Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #41
Pesa shilingi ngapi ndio natakiwa kuwa nazo?Kitambi unacho pesa je! Maana ukiwa na pesa hata uwe na tumbo kama kiroba watakupenda tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndo unajiongezea matatizoHivi nikisema nifunge kula, wiki nzima nisile kitu wala kunywa, niwe nakunywa red wine tu ile ya kanisani iliyoombewa na Padre si kitambi kinaweza kuroweka kabisa?
Lakini si nitapungua?Hapo ndo unajiongezea matatizo
Unapofunga kula unajitengenezea magonjwa kwasababu mwili unakua unatumia calories zilizohifadhiwa ndani ya mwili kama fat and proteias source of energy.
Kama unakunywa sana acha,kama hufanyi mazoezi bas nitakuwezesha...niruhusu tu tufanye wote😉View attachment 2453416
Mimi ni handsome sana, mitaani kote wananisifu. Hata wanawake wananiambiaga. Lakini hawaachi kunikosoa tumbo langu hadi nimeanza kujichukia.
Kwa kweli nakosa sana raha, namtongoza msichana ananiambia na huo mtumbo wako kama umemeza kifaru cha jeshi ntakupeleka wapi mimi?
Six pack sio kwamba sijawahi kuwa nazo, nilikuwa nazo ila nikapata binti wa Kizaramo, asubuhi ananipa chai kikombe kimoja na andazi moja. Mchana hatuli anasema tubane matumizi.
Usiku anapika wali, maharage, nyama, mchicha, dagaa wa bukubuku, miguu ya kuku na supu ya mapupu inakuwepo.
Anasema kwanini tulale na njaa? Tunalala tukiwa tumeshiba sana hadi tunashindwa kupumua.
Tunajambiana huku tukikoroma, wachawi kila siku wanakuja kutukaba kwasababu ya kutuonea wivu mavitu tunayokula la kulala tukiwa tumeshiba matumbo ndiii.
Sasa wachawi wakanionea wivu six packs zangu, wakanuroga nimepata kitambi, sina six packs tena nina mtumbo mkubwa ambao ni single pack.
Mzaramo wangu ananiambia kwao Maneromango kuna mganga anaweza kunitoa hiki kitambi ambacho ni kama nina mpira wa madaso, au kinyengo au chandimu ndani ya tumbo.
Nimemkatalia nimemwambia JF kuna watalaam wa kila sekta.
Wanamitindo wenzangu, naombeni ushauri ili fashenista mwenzenu nirudie utanashati wangu.
To yeye, mzabzab, Baba Swalehe , Mwifwa naamini mtanisaidia
Kama soda 1, sawa na kilo moja ya sukari.
Sukari kilo moja ni shilingi 3000, soda 700.
Hawa watengeneza soda lazima ni ma freemasonry. Watakuwa wanatumia sukari ya kuzimu
Inafikirisha sanaKua serious mkuu
Shauri zako
Karibu sana mkufunzi wa mazoeziKama unakunywa sana acha,kama hufanyi mazoezi bas nitakuwezesha...niruhusu tu tufanye wote😉
Asante sana mwanafunzi,kikubwa tu usibadili ratibaKaribu sana mkufunzi wa mazoezi
Wale walokole wanafunga tatu kavu, usiku na mchana niki apply mbinu yao inaweza kunivusha?Hapo ndo unajiongezea matatizo
Unapofunga kula unajitengenezea magonjwa kwasababu mwili unakua unatumia calories zilizohifadhiwa ndani ya mwili kama fat and proteias source of energy.
HaibadilikiAsante sana mwanafunzi,kikubwa tu usibadili ratiba
Safi,hapo tutaenda sawaHaibadiliki
Msitusimange walimuHuyu nimwalim nahayo ndomatatizo yenu
Uwe unabana nakuachiaMazoezi gani mkuu?
Mi naona na wenyewe umenenepa sana, nimeushonea kasuruali kake specialNasikia ukiwa na kitambi kile kitendea kazi pendwa a.k.a mguu wa tatu unasinyaa.
Hebu Bujibuji Simba Nyamaume type ukweli wa hili Jambo.
Nabana na kuachia nini?Uwe unabana nakuachia
Watakuwa tu kama waume wao. Si ukiolewa unaanza kufanana na wakwe zakoNajaribu kufikiria Kama hii Ni sura yako, dada zako watakuaje hasa kipindi wakiwa na mimba.