa yupo dakika tano mbele ya wengi.. ambao wao wanakuwa nddani ya maboksi wanapiga midomo tu.. hata akili za kuchungulia nje ya maboksi yao hawana.

Mola awe nasi
Si uhakika kama umeisoma hii post mpaka mwisho kabisa..Umeishia kichwa cha habari basi...Kumbe wilaya ya Chato ina Ikulu ndogo...Pascal nilikua sijui ili
 
Wanabodi,

Kiukweli baadhi ya Watanzania ni walalamishi mpaka basi, baada ya rais Magufuli kushinda urais wa Tanzania katika uchaguzi huru, wa haki na wa kidemokrasia, na serikali ikaamua kujenga uwanja wa ndege Chato, kuna watu humu walipinga sana ujenzi wa uwanja huo, mimi ni miongoni mwa wachache tuliounga mkono ujenzi wa uwanja huo
Naunga Mkono Uwanja wa Ndege wa Chato, Una Justification, Utakuwa kama Ggabolite, au Yamoussoukro, Watalii Watamiminika! - JamiiForums

Sasa rais Magufuli yuko Chato, watu humu wanaanza tena kupiga kelele, kwanini rais yuko Chato muda mrefu?.

Japo Kiswahili ndio lugha yetu ya taifa, lakini kiukweli Kiswahili ni kigumu hata kwa baadhi ya Waswahili wenyewe, hivyo kwa vile ni mmoja wa Watanzania tuliobahatika kuzaliwa mjini, kukulia mjini, kusomea mjini na sasa tunaishi mjini, Kiswahili ndio lugha yetu kuu, tunakimanya vilivyo.

Wengi wasiojua Kiswahili barabara, wanadhani Ikulu ni eneo rasmi specific la makazi ya rais kuishi na kufanyia shughuli zake kama ilivyo Ikulu ya Magogoni au Ikulu ya Chamwino, kumaanisha rais asipokuwa Ikulu ya Magogoni au Chamwino, akiwa pengine popote, anakuwa hayuko kazini, hivyo huku kwenye mitandao ya kijamii sasa kuna kelele za watu kutaka kulazimisha lazima wamuone rais Magufuli na kumsikia akitokea ama Ikulu ya Magogoni, au Ikulu ya Chamwino.

Ikulu sio eneo lolote specific, bali eneo lolote la makazi rasmi ya rais ambapo anaweza kutimiza majukumu yake ya urais, hivyo kwa Tanzania tuna ikulu ya Magogoni, Ikulu ya Chamwino, Ikulu ndogo ya Lushoto na karibu kila mkoa kuna Ikulu ndogo kama ya Arusha, Tanga, Morogoro, Mishi, Iringa, etc.

Enzi za Nyerere aliamua yeye hakai Ikulu bali aliishi Msasani, kama angeamua kufanyia kazi zozote za urais hapo Msasani, then pangekuwa ni ikulu ya Msasani. Mwalimu Nyerere alikuwa anakwenda likizo Butiama, wakati akiwa Butiama, akiamua kufanya majukumu yoyote ya kirais, then hapo Butiama panakuwa ni Ikulu ya Butiama.

Kwa muda sasa rais Magufuli yuko kijijini kwake Chato, kwa vile huko Chato anatimiza majukumu yake yote ya urais, then hapo Chato ni ikulu ya Chato, as long as mambo yote yanakwenda, hizi kelele za watu kutaka kumuona rais Magufuli akiwa ikulu ya Magogoni au ikulu ya Chamwino za nini?.

Hii ni press release ya leo
View attachment 1426440
Hitimisho.
Watanzania wazalendo watapenda kumuona rais wao akitimiza majukumu yake ya urais akiwa popote na tungependa rais wetu awe free kukaa mahali popote anapopenda as long as it takes.
Kuna watu wenye akili fupi wanadhani uwepo wa rais Magufuli Chato ni kuikimbia Corona, it's not!, kwa sisi ambao ka Kolona ni kaugonjwa kadogo ambacho hakatishi na tusitishane, hatuwezi kukuambia ka Kolona!.
Tupunguzeni kulalamika!

Paskali
Rejea
Hongera Rais Magufuli kuipendezesha Ikulu yetu kuliko enzi za Nyerere, Ikulu iwe kivutio cha utalii, restrictions ziondolewe watalii wafurike - JamiiForums

Tusilalamike tuu, kulaumu na kulaani kila kitu, kwenye mazuri tupongeze! Rais Magufuli is changing for the better!. - JamiiForums

Tusikalie kumlaumu tu Rais Magufuli na Serikali yake wanapofanya mabaya, kwenye mazuri, pia tupongeze!. - JamiiForums

Paschal Mayalla: Acheni kulalamika, kubalini mafanikio ya Serikali - JamiiForums
. Mkuu Pasco. Asante. Naomba niweke sawa. Kuna ikulu (state house) ambayo ni mali ya serikaii kama Chamwino. Kuna nyumba ya mapumziko au rest house au ikulu ndogo ambayo ni mali ya serikali lkn pia kuna nyumba ya kuishi anayokaa mtu awe rais au vingine. Hii ya Chato ina hadhi gani?
Z
 
Rais na amiri jeshi mkuu, dunia IPO katika vita dhidi ya Corona, TZ pia ikiwemo. Vita hivi ni dhidi ya adui asiyeonekana bali madhara yake. Moja ya sifa za Rais ni kuilinda katiba ya nchi na kulinda uhai wa RAIA awaye yeyote dhidi ya majanga na vita kwa gharama yoyote ile kwani amekabidhiwa hiyo dhamana.

Anapaswa kuingia katika uwanja wa mapambano kwa kuhamasisha na kutoa amri na makatazo yatakayolinda RAIA wake dhidi ya huyu adui. Ikulu ya Chato itatumika tu pale Rais akiwa mapumzikoni na kwa nn aende ajifungie huko wakati huu ambao nchi inamuitaji kuliko wakati mwingine wowote.

Hapa ndipo alipofeli na usitetee kisa huu ni mwaka wa uchaguzi unajitahidi kupalilia njia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pascal, nadhani kuna mahali umekosea. Kwa tafsiri mpya kwa kadiri ya kamusi ya kiswahili, 2020 version, Ikulu ya Rais ni mahali popote atakapokuwepo Rais. Kwa hiyo Ikulu inatembea na Rais.

Kama ikitokea Rais wetu akawa Lilongwe au mjini Gitega au Uvira, basi automatically, wakati Rais yupo huko, na Ikulu itakuwa huko. Tanzania statehouse is not static, it is dynamic, can change its location depending movements of the President.

Tatizo kubwa ni kubwa watanzania wengi hawajibidishi kusoma ili kuweza kuelewa hizi tafsiri za kisasa za lugha ya Kiswahili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Pascal,
Kwanza, acha watu walalamike wana sababu zao mkuu. Watu hawaoni hatua madhubuti zozote zinazozichukuliwa na nchi kwa ajili ya kukomboa uchumi/afya za wananchi wake hasa katika kipindi hiki cha hili janga.Angali Rais wa SA anavyowafariji wananchi wake katika kipindi hiki cha hili janga. Pia ameenda mbali zaidi kwa kuitaka serikali yake ipunguze kodi kwa makampuni. Hii ni hatua mojawapo ya kuhakikisha uchumi wa wananchi wake usiwe mbaya sana. Sijui ni kwa sababu he is very intelligent one au ni upendo kwa nchi yake na kwa wananchi wake.

Pili, mambo yapo tofauti sana huku Tz kwa sababu kuteua na kutengua watumishi wa umma katika kipindi hiki cha korona-19 mnaleta picha gani kwa wananchi/Au huo uteuzi unafaida gani ya moja kwa moja kwa mwananchi wa kawaida? Kama ameona katika kada ya afya kuna tatizo kwanini asimuondoe waziri wa afya na siyo watu waliochini yake(COLLECTIVE RESPONSIBILITY)

Tatu, anasisitiza watu wakusanyike kumuomba MUNGU aondoe hili janga wakati muda huo yeye haendi kwenye mikusanyiko hiyo ya kidini kwa ajili ya kufanya maombi bali kajichimbia huko Chato kijijini kwake. Angalia sasa mlipuko ulivyokuwa mkubwa kutokana na mikusanyiko isiyo na maana. Kama siyo kuwatoa wananchi wake sadaka ni nini?
Hujamwelewa kabisa. Rudia kusoma tena, utaelewa anachotaka kusema Pascal.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Pascal, watanzania wengi elimu ya uraia inatupiga sana chenga, kwenye ziara nyingi za Rais neno ikulu ndogo ni la kawaida, kwani hawa vijana hawasikilizi hata taarifa za habari wala kusoma mitandao yenye habari za uhakika?.Utakuta mtu anabisha na kushupaa kwa mambo aliyopaswa kujua kwenye uraia wa kidato cha pili, kama sio darasa la sabab na sita.
 
Hujamwelewa kabisa. Rudia kusoma tena, utaelewa anachotaka kusema Pascal.

Sent using Jamii Forums mobile app

Umetumia kipimo gani kutambua kwamba sijamuelewa Pascal?

Wewe ndiye Pascal? au unataka kusema ubongo wako na wa Pascal unafanana namna ya kufikiri?

Ulitaka nimjibu kama unavyofikiri wewe?

Ningekuwa sijamuelewa nisingejibu hoja yake na ndiyo maana hata yeye mwenyewe ameonesha appreciation kwenye hoja yangu.

Hakika wewe ndiyo hujaelewa maandishi yangu mkuu. Soma tena usipoelewa nitakufafanunulia vyema mkuu.
 
Common sense and reason... nadhani wewe siyo msomi!
Wewe ulieqt from wikipedia ukadhani ndio concrete supportive qt ya uongo wako ndio Msomi??
Barudia Wikipedia MTU yeyote aweza edit akawea updates bila kujali anapotosha ama lah #Rudishulendugu
 
Wewe ulieqt from wikipedia ukadhani ndio concrete supportive qt ya uongo wako ndio Msomi??
Barudia Wikipedia MTU yeyote aweza edit akawea updates bila kujali anapotosha ama lah #Rudishulendugu
common sense and reason!
 
Back
Top Bottom