Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Jf ....for great thinkers......
Nmeanza na kitabu cha the richest man in babylon.....
Hatare Sana

" Jua nililowaka kwa babu yangu ....ndio litakalo waka Hadi mjukuu wangu atakapo kufa"....ana maanisha maisha ni yale yale tuache visingizio[emoji23][emoji23]
 
Biblia ndiyo mpango mzima ni kitabu pekee duniani kinachosomwa na watu wengi duniani. na kinachofahamika na watu wengi na ndiyo njia ilinyooka .zaidi ya 80% ya watu duniani wamewai kusoma au kisikia habari ya kitabu hiki kitakatifu.jina la bwana libarikiwe .ni utabiri wa biblia kwamba injili itaubiriwa kwa watu wote mathayo 28:19~20
Mkuu elimu ya biblia ni tofaut na kile kinachozungumziwa hapa Wal usizan Hawa wanaosema kitabu flan kimebadil maish yake ukazan biblia huwa hasomi na biblia pekee haikufany wewe kukua kiuchumi Zaid utakuwa kiroho tyuu natumai sijamkosea mtu." Biblia Ina nafas yake kiroh na hv vitabu vina nafas yake kiuchumi nk " samahan wana jf Kama nmeend kinyume Ila ni katika Hali ya kuelimishanaa
 
Vitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadharia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze kitu kipya kichwani chenye kukuza uelewa wako na kuboresha maisha yako kwa njia yeyote ile.

Hapa tujadili nguvu ya vitabu katika maisha ya mtu yawezekana ulisoma wewe au umewahi kukisikia kwa watu tushirikishane.

Kuna wengi tumebadilishwa au kuboreshwa maishani mwetu kiafya, kijamii, kibiashara, kitaaruma, kimitazamo, kiimani, kimwili, mahusihano nk kupitia vitabu.

Kitabu gani ambacho kiligusa maisha yako au kukubadilisha na unatamani wanajf wenzako tujifunze pia, unaweza kueleza kimekusaidiaje kwa ufupi kama hutojali.

=========

Unaweza kujipakulia au kujisomea baadhi ya Vitabu kwenye hii thread=>Vitabu vilivyowahi kubadilisha maisha yako
Biblia na Tenzi za Rohoni
 
Vitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadharia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze kitu kipya kichwani chenye kukuza uelewa wako na kuboresha maisha yako kwa njia yeyote ile.

Hapa tujadili nguvu ya vitabu katika maisha ya mtu yawezekana ulisoma wewe au umewahi kukisikia kwa watu tushirikishane.

Kuna wengi tumebadilishwa au kuboreshwa maishani mwetu kiafya, kijamii, kibiashara, kitaaruma, kimitazamo, kiimani, kimwili, mahusihano nk kupitia vitabu.

Kitabu gani ambacho kiligusa maisha yako au kukubadilisha na unatamani wanajf wenzako tujifunze pia, unaweza kueleza kimekusaidiaje kwa ufupi kama hutojali.

=========

Unaweza kujipakulia au kujisomea baadhi ya Vitabu kwenye hii thread=>Vitabu vilivyowahi kubadilisha maisha yako
The road less travelled
 
Mkuu elimu ya biblia ni tofaut na kile kinachozungumziwa hapa Wal usizan Hawa wanaosema kitabu flan kimebadil maish yake ukazan biblia huwa hasomi na biblia pekee haikufany wewe kukua kiuchumi Zaid utakuwa kiroho tyuu natumai sijamkosea mtu." Biblia Ina nafas yake kiroh na hv vitabu vina nafas yake kiuchumi nk " samahan wana jf Kama nmeend kinyume Ila ni katika Hali ya kuelimishanaa
Mkuu Biblia ina kila kitu, kwa mfano wako huo wa uchimi,kuna watu wengi mule ambao walikuwa vizuri kiuchumi yaani matajiri haswaa na kuna kanunj na njia walizifuata kufikia hapo. Kila jambo ni kanuni,zifuate unatoboa hata hvyo vitabu vingine unavyosema vyote vina kanunu tu.
Pili kuhusu swala la kiroho,everything kwenye hii dunia ni spiritual,so wewe kusema tunasoma kwa mambo ya kiroho tu ni kama umesema kwa ajili ya mambo yote. Haya maisha aliyo yaanzisha ni Mungu(hapa kwa wanaoamini tu) so ni vyema kufuata manual yake ambayo ni vitabu vyake.
NB: Tusome vitabu vya Mungu kimkakati,tujifunze kisha tu apply kwenye real life,na yasibaki maneno tu.
Soma neno,pata ufunuo,nenda nao kwenye maombi,then kazi ianze.Asanthe.
 
Mkuu Biblia ina kila kitu, kwa mfano wako huo wa uchimi,kuna watu wengi mule ambao walikuwa vizuri kiuchumi yaani matajiri haswaa na kuna kanunj na njia walizifuata kufikia hapo. Kila jambo ni kanuni,zifuate unatoboa hata hvyo vitabu vingine unavyosema vyote vina kanunu tu.
Pili kuhusu swala la kiroho,everything kwenye hii dunia ni spiritual,so wewe kusema tunasoma kwa mambo ya kiroho tu ni kama umesema kwa ajili ya mambo yote. Haya maisha aliyo yaanzisha ni Mungu(hapa kwa wanaoamini tu) so ni vyema kufuata manual yake ambayo ni vitabu vyake.
NB: Tusome vitabu vya Mungu kimkakati,tujifunze kisha tu apply kwenye real life,na yasibaki maneno tu.
Soma neno,pata ufunuo,nenda nao kwenye maombi,then kazi ianze.Asanthe.
Shukran mkuuu [emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
 
Vitabu vinauwezo wa kubadili kabisa maisha ya mtu yeyote yule. Baada ya vita vya pili ya dunia wajapan walikuja na nadharia iitwayo KAIZEN (Continuous improve), yaani angalau kila siku uongeze kitu kipya kichwani chenye kukuza uelewa wako na kuboresha maisha yako kwa njia yeyote ile.

Hapa tujadili nguvu ya vitabu katika maisha ya mtu yawezekana ulisoma wewe au umewahi kukisikia kwa watu tushirikishane.

Kuna wengi tumebadilishwa au kuboreshwa maishani mwetu kiafya, kijamii, kibiashara, kitaaruma, kimitazamo, kiimani, kimwili, mahusihano nk kupitia vitabu.

Kitabu gani ambacho kiligusa maisha yako au kukubadilisha na unatamani wanajf wenzako tujifunze pia, unaweza kueleza kimekusaidiaje kwa ufupi kama hutojali.

=========

Unaweza kujipakulia au kujisomea baadhi ya Vitabu kwenye hii thread=>Vitabu vilivyowahi kubadilisha maisha yako
Mwenye kitabu cha The art of war by Sun tzu
 
Back
Top Bottom