Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
- #101
Ukiona kilasiku unaungwa mkono na kundi la walewale ulowabraish ujuwe mjinga tu Wewe.
Mpumbavu mwezio ambaye kwake udini ni sera na kila kitu anasahihisha makosa ya speling kichwan umemjaza ujinga na upumbavu kila unapokanyaga nayeye huyo kafika kukusapoti na kuturekibisha uchapaji nakutetea lolote mjinga wewe unaandika.
Wewe kazi yako kupeperusha madai ya udini muda wote unadhani Taifa hili kila mmoja akifanya madai tutaishi? Jifunze kuvumilia, faham kwamba kila mmoja wetu anamadai mjinga wewe.
Wakristu wakifanya kama wewe zezeta watadai yafutayo
-shule zao zamsingi na sekondari
-hospitali zao
-Ardhi zao nk
Vyote hivyo Nyerere aliwapokonya kwafaida yako, mimi na wengine.
Wasambaa watadai milima ya usambaa
Wachaga watadai mlima kilimanjaro
Budha watasema hapa kuchinja ng'ombe maana ni Mungu wao
Wapagani watapinga uapishwaji kwa kutumia biblia na kuruwan
Kila mmoja anamadai kwa ushenzi wako unachochea ilituvurugane, tuuwane alafu utapata nin wewe mtumwa wa chuki na ubaguzi wakidin?
Unataka ushahidi wakitugan yaani imefikia huna Akili kufaham unafanya nini na historia zako?
Mim naamin kabisa utasumbuka mpaka utakufa utaiacha Tanzania nawatanzani wote kwa ujumla wao (waislam,wakristu, iman zingine nawasioamin) wakiwa salama.
Mungu atakuadhibu maana hawezi acha ukafanya uchochezi kiasi hiki damu za watu wasio nahatia zikamwagika.
Adolay,
Unazidi kupandwa na hamaki na unazidisha matusi.
Narejea pale tulipoanzia mimi na wewe kuwa lete ushahidi wa tuhuma zako
hapa Majlis watu wazione.
Historia hizi si zangu.
Historia hizi ni historia za Afrika na ndiyo maana nikachapwa na Oxford University
Press, New York Dictionary of African Biography.
Historia hizi ni za Afrika ndiyo maana Northwestern University, Chicago
mabingwa wa historia ya Afrika dunia nzima wakanialika chuoni kwao nifanye
mnakasha na wao.
Mungu anaadhibu watu kwa dhambi haadhibu watu kwa kusoma na kusomesha
ilm yenye manufaa.
Damu haiwezi kumwagika kwa kusasahihisha historia iliyokosewa.
Huu mwaka wa 17 toka kitabu cha Abdul Sykes kilipochapwa Uingereza.
Haijawa lolote ila tumekwenda matoleo mawili kitabu cha Kiingereza na toleo
la tatu kitabu cha Kiswahili na kitabu kimejaa madukani tele kinasomwa.
Toleo la nne Kiswahili lipo njiani.
Narudia tena usijitishe bure wala huna sababu ya kuwatisha watu wengine.
Sasa nakuchukua kwa Maalim Faiza.
Mimi nimeliona hilo kosa lakini kwa kukuhurumia nimeliacha.
FaizaFoxy anakusahihisha saa saba mchana ili ujiangalie na upime uwezo wako
kama kweli wewe una makamu ya kupambana na watu katika mnakasha kama
huu.
Unajikwaa kwa kuwa kifua chako kinatokota kwa chuki na chuki huondoa umakini.