crabat
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 4,323
- 2,207
Ahsante Mohammed Said tutasoma kuongeza ilm.
Suala hili propaganda wakati nipo darasa la 4 mwalimu wa siasa siku moja alitutolea historia ya kujengwa Beit el ajab kuwa kila nguzo moja kabla ya kuwekwa basi warabu walimtia ndani ya shimo mwafrika mmoja. Huku mwalimu yule akiwasumbulia watoto wa kiarabu mle darasani.
Ni chuki na fitna chafu sana.
Hali ile ilinifanya nimuulize mzee wangu kuwa haya kweli yametendwa na warabu? Mzee wangu alhamdulilah amesoma na alikua na alikua daktari anajua mengi alikua akipenda sana kusoma. Alikua akijua mengi kuona hali ile huko shule kuanzia siku ile kila kabla ya kulala alikua akitupa historia ya kweli ya Zanzibar . Nilikua mdogo lakini ilinisaidia sana kuona ukweli wa proolpaganda zile chafu dhidi ya waislam..
Katika picha za kubuni zs uongo ni zile za warabu wakubeba pembe za tembo.
Ukiangalia zile picha utaona pembe in ukubwa kuliko tembo wenyewe !
Suala hili propaganda wakati nipo darasa la 4 mwalimu wa siasa siku moja alitutolea historia ya kujengwa Beit el ajab kuwa kila nguzo moja kabla ya kuwekwa basi warabu walimtia ndani ya shimo mwafrika mmoja. Huku mwalimu yule akiwasumbulia watoto wa kiarabu mle darasani.
Ni chuki na fitna chafu sana.
Hali ile ilinifanya nimuulize mzee wangu kuwa haya kweli yametendwa na warabu? Mzee wangu alhamdulilah amesoma na alikua na alikua daktari anajua mengi alikua akipenda sana kusoma. Alikua akijua mengi kuona hali ile huko shule kuanzia siku ile kila kabla ya kulala alikua akitupa historia ya kweli ya Zanzibar . Nilikua mdogo lakini ilinisaidia sana kuona ukweli wa proolpaganda zile chafu dhidi ya waislam..
Katika picha za kubuni zs uongo ni zile za warabu wakubeba pembe za tembo.
Ukiangalia zile picha utaona pembe in ukubwa kuliko tembo wenyewe !
Last edited by a moderator: