Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Mtafute Sidney Sheldon....This is the person who inspired Dan Brown to begin writing thriller fictional novel

Huyu huwez anza novel yake leo uweke chini zina flavour yake

Sidney Sheldon was a master who inspired masters in thriller and crime novel...

Tafuta novel yake yoyote utaniambia
Jamni .tushee wote.mzitume
 
upo sahihi mkuu tuko pamoja
Jamani mi biblia imenibadilisha kabisa mfumo mzima wa maisha yangu

Huwa naamini misingi Ya kufanikiwa ipo kwenye Biblia .

Ujasiri, kutumaini katika unachokifanya, upendo, subira, uvumilivu, kuwa na kias katika mambo tuyafanyayo yote haya utajifunza ukisoma na kutafakari biblia.

Umuhimu wa juhudi katika kazi, kujari maslah Ya wengine, kuwainua wengine Kwa kuitumia nafasi yako, kuyatambua na kuyatimiza majukumu yako kifamilia, kuishi vizuri na mke na watoto,,, yote haya utayajua ukisoma na kuitafakari biblia.

Kutowahukumu wengine, ukuhimu wa sadaka, Shukran na sehemu Ya kumi Ya mapato yako pia kuweza kuicontrol pesa ili isiharibu uhusiano wako na mungu na wanadamu na kuuchafua utu wako.

Ni mengi sana nimejifunza na bado naendelea kujifunza na kuapply katika maisha halisia kiukweli ni raha sana ,,mimi ilikua ukinizingua lazima nikupasue au nikutapikie lakini sasa hivi natumia positive alternative kukabiliana na wewe
 
Vitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadharia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze kitu kipya kichwani chenye kukuza uelewa wako na kuboresha maisha yako kwa njia yeyote ile.

Hapa tujadili nguvu ya vitabu katika maisha ya mtu yawezekana ulisoma wewe au umewahi kukisikia kwa watu tushirikishane.

Kuna wengi tumebadilishwa au kuboreshwa maishani mwetu kiafya, kijamii, kibiashara, kitaaruma, kimitazamo, kiimani, kimwili, mahusihano nk kupitia vitabu.

Kitabu gani ambacho kiligusa maisha yako au kukubadilisha na unatamani wanajf wenzako tujifunze pia, unaweza kueleza kimekusaidiaje kwa ufupi kama hutojali.

=========

Unaweza kujipakulia au kujisomea baadhi ya Vitabu kwenye hii thread=>Vitabu vilivyowahi kubadilisha maisha yako
Poor dad Richard dad
 
Gifted hand na great think vya Benn Carson hivi vitabu vilinifanya nipige msuli sana na kujiamini...
 
The Holly Bible,
The Richest man in Babylon,
Think and grow rich,
Rich Dad Poor Dad,
Mwanzo wa Kuwa Tajiri by Mabula Jilala(Tz).
Think and Grow Rich, and
The richest man in Babylon.
These two are my financial aids, personal advisor and emotional composure.

Man of Steel and Velvet and
Light her Fire
These are the crucial other two for Relationship , sexual and family Affair personal advisor.

And the final three for social, communication and interpersonal development back up.

How to Win Friends and Influence people
Talk your way to the top
And How to listen better.
 
Stop Worrying and Start Living. by Dale Carnegie
Hiki kitabu kipo vizur saana , thou ndo nmekianza !!!! Page za mwanzon tu ila naona kinanisaidia haswa jins ya kuwa na alternative /plan b katika jambo linalokutatiza........ Stress zinapungua saana
 
Ukisoma "Think and grow rich-Napoleon Hill" lazima utakuja kuedit hiyo reply yako.

NOTE:
Nimesoma vyote hivyo viwili na nilianza na hicho cha Kiyosaki nikawa nakisifu kama wewe ulivyoandika

napoleon-hill-think-and-grow-rich.jpg
Kiyosaki yuko straight to the point sana kuliko Napoleon kwa mtazamo wangu!
 
Jamii forum mkeka huu umebadili, na unaendelea kubadili isha langu haha haaa hhuuuuuuuuwiiii
 
Back
Top Bottom