Hakijapigwa marufuku sababu tayari mnayoyalalamikia ni public knowledge kwa sasa. Hakuna jipya.Sooth,
Ipo tofauti kubwa sana.
Ndiyo maana kitabu cha Njozi kikapigwa marufuku changu kipo na kinakwenda toleo la nne.
Nikishajua then what? Faida ya Kujua hicho ni ipi kwa Jamii yetu?Sajasojo,
Faida ni kujua kile ambacho hakuwa anakijua.
KabisaHiyo picha imenikumbusha kadhia ya somo la Islamic wanafunzi wengi wasomo hilo walifeli kwa sababu ambazo NECTA walisema hitilafu kwenye mifumo yao. Hata hivyo somo hilo na bible knowledge kwa sasa hayabebi uzito wowote katika udahili. Ukisoma hayo masomo ni kwa maslahi yako ya akhera tu.
Sooth,Mbona prof. Njozi alishaandika kitabu kuhusu suala la EAMWS? Kwann unarudiarudia mambo yale yale kutoka vyanzo vile vile? Ndo kusema hapajawahi kuwa na udini baada ya Nyerere kufariki?
Vinginevyo wewe ni broker wa mtafaruku wa kidini. Zikitokea rabsha kama za Book haram(Mungu apishie mbali), basi utakuwa na ushawishi na mali nyingi sana.
Sajosojo,Nikishajua then what? Faida ya Kujua hicho ni ipi kwa Jamii yetu?
Kanisa unalihusishaje na Mambo ya Dola na Uislaam? Kwanza Kanisa ni kitu gani kwa mtazamo wako ikiwa Tanzania tuna Madhehebu Mengi...Kuwa Mzalendo Tanzania Kwanza Dini tuliletewa tu...Sajosojo,
Ukijua unakua umeondoa ujinga.
waelimishe waislamu wafanyeje ili kujikwamua hapa sasa hivi walipo, sio kuwajaza chuki kwa mambo yaliyopita ambayo hayarekebishiki, wewe ni mchochezi mkubwa wa chuki, kwa iyo unataka waislamu wabebe mapanga wawakate waliowadhulumu, kuwa na busara hata kidogo
Kanisa unalihusishaje na Mambo ya Dola na Uislaam? Kwanza Kanisa ni kitu gani kwa mtazamo wako ikiwa Tanzania tuna Madhehebu Mengi...Kuwa Mzalendo Tanzania Kwanza Dini tuliletewa tu...
Hahaha unaweza kuta hata mwandishi hajui yaliyomo ndani ya kitabuKama hata wewe mwandishi hujui tafasiri ya kava la kitabu hiki basi ni hatari zaidi yaliyoandikwa humo!
Naomba uninunulie unitumie nipe mawasiliano yako nikurudishie hela utakayotumia!
Agenda za kujenga uwatume wewe kama nani???wakufate wewe au mtume??mtume kasema "nimeagizwa kupigana mpaka dunia nzima iwe waislam"Ubinafsi tu na uchochezi..... Hakuna jpya...... Tangu nimezaliwa had nakua sijawahi sikia Wakristo wakipgania ukristo..... Kulikon ndugu zetu Waislam...?!!...... Ifke mahal muwe nA ajenda za msingi wenye tija kwa taifa na dunia kwa ujumla...
Sajosojo,Kanisa unalihusishaje na Mambo ya Dola na Uislaam? Kwanza Kanisa ni kitu gani kwa mtazamo wako ikiwa Tanzania tuna Madhehebu Mengi...Kuwa Mzalendo Tanzania Kwanza Dini tuliletewa tu...