Kitambi kimeharibu muonekano wangu, wadada hawanitaki tena

bora iyo K vant kuliko soda bujibuji
 
nilikua nafululiza kula mayai ya kukaanga, 6+ kila siku, baada ya miezi 3 naona kitumbo ichoo kimechomoza, na kinaendelea kuchomoza

nilistop nikawa nayachemsha, wiki kadhaa kikapotea
naungana na comment #33 Oils/Fats
 
Aah kwan huna watoto au wasaidizi? Dona mbona easy tu hata mashineni unaeza enda direct unapata

Soda pia sio nziri mkuu soda moja unaeza pata hata kg 1 ya sukari hii unayochemshia chai

More Water less Soda
"Soda pia sio nziri mkuu soda moja unaeza pata hata kg 1 ya sukari hii unayochemshia chai"

Hii inawezekanaje??? Mana soda moja inauzwa 600 afu sukari kilo moja inauzwa 2800. Kama kika soda moja ina kilo ya sukari je wanapataje faida?
 
Aah kwan huna watoto au wasaidizi? Dona mbona easy tu hata mashineni unaeza enda direct unapata

Soda pia sio nziri mkuu soda moja unaeza pata hata kg 1 ya sukari hii unayochemshia chai

More Water less Soda
Yaani kunywa soda moja ni sawa na kula sukari kilo moja?
 
Punguza kula michembe,maparachichi,supusupu na furu.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hayo mayai hayakujazi gesi tumboni?hayakukinai?
Mayai sita ni mengi mbona
mvivu kupika, so nikipiga mayai mengi ( na wanga ) na-survive masaa mengi
kuhusu gesi usiku kama kawa, ni mwendo wa bombings tu kama za Kyiv
 
mvivu kupika, so nikipiga mayai mengi ( na wanga ) na-survive masaa mengi
kuhusu gesi usiku kama kawa, ni mwendo wa bombings tu kama za Kyiv
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nilitka nishangae,mayai yakuache salama
 
Shida kubwa ya kitambi ni kwenye tendo la ndoa. Ukiwa na kitambi halafu mwanamke akuambie umemjeruhi vizuri ujue amekuheshimu Sana na hela yako anaihitaji Sana.
 
Huyu ni Mnyantuzu. Naomba nirekebishwe kama nimekosea. Wanyantuzu wanajulikana tu kwa mwonekano. Ama la, nimsukuma.
 
Mayai sita ni mengi kuanzia lini? Mi nakula 12 usiku, nayachemsha saa 12 jioni, nakula mojamoja hadi saa mbili usiku, nashushia na mtindi baridiiiii usio na sukari
πŸ™„πŸ™„πŸ˜²πŸ˜²πŸ˜² Hongera,mkitoka hapo balaaaa,hadi wachawi wanawaonea wivu kwa kutoa mabomu πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† we bujibuji handsome boy hahahaha
 
πŸ™„πŸ™„πŸ˜²πŸ˜²πŸ˜² Hongera,mkitoka hapo balaaaa,hadi wachawi wanawaonea wivu kwa kutoa mabomu πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† we bujibuji handsome boy hahahaha
Weee niite tu handsome, unikute sasa na harufu yangu ya Maya nikisha kula mayai 12
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…