Kitabu cha Enoch kinawataja malaika 200 walioasi ambao ndio waliiba Siri na teknolojia za mbinguni kisha wakamfundisha Binadamu

Mkuu binafsi nimefuatilia sana, na nimegundua kuwa Biblia kwa sehemu kubwa imetokana na Summerian tablets, kiufupi ni kwamba Mungu anayeongelewa kwenye Biblia ni Anu, Enki na Enlil.
 
Na ndio Enki(Summerian Mythology).
 
Alafu hizi Stori za kale ukisoma utagundua Dini NI uongo
Mpaka sasa mimi naamini hivyo.
Zimejiundia visheria sheria ili kuepuka kua criticised, viongozi wake hawagusiki, imani yao haitetereshwi na haikosolewi ukaachwa bila kushutumiwa na wafuasi.

Hizi dini zina contradiction nyingi sana. Huko tuendako ukweli utadhihirika.
 
Mkuu binafsi nimefuatilia sana, na nimegundua kuwa Biblia kwa sehemu kubwa imetokana na Summerian tablets, kiufupi ni kwamba Mungu anayeongelea kwenye Biblia ni Anu, Enki na Enlil.
Yeah ndio hao hao hakuna wengine,
Watu hawaelewi hili Ila kama ukisoma Summerian tablet vizuri ukaja kusoma kitabu cha Mwanzo kwa jicho la tatu utagundua ndio wale wale,
Mfano ni kile kitendo cha Mungu kumtembelea Abraham pale mialoni mwa Mamre akiwa katika umbo la binadamu utagundua kabisa kitu hakipo sawa!
 
Duuh! Enoch ana balaa..
 
Kinachonisumbua mpaka sasa ni Yesu anaingiaje hapa?
Yaani Yesu ana uhusiano gani na Annunaki?
Hahaha Wana uhusiano mkubwa tu maana Annunak Nephilim walikua divine being na Yesu ndio master wa Spiritual Realm,
Moja ya sifa kubwa ya Annunak ni kua wao ni super race waliowahi exist wakiwa ni Immortal na ndio viumbe wa kwanza kumfungua Binadamu kuhusu maswala ya kiroho ila baadae watu kwa kutokuelewa wakaanza kuwaabudu kama gods!

Ila uhalisia sisi wao na viumbe wengine ni demi gods katika Ulimwengu wa Roho tena Binadamu anaweza kuadvance mpaka anaenda mbali zaidi hivyo walihakikisha wanaficha hio elimu ila Teacher Master Yashua Amashiach Mnazarene akaja toa siri hiyo!
Haya mambo deep yana balaa lake!
 
😂
 

Hivyo biblia ni uongo
 

Nani aliandika kitabu cha mwanzo
 

Henoko ni malaika metatron ni mkubwa sana kwenye rank za angels
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…