Kiswahili: Matumizi ya Herufi “L” na “R”

Kiswahili: Matumizi ya Herufi “L” na “R”

Lakin hawatumii L kwenye R, Hawasemi Laha badala ya Raha hivyo hawachanganyi r na l
Sababu kubwa no kutokana na matamshi kwenye makabila yetu. Mfano kwa wenzetu Wakurya hutumia "r" badala ya "l" kama vile (chakura) badala ya chakula, wari badala ya wali.
 
Huo ni ugonjwa sasa, hata kwenye mambo serious kama anwani za makazi imekuwa shida!
 
Wakuu naona mnauzunguka mbuyu tu! The fact is mafundisho shule ya msingi yamedorora. Tanzania ya leo almost 95% wanakifahamu kiswahili tofauti na say miaka ile ya 60, 70 mpaka 80 ambapo kiswahili kilikuwa mijini tu, tena baadhi ya miji maana sehemu kama Tukuyu, Muleba au Rombo hata mjini watu walikuwa wanachapa lugha za asili. Turudi kwenye hoja:

Ni kweli ili ujifunze kiswahili sanifu same lugha yoyote kiusanifu unahitaji mafundisho of some sort. Nakumbuka wakati ule tunaanza darasa la kwanza, la pili mpaka la tatu. Kuna watu walipata shida mno kutokona na matashi yalioathiriwa na lugha za asili

mfano ra, re, ri ,ro ,ru au za, ze, zi, zo, zu ziliwekwa l and s respectively. To be frank enzi zile fimbo ilikuwa inatembea (Probably not applie to this day) mpaka watu wanajifunza. Nakumbuka kuna jamaa ilimchukua takribani mwezi kutamka "zamani za kale" yeye alitamka "samani sa kale". Lakini make no mistake by then mtu aliyekuwa na tatizo hili kwanza alikuwa careful akabla ya ya kulitamka neno na pili there was no way akakosea kulianndika. Na kama ukifanya uchunguzi utagundua hii ni generation problem. My own granny hakuweza kutamka meza au zulia but he would never write mesa au sulia kama alivyokuwa akitamka.

Mimi nachokiona ni kwamba walimu shule za msingi, they don't care anymore!!!!!!!! Na hili pia indirectly ni tunda la ufisadi. On top of that nna hakika zikitafutwa takwimu za ukweli kuhusu "numeracy" and "literacy" rate in Tanzania hali ni ya kutisha kwa sasa.
Sahihi
 
Back
Top Bottom