Kitabu cha kabendera ni hadithi za kufikirika na sio Facts, Serikali ipeleke Shitaka Mahakamani

Kitabu cha kabendera ni hadithi za kufikirika na sio Facts, Serikali ipeleke Shitaka Mahakamani

Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!

As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.

KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.

Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.

Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.

Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity

pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?

In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?

Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.

Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.

Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.

Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated

Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office
KABENDERA INGEFAA AWE AMEPUMZIKA.
 
Kabendera kasema ameongea na watu mbalimbali wakiwemo wanasheria. Amesema hayo yaliyoandikwa ni yale tu yanayoweza kutolewa ushahidi pindi ukihitajika. Ambayo hawana namna ya ku-prove ukweli wake wameachana nayo.
Umeshawahi kuangalia Investigation channels au books evidence zinavyokuwa presented. Kwenye investigation books au channels at least 45% kitabu au film lazima kiweke credible sources! Kitabu cha jamaa chote ni fictional theory

Hata picha alizotumiq ni picha zake binafsi akiwa amekamatwa

Pia cover photo ni picha ya JPM akikagua silaha, I have a gun ….kisheria
Jpm anayo gun kisheria pia …. What is wrong about that kama akikagua silaha yake na akihamasisha raia kufanya ivo

Cover picha tu ni total misleading,

Soma sheria na content za investigation info

Otherwise na mm nitasema wewe umemua Kibao, nimepata taarifa from
Your people who I can not mention them
…… is that an investigation info?
 
Hizi ni claim ndani ya kitabu, tuna ziverify vipi ?

Nikitoka na kusema Mbowe ndio anahusika na kumuua Ben , taarifa hizi ni za ndani ya wstu wa chadema ila sitotaja majina kwa sababu za kiusalama, je Utaniamini maneno yangu ?

Be rational
WATU HAWATAKUELEWA KUTOKANA NA UPUMBAVU ULIOWAJAA KICHWANI KUWA MBOWE NA CHADEMA NI WATU SAFI SASA SUBIRINI MTAONA UCHAFU WAO KATIKA MTIFUANO KATI YA MBOWE NA LISSU WATATAJA MPAKA WALIVYO MCHACHA WANGWE
 
Mkuu naomba unipe faida 5 za hiki kitabu kwa mwananchi wa kawaida
HAKINA FAIDA KWANZA KIMEANDIKWA KIZUNGU NA TATZ HAWANA UMUHIMU NA KUSOMA VITABU SASAHIVI UKMUULIZA MZEE WA KULE MAYOVU KUHUSU KITABU KWANZA ATAONA UNAMTUKANA NA HUYO KABEDERA WALA HAMJUI
 
Kabendera hawezi proove claims zake kwakuwa anategemea watu ambao ndio waliompa hizo taarifa.

Hao watu kwa maelezo yake wanatoka kwenye vyombo vya usalama na wanakuwa na viapo vyao.

Ili athibitishe lazima hao watu waje kutoa maelezo , sasa nani atakuwa tayari kukiuka viapo vyake mbele ya mamlaka, maana huko kifichoni sio sawa na mbele ya mamlaka.
HAKUNA ATAKAYE KUBALI KUTOA USHAHIDI WATU WALIKUWA WANAMJAZA UPEPO TU NAYE KAINGIA KINGI NEVER HAKUNA MTU ATAENDA KUTOA USHAHIDI MAHAKAMANI
 
Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!

As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.

KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.

Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.

Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.

Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity

pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?

In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?

Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.

Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.

Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.

Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated

Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office
Mwambie huyo aliyekupa hili bandiko sijui Megalodon kuwa hata yeye ana RUHUSA ya kwenda Mahakamani, kwanini anaisukumia Serikali.

Yaani nyinyi misukule wa Magufuli mulikuwa mmamuona ni mungu wenu, sasa uovu wake unatolewa mnaanza kusambaratika
 
Kuna mawili, eidha;
1. ni kweli hazina "evisensi" au
2. zina "evisensi", ila wewe hujui kama zipo
Evidence unities wapi?
Umeshawahi kusoma investigation news au TV ?

45% of the evidence must be presented. Mfano alipaswa kuwa na picha ya Ben akiwa ameingizwa Mochwari as he claimed
Ikulu kuna Camera all the way ….. tukio la JPM kumpiga Ben ndani ya ikulu kama ni kweli basi lipo captured ….. waliompa taarifa walipaswa kumpenyezea na hizo clip au picha……. Then zitokee in his book

Words can’t prove anything my friend.

Imagine there is fake news , then imagine how bad history is ?
 
Peleka wewe kama raia.
Serikali makini haiwezi ikajibu shutuma hizi.
Serikali makini haiwezi kuingia kwenye shutuma. Ikulu imeshambuliwa kwa watumishi wa Umma kutaka kubakana ndani ya Ofisi, ikulu imeshambuliwa kwa mtumishi wa Umma kupiga raia risasi then unasemaje hiyo ni serikali makini
Wewe ni kichaa au ; that should never happen
Kuandikwa tu hivo inaondoa umakini wa hiyo serikali
 
Sasa mleta mada unasema kilichoandikwa na Kabendera kwenye kitabu chake ni hadithi za kufikirika, sasa unakwenda mahakamani kushtaki nini?
Unashtaki hadithi za kufirika za mwandishi ili iweje?
Yaani wewe unaumia nini na hadithi za kufikirika za Mwandishi?
Hadith za kufikirika zenye shutuma
 
Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!

As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.

KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.

Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.

Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.

Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity

pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?

In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?

Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.

Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.

Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.

Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated

Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office
Kitabu nakisoma bado kidogo nakimaliza.Kitabu kipo vizuri kinaeleza kwa kina kila kitu hakuna uongo kimejaa fact tu.

Kina sehemu zinasikitisha hasa Pajama.
 
Kitabu nakisoma bado kidogo nakimaliza.Kitabu kipo vizuri kinaeleza kwa kina kila kitu hakuna uongo kimejaa fact tu.

Kina sehemu zinasikitisha hasa Pajama.
How do you define facts ? Nimesoma chote,
 
Hao unaowaambia wafungue kesi hawathubutu maana ukweli wanaujua vizuri sana kuliko hata wewe, sipati picha pajama lilivyotuna .
 
Mahakamani hakuna ushahidi wa "niliambiwa na mkubwa mmoja". Ni ushahidi usiokuwa ma shaka ndio unaotakiwa. Familia ya JPM imsweke jamaa ndani.
 
Back
Top Bottom