Kitabu cha Munga Tehanani - Uchawi

This is whataboutism, also logical non sequitur fallacy, also strawman argument fallacy.

Mimi siongelei mangapi, naongelea hili.
Mmmmh kiranga wewe Kiranga. . .ipo siku hicho Kiranga chako kitakunyoosha Haki ya Mungu.😅
 
Sasa mbona wewe ndiye unawachosha watu kwa kuendeleza ubishi na mtu anayewachosha watu?

You can't censor me.

Hujui hata ku define uchawi ni nini. Unabumbabumba tu.
Basi kama unajua tafsiri ya Uchawi si jukwaa lipo wazi Sasa tutabanaishe?
Maneno mengi yanini yatufarakanishe Wana JF wakati Mwalimu Mzuri kama ww upo?
 
Hapa naona mmoja hana elim kabisa zaidi ya ujuaji..... mwingine kasoma vitu kwenye makaratasi!!
Tafsiri fupi asiye na elim anamuuliza asiye na elim.
Elim ya kiroho hakika yake huwa inafundishwa direct kupitia mdomo na macho kutoka kwa mfanyaji kwenda kwa mpokeaji.
Hicho kitabu sijakisoma lakini nahakika zaidi ya 55%, kinastory tu kuhusu elim za kiroho na sio elim harisi ya kiroho


ila lazima kitakuwa n kizuri
 
Nakubaliana na Wewe Mkuu kwamba Elimu Nzuri ya Kiroho ni ile ya ana Kwa ana.
Lakini Sasa, Jamii inatafuta Elimu, Wenye Elimu wameshindwa kuifikisha Elimu Kwa walengwa.
Kwa Sura hii Jamii inatapatapa.
Hata vipande vya makala za ajabuajabu huokotwa ili kukata kiu ya uhitaji.

Ni vile Huwezi kuamini, ila Niamini Mimi, Jamii inatamani Sana kujua Mambo ya Kiroho kuliko Njia za kupata Pesa.
 
Naelewa unachokizungumza, maana mm nipo advanced kidogo kwenye maswala ya kiroho
(Nani Dunian ambaye hataki kuongea na ulimwengu wa kiroho?
Hayupo,,,, maana huko ndo kuna kila kitu

Mungu, Ibiris, Malaika, Majinn, utajiri, umasikini, bahati, mikosi n.k
Vyote vipo huko
Ukitaka Dunia ikuinamie wewe pita huko utaona balaa lake
 
meditation inayo majibu ya kushangaza mno sjawi ona kitu ya thaman kama hii
 
namimi nipo kwenye maandaalizi ya kuandika kitabu kuhusu nguvu ya fikra zetu. hakika fikra ndio uchawi wenyewe.
Nikipata nafasi Nitatoa Ushuhuda mmoja wa Nguvu ya Kiroho na kifikra niliyowahi kui apply Kwa watu wachache Nikiwa Mwanza.
Then, Nitaomba Mnikosoe, mnifundishe na Mnisaidie ikibidi ili kufanya Kwa ukamilifu.
 
meditation inayo majibu ya kushangaza mno sjawi ona kitu ya thaman kama hii
Mwaka 1 Nikiwa Dodoma, Nilijiunga na kundi Fulani la Mambo ya Meditation linaloitwa PATH SOCIETY.
Kwakweli Nilijilazimisha KueLewa hii Kitu Lakini nilishindwa. Kichwa kilikuwa kinaniuma sana, Ndoto Ngumu na zaajabu ambazo sikupata mtafsiri Kwa wakati ule. Viongozi wangu wa meditation walinipa Moyo tu kwamba Hali hizo zitapita.
Hatimaye Nilijiondoa kimyakimya.
 
Hii promo.
Kwanza umesema hujui wako wapi then una copy za wasap.
Hujui nani kakiiba.
Mara unajua Hadi wanafunzi wake.
Kisha unaifahamu pathy society Dodoma.
Unauza kopi sh ngapi?
 
Sasa kama huwezi hata ku u define uchawi, maana yake wewe mwenyewe huuelewi uchawi, utajuaje upo kweli na si hadithi za watu tu?
Mimi najua upo kutokana na kushuhudia hayo yenye kuitwa kuwa ni uchawi kwa maana hayo mambo yapo na nayashuhudia na huitwa kuwa ni uchawi, ndio maana nasema ufanyike uchunguzi kuchunguza hayo mambo.

Unachotaka kufanya ni kutaka kupinga uwepo wa uchawi kwa kupitia definition ya uchawi kitu ambacho hauwezi kuwa sahihi kwa sababu hata sisi tunaoamini uchawi tunatofautiana kwenye baadhi ya definitions ila wote tunakubali uwepo wa kinachoitwa uchawi, sasa wewe unataka kuhitimisha hakuna uchawi kwa kukosoa definitions za neno uchawi na kuacha kujadili mambo ambayo huitwa ni uchawi.
 
Nimeuliza hivi.

Toa definition ya uchawi.

Mpaka sasa hujatoa.

Pia nikauliza hivi.

Hicho unachofikiri ni uchawi unahakikishaje kuwa ni uchawi kweli na si kitu kingine tofauti na uchawi ambacho hujakielewa vizuri tu?

Hujajibu.

Uchawi ni nini?

Hicho unachokiita uchawi unahakikishaje ni uchawi kweli na si kitu tofauti tu ambacho labda hujakielewa vizuri tu?
 
Tusaidie wewe Kilanga, Maana Kwa Hakika sisi tulio wengi hatujui, Ndio Maana tunahangaika na vitabu na magazeti ya zamani kupata knowledge Hii.
Tufundishe Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…