Kitabu cha kabendera ni hadithi za kufikirika na sio Facts, Serikali ipeleke Shitaka Mahakamani

Kitabu cha kabendera ni hadithi za kufikirika na sio Facts, Serikali ipeleke Shitaka Mahakamani

Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!

As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.

KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.

Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.

Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.

Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity

pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?

In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?

Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.

Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.

Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.

Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated

Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office
Nenda kashitaki mahakamani, huko ndo ushahidi utatolewa
 
Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!

As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.

KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.

Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.

Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.

Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity

pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?

In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?

Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.

Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.

Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.

Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated

Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office
😄🤣😄🤣
 
Hii ishu ya Ben imenishangaza zaidi, ina maana hii taarifa ya Ben kupigwa risasi hata Chadema hawajawahi sikia?

Kama alvyosema mtoa mada, kitabu cha Kabendera na claims au maoni yake binafsi, huku ni kama story za vijiweni, hiwezi verify chochote. Ukiongozwa na hisia unatekwa na hichi kitabu
 
Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!

As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.

KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.

Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.

Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.

Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity

pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?

In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?

Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.

Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.

Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.

Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated

Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office
Hivi haiwezekani wewe binafsi kumfungulia kesi Kabendera?
 
Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!

As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.

KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.

Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.

Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.

Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity

pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?

In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?

Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.

Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.

Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.

Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated

Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office
Lakini ambao wametajwa si wapo tena ambao walikuwa na ukaribu sana na Hayati?
Mtu kama mkewe ambaye kwenye kitabu inaonekana eti aliwahi kupigwa hadi kulazwa! Kama si kweli si akanushe?
Mh. Rais wa sasa naye kagusiwa kwenye kitabu, kama si kweli si akanushe?!
Anyway, Mambo mengine ni ya ajabu sana.
Mbona Hayati yeye hakuwahi kuogopa enzi za uhai wake?
Kwa nini watu wasubiri afe halafu ndo waanze kujimwambafy?!
Halafu ili lina faida gani kwa sisi wananchi wa kawaida?!
 
Lakini ambao wametajwa si wapo tena ambao walikuwa na ukaribu sana na Hayati?
Mtu kama mkewe ambaye kwenye kitabu inaonekana eti aliwahi kupigwa hadi kulazwa! Kama si kweli si akanushe?
Mh. Rais wa sasa naye kagusiwa kwenye kitabu, kama si kweli si akanushe?!
Anyway, Mambo mengine ni ya ajabu sana.
Mbona Hayati yeye hakuwahi kuogopa enzi za uhai wake?
Kwa nini watu wasubiri afe halafu ndo waanze kujimwambafy?!
Halafu ili lina faida gani kwa sisi wananchi wa kawaida?!
Sahihi, kama ni mkakati, je kumchafua hayati kuna faida gani kwa taifa ?
 
Alitaka kubakwa ulimuona, hiyo ni Accusation tena ya dhidi ya aliyekuwa Rais … hivyo ni lazima asimame mbele ya Mimbari atuambie ni wapi ametoa hizo taarifa.

Kitabu hiko kinapatikana Amazon, hivi ume imagine impact na reputation ya kitabu dhidi ya usalama wa taifa letu

Kabendera lazima aje asimame mbele ya Umma… kitabu hakisomeki….kina dirty info dhidi ya Serikali

Kama mnadhan hili ni shambulio la Dr JPM…… very wrong
hakuna soft copy mkuu nilipitie namimi ila kama kitabu kipo jamaa anaichafua serikali sio lakufumbia macho.
 
Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!

As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.

KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.

Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.

Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.

Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity

pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?

In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?

Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.

Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.

Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.

Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated

Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office
Determinantor
Pascal Mayalla

Kuandika kitabu aina hii ni sawa na kuandika habari za uchunguzi?
 
Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!

As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.

KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.

Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.

Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.

Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity

pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?

In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?

Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.

Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.

Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.

Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated

Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office
Uliona wapi vitabu vya uchunguzi mpaka viwe na ushahidi unaoweza kuwa checked? Inatosha kuwa na ushahidi unaoweza kuwa collaborated na watu wengine wanaoaminika.
Hii sio sayansi kwamba utasema unapeleka lab. Inatosha kwa Mfano watu watatu wasiojuana kuelezea tukio hilo hilo moja.
 
Uliona wapi vitabu vya uchunguzi mpaka viwe na ushahidi unaoweza kuwa checked? Inatosha kuwa na ushahidi unaoweza kuwa collaborated na watu wengine wanaoaminika.
Hii sio sayansi kwamba utasema unapeleka lab. Inatosha kwa Mfano watu watatu wasiojuana kuelezea tukio hilo hilo moja.
it should be clear kuwa hiyo ni Fictional. Nimesoma vitabu vya uchunguzi vingi vinakuwa na references na source vérification , watoa taarifa, picha za matukio na nk. Kama ni kitabu cha maelezo tu huo ni udaku. Hata picha ya cover aliyotumia ni misleading. Ni picha ambayo JPM alikuwq anasisitiza umuhimu wa kuhakiki silaha kwa raia

Rais kutembea na silaha ni jambo la kawaida
Ikiwa mm natembea na silaha yangu muda wote, what about the president ?

Just be rational
 
Hii ishu ya Ben imenishangaza zaidi, ina maana hii taarifa ya Ben kupigwa risasi hata Chadema hawajawahi sikia?

Kama alvyosema mtoa mada, kitabu cha Kabendera na claims au maoni yake binafsi, huku ni kama story za vijiweni, hiwezi verify chochote. Ukiongozwa na hisia unatekwa na hichi kitabu
Hawajawahi kusikia wakati kitabu kimesema viongozi wa serikali pamoja na wa upinzani yaani Chadema wamemwambia?
Kule ndani kaekezea Bahia viongozi wa chadema wanajua Saanane aliuawa Ikulu.

Aliuawa baada ya kukataa kusaliti Chadema na kwenda ccm na kufuta madai take yote juu ya PhD ya Magufuli.

Kutoka aliingilia kati kutetea Ph.D na akaishia kupewa uwaziri.
 
Back
Top Bottom