Kitabu cha Erick Kabendera: Ni vema atoe ushahidi wa tuhuma alizochapisha kuhusu Magufuli kuhusika kifo cha Ben Saanane

Kwa nini wakili wake hakuwa anampelekea Gillette?
Hahaha wewe unayafahamu masharti ya mahabusu Tanzania hii au unaongea tu?

Chakula chenyewe unaweza kupeleka na asipewe, unaambiwa kiweke hapo atapewa, au unaweza ambiwa kifunguwe kikaguliwe unaweza utawanya ugali mpaka ukakutia kinyaa, sasa hicho kitoweo unaweza ambiwa mwaga mchuzi tuone huko chini kuna nini, yote hayo wao wanaita ni utaratibu wa kawaida, kuwalinda mahabusu wasipewe sumu, au vyakula visivyo faa.

Halafu wewe unaongelea gillette, wembe hata topaz huruhusiwi kuwa nayo mahabusu, hiyo ni kwa usalama wako na mahabusu wengine.
 
View attachment 3190848

TF!!

Look at him. Unkempt. Looks musty. Confused. Unhinged.

With a look like that, his credibility is shot from the jump.

Look at his beard. Some of you find him sexy? Can’t buy a razor?

Loser in every way.
Weka na ya kwako tulinganishe. Kilichomo kichwani hakionekani kwa macho ya wabeba makasha ughaibuni
 
Kwa hiyo Ushahidi wewe ndo unao kuwa hakuuawa na Magufuli??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…