Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!
As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.
KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.
Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.
Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.
Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity
pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?
In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?
Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.
Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.
Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.
Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated
Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office
As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.
KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.
Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.
Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.
Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity
pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?
In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?
Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.
Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.
Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.
Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated
Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office