Kitabu cha Erick Kabendera: Ni vema atoe ushahidi wa tuhuma alizochapisha kuhusu Magufuli kuhusika kifo cha Ben Saanane


Kabendera ni mwandishi mahili sana.Siyo wale waandishi wa mihemuko na njaanjaa.Na hili aliloliandika kama siyo tumemuelewa vibaya basi atakuwa na ushahidi wa haya aliyoandika.Na kama anao ushahidi akiombwa atautoa.na akiutoa lazima utatuhuzunisha zaidi. so nadhani tuishie hapo hapo tu tusiendelee kutengenezeana chuki.Ikumbukww pia kabendera ni miongoni mwa wale waliokutikana na tuhuma za utakatishaji fedha na wakamalizana na serikali kwa jinsi kwa wakati ule ilivyoonekana ni sawa kumaliza makosa ya jinsi ile kwa namna ile
 
Too late! Kitabu kimenunuliwa dunia nzima kwa wingi mno!
 
Changamoto hapa ukienda kufungua kesi itabidi uje uthubitishe kifo chake kilikuwaje na kama hakufa yuko wapi? Serikali gani itajibu haya maswali?
 
Mnaruka na kukanyagana.....!!
 
Kwanza tupate uhakika kama kweli Ben kafa au kafichwa na kama kafa basi mwandishi anajua kila kitu aoneshe na mabaki ya mwili wa Ben ili yafanyiwe uchunguzi
 
Kwanza tupate uhakika kama kweli Ben kafa au kafichwa na kama kafa basi mwandishi anajua kila kitu aoneshe na mabaki ya mwili wa Ben ili yafanyiwe uchunguzi


..kwanini hatuvidai VYOMBO VYA DOLA vifanye kazi yake?
 
Mimi sijakisoma hicho kitabu kipya cha Kabendera "In the name of President:Memoirs of Jailed Journalist😛ublished by Amazon sio publisher mdogo.

Sababu ipi nzito itakayomsukuma Raisi Magu ampige risasi Saanane?

Kwanza lazima iwepo motive,motive itayomfanya Magu to loose temper,to such an extent of pulling a gun and short mercifully Saanane in forehead!!!

Hapa napata ukakasi kwa mtu tena Raisi Magufuli,Raisi aliyezoeleka kufanya vizuri mambo mengi under extreme conditions
Harafu yeye mwenyewe amtwange risasi tena Ikulu kisa kuandika utata wa Doctorate degree ya Mjomba Magu?
Nadhani Kabendera amepotoshwa.
 
Wakikizui kitabu hicho ndio watakipa umaarufu mkubwa kitatafutwa na kusomwa na watu wengi kama vile njugu
 
Yuko kwenye payroll ya wazungu
 
Hao siyo reputable as you think

Ni machinery tu ya foreign powers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…