Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunaniiii?
Qmmmmq mmmh mfyuuuThe clinic mkapa aliandika kwenye Kitabu chake kwamba ni pale msasani kwa mwalimu.
Kama hiyo ni sahihi basi ngoja niweke makisio yangu.
Stronghold ndio ngome?
Aliyenyoosha mikono sio Imran kweli?
Mkubwa kwa kukaimu hawezi kuwa Mahiga?
Huyo aliyerudishwa akawa namba mbili halafu tena akawa mkubwa bila nafasi ya juu sio Kiwelu? Nakumbuka huyu alirudi bila kutegemewa miaka ile na kuwa CoS.
Kama hii ndio basi ni taasisi ndani ya taasisi.
Ilikuwa April 2023, comment ya wegero kwetu na May 12 kitu kikaitika.Za ndani kabisa View attachment 2587594
Kwamba maembe Bendera ilipepea nusu mlingoti?Ilikuwa April 2023, comment ya wegero kwetu na May 12 kitu kikaitika.
Sina mashaka.
😂😂 Zilisikika sauti, "Jasusi mbobevu, mwenye kuchakata taarifa za vipepeo"Kwamba maembe Bendera ilipepea nusu mlingoti?
Huyo Hana lolote ni MLINZI getini.
NaaamIlikuwa April 2023, comment ya wegero kwetu na May 12 kitu kikaitika.
Sina mashaka.
KabisaKwamba maembe Bendera ilipepea nusu mlingoti?
Huyo Hana lolote ni MLINZI getini.
JAL 1 is done 2 and 3 are next!Za ndani kabisa View attachment 2587594
Baada ya mstaafu kustaafishwa na ile next stage ambayo imeshaandikwa!!JAL 1 is done 2 and 3 are next!
KWA hiyo mnaanza na 2 halafu 3 atafuata siyo!!?
NgorongoroYanafanyika SIRINI....muhimu ni amani ya lile pande la ardhi tu....
Utulivu wa watu wake.....
Amani yao......
Yeyote mwenye kutaka ibadilike "status quo" analeta madhara kwa watu wa lile pande la ardhi EDEN ya dunia........
#SiemprePandeLaArdhi[emoji120]
Mmeshafeli au?kwa maana mama kasema kitabu hakina faida kivile.Wakuu
'The clinic' walikutana wakiwa wanne. Recrato, Logasto na Financo walikuwa ndio wajumbe. Upande wa pili alikuwa amekaa Director akiongoza.
Alianza kuwaambia majukumu yao, "miaka miwili ijayo sitaendelea tena, mnatakiwa kusimamia ogani." Ingawa haipo, itahakikisha kwamba hakuna atakayeharibu.
Recrato ulitolewa kule na umekidhi vigezo. Utashughulika na upatikanaji wa watu. (Upatikanaji ulipokuwa mgumu kwasababu alikuwa nje ya stronghold ikabidi arudishwe tena kuwa namba mbili).
Baadae sana alipewa sifa ya juu kabisa ingawa hakushika nafasi ya juu. Aliendelea na kazi 'on the ground' mpaka alipomkabidhi 'Recrato II' miaka kadhaa kabla hajatangulia.
Logasto, ulifanikisha kazi mbalimbali siku zilizopita. Sasa utashughulikia kuwaunganisha wanaoletwa na Recrato kwa mafunzo. Utahakikisha wanafika kwenye handling ya Financo.
Baadae majukumu yake yalichukuliwa na 'Logasto II'. Hakufanikiwa kuaminika juu ya mawasiliano fulani. Ingawa alinyoosha mikono, lakini vyuma vilipenya.
Financo, wewe ni mkubwa kwa kukaimu, ninataka nikupeleke mbali. Nenda kajifunze namna ya kutunza mfuko wa ogani ili uendelee kukua. Pia utasimamia mafunzo mbali huko.
Aliendelea kufanya kazi mpaka alipokabidhi majukumu kwa 'Financo II'. Alirudi, akaongoza tena muunganiko wa nje. Akapelekwa kwingine na akatangulia akiwa huko.
Baadae ilibidi apatikane atakayeongoza wote. Recrato akafanya kazi hatimaye akapatikana mwanzoni mwa muongo mpya. Akapata mafunzo hapa na huko. In his early 30s akakabidhiwa.
Wanataka sasa kile kitabu cha zamani kiachwe. Kipya kiwe kile kilicholetwa mwanzo lakini kifanyiwe badiliko dogo ndipo kithibitishwe. Idadi zibakie mbili kama zilivyo. Wote kuanzia AIC, SIN na 6IM wamefanya utafiti.
Siku tisini halafu siku nyingine mia themanini tayari. Hii hesabu itaanza baada ya ile ya kustaafu. Next stage (ambayo ilishaandikwa) itakuwa tayari kuanza wakati hapatakuwa na kuendelea kwa haya baada ya hiyo ishara na hiyo hesabu.
Wakati boss anatoka akasema hii imekamilika. Aga kabisa maana hautarudi. Nilishtuka sana maana namfahamu vizuri. Basi hivyo ndio ninafanya. Ninaaga.
Bado naitafakari hii ndoto tangu nilipoamka. Ngoja tuendelee kusubiri.
theState.
"Hivi kuna mwingine atayafanya haya nikiondoka kweli"!sauti ya jpm Akiwa kigongo na Busisi wakati ule!!Mmeshafeli au?kwa maana mama kasema kitabu hakina faida kivile.
Imran kombe!Sheikh kombo
DuhNgorongoro