Kitabu cha kabendera ni hadithi za kufikirika na sio Facts, Serikali ipeleke Shitaka Mahakamani

Kitabu cha kabendera ni hadithi za kufikirika na sio Facts, Serikali ipeleke Shitaka Mahakamani

Hawajawahi kusikia wakati kitabu kimesema viongozi wa serikali pamoja na wa upinzani yaani Chadema wamemwambia?
Kule ndani kaekezea Bahia viongozi wa chadema wanajua Saanane aliuawa Ikulu.

Aliuawa baada ya kukataa kusaliti Chadema na kwenda ccm na kufuta madai take yote juu ya PhD ya Magufuli.

Kutoka aliingilia kati kutetea Ph.D na akaishia kupewa uwaziri.
Hizi ni claim ndani ya kitabu, tuna ziverify vipi ?

Nikitoka na kusema Mbowe ndio anahusika na kumuua Ben , taarifa hizi ni za ndani ya wstu wa chadema ila sitotaja majina kwa sababu za kiusalama, je Utaniamini maneno yangu ?

Be rational
 
Hawajawahi kusikia wakati kitabu kimesema viongozi wa serikali pamoja na wa upinzani yaani Chadema wamemwambia?
Kule ndani kaekezea Bahia viongozi wa chadema wanajua Saanane aliuawa Ikulu.

Aliuawa baada ya kukataa kusaliti Chadema na kwenda ccm na kufuta madai take yote juu ya PhD ya Magufuli.

Kutoka aliingilia kati kutetea Ph.D na akaishia kupewa uwaziri.
Kila mara Chadema na wapenda haki wanasema wanataka haki kwa Ben S, ila sijawahi sikia wakisema kwamba Rais wa nchi alifanya kama Kabendera alivyoelezea
 
Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!

As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.

KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.

Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.

Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.

Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity

pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?

In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?

Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.

Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.

Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.

Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated

Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office
Peleka wewe kama raia.
Serikali makini haiwezi ikajibu shutuma hizi.
 
Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!

As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.

KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.

Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.

Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.

Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity

pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?

In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?

Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.

Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.

Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.

Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated

Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office
Mmmh !
 
Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!

As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.

KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.

Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.

Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.

Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity

pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?

In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?

Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.

Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.

Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.

Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated

Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office
First things first, serikali unayotamani ifungue mashtaka haina jeuri ya kufanya hivyo na wala haitafungua mashtaka. Mengi(if not all) ya ulichokiita biased allegations ni ukweli mtupu na Kabendera si mtu wa kwanza kuyamwaga peupe lakini amekuwa wa kwanza kuyaanika 'rasmi' tofauti na ilivyokuwa awali ambapo yalisambaa kama 'rumors'.
Being a scientist umepinga with zero facts, unadai ame-mislead pasina kuainisha ukweli(with your solid facts ili tulinganishe kati yako na Kabendera nani mkweli na nani ni muongo).
Bandiko lako ni manipulation 100%, unajifanya spin master kupotosha watu. Ikulu hawaishi malaika, ni watu kama wewe with their good, bad and ugly characters hivyo mtu kuuawa au kutokea jaribio la ubakaji ni kitu kinachowezekana kabisa. Unadai Kabendera can't prove anayodai yalitokea ikulu je upande wako can you prove kwamba hayakutokea?
Maelezo yako yameendeshwa na hisia(too bad) ila kwa zile tabia za Jiwe(namjua we used to be neighbors akiwa waziri) yote yaliandikwa kwenye kitabu hakuna cha kushangaza labda kwa wasiomfamu ndiyo watashangaa.
 
Lakini ambao wametajwa si wapo tena ambao walikuwa na ukaribu sana na Hayati?
Mtu kama mkewe ambaye kwenye kitabu inaonekana eti aliwahi kupigwa hadi kulazwa! Kama si kweli si akanushe?
Mh. Rais wa sasa naye kagusiwa kwenye kitabu, kama si kweli si akanushe?!
Anyway, Mambo mengine ni ya ajabu sana.
Mbona Hayati yeye hakuwahi kuogopa enzi za uhai wake?
Kwa nini watu wasubiri afe halafu ndo waanze kujimwambafy?!
Halafu ili lina faida gani kwa sisi wananchi wa kawaida?!
Faida ni kujua yaliyojiri, mama Janet amepitia madhila mengi ambayo hata Kabendera hayafahamu ndiyo maana hayamo kwenye kitabu.
 
Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!

As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.

KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.

Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.

Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.

Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity

pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?

In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?

Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.

Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.

Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.

Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated

Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office
Sasa mleta mada unasema kilichoandikwa na Kabendera kwenye kitabu chake ni hadithi za kufikirika, sasa unakwenda mahakamani kushtaki nini?
Unashtaki hadithi za kufirika za mwandishi ili iweje?
Yaani wewe unaumia nini na hadithi za kufikirika za Mwandishi?
 
Ndio maana tunasema the only way ya yeye kuwidraw hizo raw data zilizomfanya kuandika kitabu ni kupeleka shitaka mahakamani. Ataitwa kutoka huko huko alipo. In his Book amesema alikuwq akipewa info kutoka baadh ya major generals…… like is serious ?
Huyu amekuja na come back itakayorahisisha upelelezi wa unanswered issues nyingi

Unless mpango mzima ni mkakati

..mbona ni rahisi zaidi kwa serikali kuchunguza na kumkamata aliyemuua Ben Saanane?
 
Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!

As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.

KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.

Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.

Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.

Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity

pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?

In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?

Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.

Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.

Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.

Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated

Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office
Sisi ndio tunapenda hizo hadithi.
Na ntanunua hata vitabu 3 ili nimuunhishe.
Vingine ntavipeleka "Machame VS Ikungi"
 
Back
Top Bottom