Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Jamni .tushee wote.mzitume
 
upo sahihi mkuu tuko pamoja
 
Poor dad Richard dad
 
Gifted hand na great think vya Benn Carson hivi vitabu vilinifanya nipige msuli sana na kujiamini...
 
The Holly Bible,
The Richest man in Babylon,
Think and grow rich,
Rich Dad Poor Dad,
Mwanzo wa Kuwa Tajiri by Mabula Jilala(Tz).
Think and Grow Rich, and
The richest man in Babylon.
These two are my financial aids, personal advisor and emotional composure.

Man of Steel and Velvet and
Light her Fire
These are the crucial other two for Relationship , sexual and family Affair personal advisor.

And the final three for social, communication and interpersonal development back up.

How to Win Friends and Influence people
Talk your way to the top
And How to listen better.
 
Stop Worrying and Start Living. by Dale Carnegie
Hiki kitabu kipo vizur saana , thou ndo nmekianza !!!! Page za mwanzon tu ila naona kinanisaidia haswa jins ya kuwa na alternative /plan b katika jambo linalokutatiza........ Stress zinapungua saana
 
Ukisoma "Think and grow rich-Napoleon Hill" lazima utakuja kuedit hiyo reply yako.

NOTE:
Nimesoma vyote hivyo viwili na nilianza na hicho cha Kiyosaki nikawa nakisifu kama wewe ulivyoandika

Kiyosaki yuko straight to the point sana kuliko Napoleon kwa mtazamo wangu!
 
Jamii forum mkeka huu umebadili, na unaendelea kubadili isha langu haha haaa hhuuuuuuuuwiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…