Mkuu hautakiwi kubeza juhudi za watu,na tunatakiwa tutambue kwamba kuna watu wana maarifa mengi lakini kuyafanyia implementation ndio tatizo.
Ila wanaweza kuchota maarifa hayo wakampa mtu mwingine akaya implement na akapata matokeo chanya.
Mimi binafsi nilikuwa mvivu sana kusoma ila nilikuwa nampa motivesheni mdogo wangu kuhusu kuooma na akawa anafaulu vizuri na akawa anapenda kila siku niomgee nae kumpa motivesheni,lakini mimi niliyokuwa namuambia sikuwa nayafanyai kazi ila yeye yalimfaa akafaulu vizuri sana.
Sasa na yeye angeliniangalia mimi kwa nini sina matokeo mazuri alafu najifanya motivesheni spika basi asingefika pale alipo.
Tujaribu kuwa na mitazamo chanya wakuu tusiwe na hoja za kitoto kama hizi.