Kitambi kimeharibu muonekano wangu, wadada hawanitaki tena

Hivi nikisema nifunge kula, wiki nzima nisile kitu wala kunywa, niwe nakunywa red wine tu ile ya kanisani iliyoombewa na Padre si kitambi kinaweza kuroweka kabisa?
Hapo ndo unajiongezea matatizo



Unapofunga kula unajitengenezea magonjwa kwasababu mwili unakua unatumia calories zilizohifadhiwa ndani ya mwili kama fat and proteias source of energy.
 
Kama unakunywa sana acha,kama hufanyi mazoezi bas nitakuwezesha...niruhusu tu tufanye wote😉
 
Hapo ndo unajiongezea matatizo



Unapofunga kula unajitengenezea magonjwa kwasababu mwili unakua unatumia calories zilizohifadhiwa ndani ya mwili kama fat and proteias source of energy.
Wale walokole wanafunga tatu kavu, usiku na mchana niki apply mbinu yao inaweza kunivusha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…