Kiswahili cha Kisiasa Kwa Watanzania: Ikulu sio Eneo Specific, ni Makazi ya Rais, Tuna Ikulu ya Magogoni, Chamwino, Sasa Hadi Ikulu ya Chato!

Kwa umri wako nadhani wakati wa vita ya uganda ulikuwa una akili kidogo.wakati vita ile inapiganwa raisi nyerere alikuwa wapi?
Hakuna aliyepinga ujenzi wa uwanja wa ndege watu wanapinga utaratibu wa ujenzi huo kutopitia bungeni.
Usitukaririshe bwana we

Sent using Jamii Forums mobile app
 

..muulize kama Raisi atakayemfuatia Magufuli ataweza kuhamia " ikulu ya chato " na kutekeleza majukumu yake.

..Ikulu ni kwa ajili ya Maraisi wote. Ni mali ya SERIKALI. Makazi binafsi ya Raisi hayawezi kuwa Ikulu.
 
Hatukuona Ikulu ya Butiama .....watu wakiteuliwa na vyombo vikikutana Rasmi
Hatukuona kwa Mkuranga au Makunduchi ikiwa Ikulu
Hatukuona Lupaso au Lushoto Residence ikiwa public
Hatukuona kazi rasmi za Rais Zikifanyika Msoga ....
Hakuna Utetezi hapo
 
Wewe umtenga kiasi gani kujilinda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pale Mikocheni kwa Mwalimu ni Mali UA Serikali??? Au Mwitogo Kule Butiama nako pia??? Mbona alipatumia kuongoza nchi na mambo yakaenda Sawa? Acheni upotoshaji Mkuu wa Nchi Huko na Kazi zinaenda. Mnaomtaka mna yenu na hamtafanikiwa
Tuweke kumbukumbu sawa, Mwitongo palijengwa na JKT baada ya mwalimu kustaafa. Kati ya viongozi wote wastaafu hakuna aliyejenga international airport wilayani kwake. Huu ndio ukweli na hakuna upotoshaji, period.
 
Tuweke kumbukumbu sawa, Mwitongo palijengwa na JKT baada ya mwalimu kustaafa. Kati ya viongozi wote wastaafu hakuna aliyejenga international airport wilayani kwake. Huu ndio ukweli na hakuna upotoshaji, period.
Una umri gani wewe? Aliekuambia palijengwa na JKT ni nani?
 
Wandugu, hapa nafanya tuu follow up ya Corona nikipitia kujikumbusha niliwahi kuandika nini au kusema nini kuhusu Corona na hiki kinacho endelea sasa. Corona is real tusifanye masihara, tujilinde kwa kufuata ushauri wa kitaalamu.

Kila Jumamosi asubuhi kuanzia saa 1:30 hadi saa 3:00 asubuhi , Star TV, huwa ninakuwa live kwenye kipindi cha TV cha Jicho Letu Ndani ya Habari ambacho huwa kinatangwa live na Star TV kila siku za Jumamosi asubuhi, kwa Jumamosi ya kesho, mgeni wetu ni Waziri wa Habari, Dr. Harrison Mwakyembe tukijadili kuhusu athari za Corona kwenye sekta ya Habari, nini kifanyike.

Ukipata nafasi karibu utufuatilie.

P
 
Kuwa mstaarabu,wewe ni mtu mzima na haya unayofanya ni utoto!Nani amekwambia tunataka kuona nyuzi zako ukurasa mzima wa JF?Unakera bhana,umeshafungua uzi ukatoa habari inatosha!Huu ni uhuni
 
Sina hakika, ila nilibaini karibu kila mkoa niliowahi kutembelea ulikuwa na Ikulu ndogo.

Sioni ukakasi sana "mwamba" kuwa Kwao. Home ni home tu mazee.

Wengine tuonapo mambo yamekuwa ndivyo sivyo huwa tunarudi nyumbani kuyajenga then tunarejea kwenye mapambano.

Sio issue sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu Pascal Mayalla naona unatumia gear ya Mwigulu Nchemba.

kazana mwanangu - who knows? hata kama ukiwa DC kwa miezi 4 iliyobaki utaziba mashimo mengi ya kutosha tu kiuchumi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…