Kitabu kilichoanza kuandikwa kisha kikaachwa kitamaliziwa katika hesabu hii

Qmmmmq mmmh mfyuuu
 
JAL 1 is done 2 and 3 are next!

KWA hiyo mnaanza na 2 halafu 3 atafuata siyo!!?
Baada ya mstaafu kustaafishwa na ile next stage ambayo imeshaandikwa!!

Ni dhahiri mwandishi anasisitiza baada ya kustaafishwa mstaafu na next stage operation KUWA on na kukamilika ndipo tuanze kuhesabu siku tisini na nyingine mia themanin tayari,ndio kitabu kipya kiwe tayari kutimiza Ili mwingine asiharibu tena!!



Kama JAL 1 is done ina maana original plan ni JAL 2 and 3 wawe done ndio tumpate yule aliekusudiwa KWA digit 12 zileee!!!

Aiseh very interesting !!
 
Ngorongoro
 
Mmeshafeli au?kwa maana mama kasema kitabu hakina faida kivile.
 
Mmeshafeli au?kwa maana mama kasema kitabu hakina faida kivile.
"Hivi kuna mwingine atayafanya haya nikiondoka kweli"!sauti ya jpm Akiwa kigongo na Busisi wakati ule!!

Kauli ile haitofautiani na hii ya mama!!!

Mi nadhani ukiwa kitini HUWA wanapewa drugs za kupoteza UMAKINI sio bure KWA kauli zao hizi mkuu!!
 
The state ni tofauti na st Peter's

T.A ni mwenyeji wa mkuranga

Ni mkristo

Anatumiwa na boys 2 men..

Anatumiwa kuwatisha viongozi ili wafuate matakwa ya kundi lao..

Mpango akifa chanzo ni huyu...

Sio the state kama anavyojitapa, ni kikundi chenye nguvu kinachoongoza hii nchi indirectly.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…