Kitaalamu Yanga wako sawa hawana ushamba

Kitaalamu Yanga wako sawa hawana ushamba

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Pre season ni ushamba kuwachosha wachezajina mechi zisizo na kichwa wala miguu ni ushamba tu, hakuna cha kubadili hali ya hewa wala saikolojia kwa sababu kwa sasa saikolojia ya wana yanga iko heaven kabisa juu mbinguni hukoo wana morale kubwa na kujiamini mno

*wana uhakika wa kutetea ngao ya hisani, ligi na FA hata mapinduzi watabeba na hawatafungwa wala kutoa draw mechi hata moja

*wana uhakika wa nusu fainali ya klabu bingwa afrika kinachowaumiza kichwa ni jinsi ya kuingia fainali na kubeba kombe

Wamesajili profeshno wasiohitaji sijui kuzoeana na wenzao ,wale wanajua wanchokifanya ,waacheni wachezaji wapumzike wakutane tarehe 1/08/2022 kwa mazoezi mepesi hiyo mechi ya tarehe 6 na red arrows ni ya sherehe tu ya yanga day lakini kwa kikosi jinsi kilivyo hata wasipofanya mazoezi uhakika wa kumfunga yoyote afrika upo
 
Bandiko refu point less,

Hata mtu akiwa hana pesa na bado anajimwambafya ana pesa pia ni ushamba.

Kama kucheza ugenini pre season ni ushamba,
Iweje Utopolo waweke booking za uturuki?.
 
Bandiko refu point less,

Hata mtu akiwa hana pesa na bado anajimwambafya ana pesa pia ni ushamba.

Kama kucheza ugenini pre season ni ushamba,
Iweje Utopolo waweke booking za uturuki?.
Umemuerewa mutoa hoja ?
 
Kwa namna uto wasivyojielewa watafurahia huu uzi sana [emoji1787][emoji1787]
Pre season ni ushamba kuwachosha wachezajina mechi zisizo na kichwa wala miguu ni ushamba tu, hakuna cha kubadili hali ya hewa wala saikolojia kwa sababu kwa sasa saikolojia ya wana yanga iko heaven kabisa juu mbinguni hukoo wana morale kubwa na kujiamini mno

*wana uhakika wa kutetea ngao ya hisani, ligi na FA hata mapinduzi watabeba na hawatafungwa wala kutoa draw mechi hata moja

*wana uhakika wa nusu fainali ya klabu bingwa afrika kinachowaumiza kichwa ni jinsi ya kuingia fainali na kubeba kombe

Wamesajili profeshno wasiohitaji sijui kuzoeana na wenzao ,wale wanajua wanchokifanya ,waacheni wachezaji wapumzike wakutane tarehe 1/08/2022 kwa mazoezi mepesi hiyo mechi ya tarehe 6 na red arrows ni ya sherehe tu ya yanga day lakini kwa kikosi jinsi kilivyo hata wasipofanya mazoezi uhakika wa kumfunga yoyote afrika upo
 
Africa ina nchi zaidi ya 50 kwanini makao makuu ya caf yakawekwa Misri.
kwanini Simba kambi iwe Misri na sio nchi nyingine.
ukiwa na akili za kimbuzi uwezi elewa haya mambo.
 
Back
Top Bottom