Kitabu cha kabendera ni hadithi za kufikirika na sio Facts, Serikali ipeleke Shitaka Mahakamani

Kitabu cha kabendera ni hadithi za kufikirika na sio Facts, Serikali ipeleke Shitaka Mahakamani

Mbona mnahangaika sana. Serikali na watendewa wako kimywa, shida inatoka wapi mpaka nyinyi(sijui ni nani katika serikali). Pilipili usizokula zinakiwashaje?
Achana naye huyu.
Hajui kuwa hii ni calculated move kama vile kuwafukuza akina January na Nape.
 
Evidence unities wapi?
Umeshawahi kusoma investigation news au TV ?

45% of the evidence must be presented. Mfano alipaswa kuwa na picha ya Ben akiwa ameingizwa Mochwari as he claimed
Ikulu kuna Camera all the way ….. tukio la JPM kumpiga Ben ndani ya ikulu kama ni kweli basi lipo captured ….. waliompa taarifa walipaswa kumpenyezea na hizo clip au picha……. Then zitokee in his book

Words can’t prove anything my friend.

Imagine there is fake news , then imagine how bad history is ?
Kwamba camera za ikulu zimpe ushahidi Kabendera..!! Kama zile za Lisu hadi leo kitendawili, itakuwa za ikulu..!!??
 
Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!

As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.

KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.

Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.

Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.

Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity

pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?

In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?

Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.

Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.

Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.

Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated

Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office

Kabendera: Amekuja na nimehoji watu na niliambiwa hivi .............

Wewe umekuja na: Trust me brother/self feelings baada ya kusoma kitabu.

Kama mwanasayansi kwa kadri yako na status ya unapofanyia kazi na kazi unayoifanya, nilitegemea uje na kati ya haya: nimeambiwa hivi kinyume na haya yaliyoelezwa au ninachokifahamu ni hiki kinyume na yaliyoandikwa.

Hapa unapiga ngumi chini ya mkanda, umefanya chini ya kile hata mwenzako amefanya iwe kweli au si kweli.

Ungekuja nawe unasema umeambiwa tofauti na Kabendera au una taarifa tofauti, hapo ingekuwa vyema mkutanishwe kwenye mzani ulio sawa na mashahidi wenu. Otherwise hakuna mashiko, bora ungeandika taarifa ya kuomba apatiwe taarifa zaidi unazozikosa na si kukanusha au zitafutie ukweli vs uongo ndo uje public na bandiko husika kama lilivyo. Pia tusiote tu na kubabika lengo la mwandishi kwa utashi wetu au kumhukumu bila taarifa sahihi. Tunaendeleza yaleyale.
 
Mbona unahaha na hadithi?
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Kabendera hawezi proove claims zake kwakuwa anategemea watu ambao ndio waliompa hizo taarifa.

Hao watu kwa maelezo yake wanatoka kwenye vyombo vya usalama na wanakuwa na viapo vyao.

Ili athibitishe lazima hao watu waje kutoa maelezo , sasa nani atakuwa tayari kukiuka viapo vyake mbele ya mamlaka, maana huko kifichoni sio sawa na mbele ya mamlaka.
Yeye yule anayeona Kabendera ametunga haya mambo(kwamba ni fabricated lies) akafungue kesi mahakamani ndiyo itajulikana mbivu na mbichi kwani atalazimika kutaja vyanzo vyake. Je kuna watakaothubutu kufungua kesi ilhali haijulikani Kabendera ana ushahidi kiasi gani na vyanzo vyake ni vipi? Kama ni watu wazito sana serikalini ndiyo madudu yote ndani ya mfumo yataanikwa hadharani na kama ameokotaokota hizo habari hapa na pale ndiyo tutambaini longolongo zake.
Kumpinga kwa kudai jamaa ni muongo lazima uwe na facts za ukweli otherwise let's give him the benefits of the possibilities.
 
Shahidi wa kwanza ni samia, je samia alihojiwa kabla ya publication ?

Mwingine ni Janeth, je alihojiwa ?

Baadh ya walinzi wa JPM wapo na wengine wapo hapo mbweni, je wamehojiwq ?

Major general alietajwq kwenye kitabu yupo, je amehojiwa……. ?

With all that , huoni kitabu kimebeba taarifa zisizo rasmi na shutuma zaidi ?
Je una uhakika kama hawakuhojiwa? Hebu tuwekee ushahidi wa kwamba hawakuhojiwa, they can volunteer information hata kama si direct kwa Kabendera lakini kwa mtu(watu) ambaye naye anaweza kufunguka kwa Kabendera. It's just one of the possibilities,
 
Labda kama ana backup ya mabeberu!

Lakini Kwa hicho kitabu na swala la muda tu the man is no more!

Kwa Sasa Wana deal na waliompa info!

Naendelea kuwaza pole pole huku nikijiona ndani ya office kubwa!
Kudeal na waliompa info
Hapo itadhihirisha ukweli wa kitabu
 
Mkuu naomba unipe faida 5 za hiki kitabu kwa mwananchi wa kawaida
Kama kwako hakina faida haimaanishi hakina faida kwa wengine, hata kujua tu what transpired during that particular time ni faida ndiyo maana kuna makala/vitabu vingi duniani ambavyo havina faida direct zaidi ya labda kuvitumia kama reference kujibia mitihani mashuleni/vyuoni.
 
Kabendera: Amekuja na nimehoji watu na niliambiwa hivi .............

Wewe umekuja na: Trust me brother/self feelings baada ya kusoma kitabu.

Kama mwanasayansi kwa kadri yako na status ya unapofanyia kazi na kazi unayoifanya, nilitegemea uje na kati ya haya: nimeambiwa hivi kinyume na haya yaliyoelezwa au ninachokifahamu ni hiki kinyume na yaliyoandikwa.

Hapa unapiga ngumi chini ya mkanda, umefanya chini ya kile hata mwenzako amefanya iwe kweli au si kweli.

Ungekuja nawe unasema umeambiwa tofauti na Kabendera au una taarifa tofauti, hapo ingekuwa vyema mkutanishwe kwenye mzani ulio sawa na mashahidi wenu. Otherwise hakuna mashiko, bora ungeandika taarifa ya kuomba apatiwe taarifa zaidi unazozikosa na si kukanusha au zitafutie ukweli vs uongo ndo uje public na bandiko husika kama lilivyo. Pia tusiote tu na kubabika lengo la mwandishi kwa utashi wetu au kumhukumu bila taarifa sahihi. Tunaendeleza yaleyale.
Thank you. Jamaa ushahidi alionao wa kumpinga Kabendera ni JUST TRUST ME.
 
Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!

As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.

KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.

Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.

Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.

Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity

pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?

In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?

Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.

Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.

Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.

Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated

Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office
Sometimes it is better to keep quiet!
 
Labda kama ana backup ya mabeberu!

Lakini Kwa hicho kitabu na swala la muda tu the man is no more!

Kwa Sasa Wana deal na waliompa info!

Naendelea kuwaza pole pole huku nikijiona ndani ya office kubwa!
Utakuwa unajua kinachoendelea chini ya carpet
 
Sasa kama alikuwa kichaa anashindwaje kumbaka makamu wake??
Kitabu kinasema alimbaka? Au umejiongeza kama desturi yetu watanzania. Tukipewa kichwa cha habari tunatiririka story yote.
 
Yeye yule anayeona Kabendera ametunga haya mambo(kwamba ni fabricated lies) akafungue kesi mahakamani ndiyo itajulikana mbivu na mbichi kwani atalazimika kutaja vyanzo vyake. Je kuna watakaothubutu kufungua kesi ilhali haijulikani Kabendera ana ushahidi kiasi gani na vyanzo vyake ni vipi? Kama ni watu wazito sana serikalini ndiyo madudu yote ndani ya mfumo yataanikwa hadharani na kama ameokotaokota hizo habari hapa na pale ndiyo tutambaini longolongo zake.
Kumpinga kwa kudai jamaa ni muongo lazima uwe na facts za ukweli otherwise let's give him the benefits of the possibilities.
Hakuna atayefungua kesi za kijinga kujihangaisha na huo upumbavu ambao inafahamika wazi kuwa umekuwa motivated na chuki dhidi ya marehemu.
 
Hatimaye nimemaliza kusoma kitabu cha Erick!

As a scientist, kuna CLAIM na TRUTH. Ili claim iwe truth, ni lazima iwe evidence based, that can be checked and verified by anyone beyond the resoanable doubt.

KITABU cha Erick kimeainisha CLAIMS ambazo hazina data and no one can verify zaidi ya sisi kutulazimu kuamini maandiko yake kama tulivyoamini DINI.

Kwenye kitabu chake ameeleza kuwa taarifa alizotoa ni za hakika na hawezi kuwataja watu majina waliompa Taarifa kwa sababu za kiusalama. Kwenye ulimwengu wa SCIENCE, hii ni misleading information and cannot be taken as a proper reference , and in data SCIENCE hii ni VOID INFORMATION as well as MANIPULATION.

Maelezo ya KABENDERA yapo BIAS kwenye ulimwengu wa data.

Mosi, kuna conflict of interest kwa kuwa jamaa alikamatwa sana na JPM hivyo kuna uwezekano ameandika kitabu akiwa more subjectively na ni sehemu ya machungu hivyo ku compromise data integrity

pili, source ya data zake cannot be checked by anyone....except himself ! what if source zili mmisguide for personal interest....If data cannot be checked by anyone.... that is personal opinion.... true or false ?

In the name of president, ameeleza Samia alitaka kubakwa na JPM, nilitegemea kuona kuna taarifa za kuhojiwa kwa Samia juu ya hili tukio, kitabu kieleze kuwa Samia alihojiwa na akatoa ithibati, which is contrary. Ikulu Ilikanusha taarifa za Samia kutaka kujiuzulu. Kitabu cha Erick kinasema Samia alitaka kujiuzulu kwa kuwa alitaka kubakwa. Je ipi ni evidence based ? What are the reliable sources za kabendera ambazo we can go and Check ?

Kwamba, Ben alipigwa RISASI na JPM ndani ya Ikulu. It is obvious hii ni third party information, je ali crosss check vipi the reality ya taarifa from the third party informants ? What if the information provided intended to MISLEAD? Yote hayo yanatuweka Skeptical kwenye authentification ya hiyo Fictional book.

Aidha, hili sio Shambulio la Dr JPM, bali ni shambulio la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kama mtu mmoja anaweza kutaka kubakwa ndani ya Ikulu sehemu ambayo tunaamini ni salama than any other place... that means the country is no longer safe, CCM is no longer safe, Samia anapoteza sifa za kuwa Rais wa URT unless the whole SAGA iende litigation Samia aje ku confess mbele ya mahakama na Kabendera alete evidence based mbele ya mahakama otherwisee hiyo nchi iwe chini ya JESHI maana kwa muktadha wa kitabu, IKULU is bleeding and dirty place.

Kama Rai anaweza kupigwa RISASI ndani ya Ikulu na mtu tuliempa dhamana ya kutuongoza....hii ni tafsiri kuwa ikulu ipo chini ya MAJAMBAZI na watu salama kwa sasa ni JESHI Tu.

Tofauti na hapo tupo chini ya wahuni. Unless Gerson MSIGWa utoe ufafanuzi wa hiki kitabu cha taarifa za kufikirika ikiwa ni pamoja na KUFUNGUA MASHTAKA dhidi ya Erick na kitabu chake, awe summoned na kutoa Evidence based. Njia pekee ya Erick ya ku disclose evidence zake ni kufunguliwa mashtaka, mashtaka yanafunguliwa na Serikali ya URT kwa maana claim zimeelekezwa kwa aliyekuwa Rais, Makamu wa Rais na Serikali kwa Ujumla yaani Ikulu.
kama Serikali itaendelea kukaa kimya, that means hiki ni kitabu cha mkakati ndani ya CCM and all moves are calculated

Dr Megalodon
Ottawa, Canada
Rue 52, WHO Regional Office
Kwa taarifa likija shirika huru aliyosema Kabendera yatakuwa na ukweli wa 90%, kutaka kupata evidence toka kwa serekali inayolinda huo uchafu ni kutaka kujifariji. Unasema Ikulu ni sehemu salama sana, hilo ni kweli, ila ni salama kuhusu usalama wa rais, lakini haina uwezo wa kumzuia rais akitaka kubaka, ama kupiga mtu risasi. Fahamu rais wa Tanzania kwa katiba hii ni sawa na Mungu, sasa unawezaji kumzuia mtu mwenye kinga ya kutoshitakiwa kwa kosa lolote akiwa au ametoka madarakani? Ni hivi, Magufuli alikuwa shetani katika umbile la binadamu fullstop.
 
Hakuna atayefungua kesi za kijinga kujihangaisha na huo upumbavu ambao inafahamika wazi kuwa umekuwa motivated na chuki dhidi ya marehemu.
Mbona watu wameshabambikiwa kesi nyingi sana, nini kinashindikana kwenye hili la kuchafuliwa watawala ambao wana uwezo hata wa kuziagiza mahakama zitoe hukumu ya aina gani?
 
Lengo lako siyo zuri mtoa mada. Maana hata mwenye serikali mwenyewe alitaka kubakwa. Unataka akaaibike huko mahakamani?
Jiwe kama jiwe. Mtu ale udaga, maziwa fresh toka kuzaliwa na karanga mbichi. Full antena.
 
Kitabu kinasema alimbaka? Au umejiongeza kama desturi yetu watanzania. Tukipewa kichwa cha habari tunatiririka story yote.
Mkuu soma kitabu hapo, kimewekwa kwenye threads kibao.

Screenshot_20250106-235353.png
 
Mkuu soma kitabu hapo, kimewekwa kwenye threads kibao.

View attachment 3195210
Hii part ilinishangaza sana. Evidence ya Ben saa nane kuuliwa informants from gvt officers ambao walimpigia simu tu!

Hii hata yeye mwenyewe hawezi kuthibitisha ukweli wa hii info …. It Remains rumors. Mwandishi wa kitabu ndio mwandishi wa story ya Yoga…… dark days
 
Kwa taarifa likija shirika huru aliyosema Kabendera yatakuwa na ukweli wa 90%, kutaka kupata evidence toka kwa serekali inayolinda huo uchafu ni kutaka kujifariji. Unasema Ikulu ni sehemu salama sana, hilo ni kweli, ila ni salama kuhusu usalama wa rais, lakini haina uwezo wa kumzuia rais akitaka kubaka, ama kupiga mtu risasi. Fahamu rais wa Tanzania kwa katiba hii ni sawa na Mungu, sasa unawezaji kumzuia mtu mwenye kinga ya kutoshitakiwa kwa kosa lolote akiwa au ametoka madarakani? Ni hivi, Magufuli alikuwa shetani katika umbile la binadamu fullstop.
Kumtoa Mwinyi
Kuna Rais hajawahi kuua wapinzani, ( carefully, I am not justifying this ) !

Only Magufuli was obvious !
 
Back
Top Bottom