Kitabu Kipya; Tabia za kitajiri za kuishi kila siku ili kufika kwenye utajiri mkubwa

Tatizo sio kisoma vitabu,bali tatizo ni kufanyia kazi vya kitabuni.

Na hapo ndipo tunapofeli ukiwemo wewe na mimi.
Aisee! Acha Kabisa nimepiga kazi kwa kufuata kanuni zote kwa miaka bila matokeo ya kuridhisha
 
Hoja za kitoto unaachana nazo wewe unaleta za kikubwa.
 
Vitabu vya aina hiyo nimevisoma tangu nikiwa kijana na sasa ni mzee lakini sijaona matokeo mkuu.
Mkuu,
Kusoma kitabu ni jambo moja,
Kufanyia kazi yale uliyojifunza ni jambo jingine muhimu na la msingi kabisa.
Hakuna mtu anayejifunza kuogelea kwa kusoma vitabu tu, lazima uingie kwenye maji, uyanywe, ukaribie kuzama ndiyo ujifunze kweli.

Kama upo serious kweli unataka mabadiliko kwenye maisha yako, pata na usome kitabu hiki cha TABIA ZA KITAJIRI, halafu ukikimaliza tuwasiliane nitakupa Coaching ya mwezi mmoja bure kabisa kukusimamia kuziishi tabia hizo za kitajiri, nakuhakikishia utayaona mabadiliko.
Na kama kwa huo mwezi mzima ambao umeziishi tabia hizo za kitajiri hutapata manufaa yoyote, nitakurudishia fedha uliyonunulia kitabu.
Wasiliana sasa na watu wa mauzo kwa namba 0752 977 170 kujipatia nakala yako.
Kisha wasiliana na mimi moja kwa moja kwa namba 0717 396 253 kwa ofa ya coaching niliyokupa.
Karibu sana mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…