Kitabu cha Erick Kabendera: Ni vema atoe ushahidi wa tuhuma alizochapisha kuhusu Magufuli kuhusika kifo cha Ben Saanane

Hii si baada ya kutoka jela,

Kaguswa mungu wenu wa chato naona mmechachamaa wasukuma
Mkuu,

Usihusishe Wasukuma na ujinga wa Magufuli.

Kwanza Magufuli hakuna ukoo wa Wasukuma unaomtambua, sisi tunawajua kina Bomani, kina Nyalali, Magufuli Msukuma wa ukoo gani?

Hawa wengine ni Wakonongo wakikaa kwa Wasukuma na kujua lugha wanajiita Wasukuma kwa sababu Wasukuma jina letu kubwa 😂😂😂
 
Nendeni mahakamani mkavuliwe nguo , hakuna mwenye uthubutu Tanzania hii wa kupeleka kesi mahakamani.....Huko serikalini wanachekecha namna ya kumteka
Nyie nao kama wehu,mnasema hzi mahakama hazitendi haki …then hii nshu ya magu mnasema nendeni mahakamani….Then what?! Kwq akil ya kawaida tu rais aende nyumbani kwa makamu wake ili aka mbake?!???
 
Kama judicial commission haitaundwa kuchunguza enforced didappearances za akina saa 8,, Azory, Kanguye etc., story ya Kabendera itakuwa ya kweli...
 
View attachment 3190848

TF!!

Look at him. Unkempt. Looks musty. Confused. Unhinged.

With a look like that, his credibility is shot from the jump.

Look at his beard. Some of you find him sexy? Can’t buy a razor?

Loser in every way.

Yaani wewe huyo msukuma mwenzako kutajwa katika maovu imekuuma sana, mbona uwa unanzishaga thread za kumpaka choo Mama Samia hapa ila watu hawatoi povu, kila muda unaanzisha thread, unafikiri watu wote tulikua tunamkubali huyo mwendazake?

Samia anakandiwa kila siku hapa, mbona uwa haikuumi?

Kama unampenda sana mfate kule chato alipolala basi, si yuko chato pale kalala nenda, tena kajenga uwanja wa ndege mkubwa pale, unapanda tu ATCL

Kwani iyo Ikulu yeye ndio wa kwanza kuikalia? Mbona mzee wetu kikwete asakamwi? Mwinyi, mkapa na nyerere?

Huyo mtu wako kama ana mazuri atazungumziwa kwa mazuri yake na kama alifanya mabaya acha watu wazumgumze ya moyoni
 
Kwa nini unawachukia Wasukuma?
 
Yule mwendawazimu alikuwa na uwezo wa kunyang'anya hata bastola ya maafisa usalama wake na kuitumia kuua. Yule alikuwa kichaa kweli kweli.
 
View attachment 3190848

TF!!

Look at him. Unkempt. Looks musty. Confused. Unhinged.

With a look like that, his credibility is shot from the jump.

Look at his beard. Some of you find him sexy? Can’t buy a razor?

Loser in every way.
Argue against the content,not personality!!!

Hiyo ndo Kabendera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…