Kitambi kwa mwanamke hupoteza mvuto wa mwili

Kitambi kwa mwanamke hupoteza mvuto wa mwili

Da Lu

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2016
Posts
1,209
Reaction score
2,840
Habari za muda huu wapendwa...
Kuna tatizo la sasa la wanawake baada ya kujifungua tu, utakuta mtu anafumuka kama anakula amira.

Mwaka jana mwezi wa 1 nilibahatika kupata baby boy lakini kwa njia ya operation baada ya kukaa hospitali siku 3 lakini njia iligoma kufunguka nilimshukuru Mungu kutoka salama mimi na mwanangu, lakini nilikua na mawazo sana nikifikiria jinsi nitakavyozidi kufutuka na huu mwili wangu na tumbo litakavyozidi kua kubwa.

Nilivyoruhusiwa tu kurudi nyumbani nilifunga tumbo langu kwa chini niligoma kabisa kula mamtori na masupusupu, chakula changu ni chai ya viungo ya moto, uji mwepesi wa moto, ugali lain na maini, matunda hasa matikiti maji nilikua natafuna na mbegu zake kabisa kwa kweli yalikua yananisaidia kuondoa gesi tumboni.

Sasa mwanangu ana mwaka na miezi ukiambiwa nimezaa kwa operation huwezi amini utakuta mtu mwingine amezaa basi amepoteza mvuto wote kawa kama asha boko, hii inaweza ikafanya Mr kushindwa kuongozana na wewe au kupoteza kabisa ashki ya mapenzi juu yako wanawake wenzangu tujitahidini kuwa wasafi wakati wote na tupende miili yetu.

Ni hayo tu..

howtoloseweightfast.jpg
 
Kuna mtu ana mimba lkn anapenda kufukia huyo...nadhani akishajifungua ndio tumbo litaanguka kama muhindi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] kama kanjiba
 
Ujumbe mzuri ila muda mwingine inategemea na mwili wa mtu pia.

Na nikupe pongezi kwa kuweza kujifunga hilo tumbo lako sababu walio wengi wanahofia kutonesha vile vidonda hivyo wanaliacha tu.
 
Habari za muda huu wapendwa...
Kuna tatizo la sasa la wanawake baada ya kujifungua tu, utakuta mtu anafumuka kama anakula amira.
Mwaka jana mwezi wa 1 nilibahatika kupata baby boy lkn kwa njia ya operation baada ya kukaa hospital siku 3 lakini njia iligoma kufunguka. Nilimshukuru Mungu kutoka salama mm na mwanangu, lakini nilikua na mawazo sana nikifikiria jinsi nitakavyozidi kufutuka na huu mwili wangu na tumbo litakavyozidi kua kubwa.
Nilivyoruhusiwa tu kurudi nyumbani nilifunga tumbo langu kwa chini.
Niligoma kabisa kula mamtori na masupusupu, chakula changu ni chai ya viungo ya moto, uji mwepesi wa moto, ugali lain na main, matunda hasa matikiti maji nilikua natafuna na mbegu zake kabisa kwa kweli yalikua yananisaidia kuondoa gesi tumboni. Sasa mwanangu ana mwaka na miezi ukiambiwa nimezaa kwa operation huwezi amini. Utakuta mtu mwingine amezaa basi amepoteza mvuto wote kawa kama asha boko, hii inaweza ikafanya Mr kushindwa kuongozana na ww au kupoteza kabisa ashki ya mapenzi juu yako. Wanawake wenzangu tujitahidini kuwa wasafi wakati wote na tupende miili yetu.
Ni hayo tu..
Nakuunga mkono,wanawake wengi ni wavivu wa mazoezi kwahiyo hiyo shida ya kitambi lazima iwatese..
 
Kuna mtu ana mimba lkn anapenda kufukia huyo...nadhani akishajifungua ndio tumbo litaanguka kama muhindi
[emoji28][emoji28][emoji28] hamna mkuu kama atalifunga vizuri ndani ya miezi mitatu litakua sawa tu.
 
Demu ukishazaa haijalishi tumbo litakua kubwa ama dogo mvuto wako huwa umekwenda na maji unabakiza.housing tu inayokuonyesha kuwa ww ni ke
Sio kweli kweli mkuu sio wanawake wote jamani mfanyo halisi Agness Masogange achana na tabia zake, utaamini kama amezaa yule....na anamtt mkubwa tu
 
Ujumbe mzuri ila muda mwingine inategemea na mwili wa mtu pia.

Na nikupe pongezi kwa kuweza kujifunga hilo tumbo lako sababu walio wengi wanahofia kutonesha vile vidonda hivyo wanaliacha tu.
Yaani dada kama ningesema nijiachie kidogo tu sasa hivi ningekua zaidi ya Linah.
 
ma bamedi ndio wanaongoza kwa vitambi, kila baa huwezi kuwakosa wa5 ama 6 wana vitambi kushinda ma boss zao
[emoji23][emoji23] usifanye masikhara mkuu michesho + bia za offer wanafakamia tu.
 
Habari za muda huu wapendwa...
Kuna tatizo la sasa la wanawake baada ya kujifungua tu, utakuta mtu anafumuka kama anakula amira.
Mwaka jana mwezi wa 1 nilibahatika kupata baby boy lkn kwa njia ya operation baada ya kukaa hospital siku 3 lakini njia iligoma kufunguka. Nilimshukuru Mungu kutoka salama mm na mwanangu, lakini nilikua na mawazo sana nikifikiria jinsi nitakavyozidi kufutuka na huu mwili wangu na tumbo litakavyozidi kua kubwa.
Nilivyoruhusiwa tu kurudi nyumbani nilifunga tumbo langu kwa chini.
Niligoma kabisa kula mamtori na masupusupu, chakula changu ni chai ya viungo ya moto, uji mwepesi wa moto, ugali lain na main, matunda hasa matikiti maji nilikua natafuna na mbegu zake kabisa kwa kweli yalikua yananisaidia kuondoa gesi tumboni. Sasa mwanangu ana mwaka na miezi ukiambiwa nimezaa kwa operation huwezi amini. Utakuta mtu mwingine amezaa basi amepoteza mvuto wote kawa kama asha boko, hii inaweza ikafanya Mr kushindwa kuongozana na ww au kupoteza kabisa ashki ya mapenzi juu yako. Wanawake wenzangu tujitahidini kuwa wasafi wakati wote na tupende miili yetu.
Ni hayo tu..
Umewashauri vizuri. Shemeji yangu alijifungua mwaka jana wakati huo hakuwa na mwili futufutu, asee ukimuona sasa hivi utadhani sanamu la Michelin, kafutuka utadhani furushi la mitumba. Mumewe alishamtahadharisha kabla ya kujifungua, nina wasiwasi na mwenendo wa kupendana kwao baada ya shape mpya ya mkewe kwani malalamiko yameanza kuwa mengi sasa, mara mume wangu kafanya hivi mara vile.

Kufutuka mwili ni jambo jepesi sana ila kuurekebisha sio lelemama
 
Umewashauri vizuri. Shemeji yangu alijifungua mwaka jana wakati huo hakuwa na mwili futufutu, asee ukimuona sasa hivi utadhani sanamu la Michelin, kafutuka utadhani furushi la mitumba. Mumewe alishamtahadharisha kabla ya kujifungua, nina wasiwasi na mwenendo wa kupendana kwao baada ya shape mpya ya mkewe kwani malalamiko yameanza kuwa mengi sasa, mara mume wangu kafanya hivi mara vile.

Kufutuka mwili ni jambo jepesi sana ila kuurekebisha sio lelemama
Ni kweli kabisa mkuu yaani ukiajichia kidogo tu unakua na mwili wa ajabu sana
Lakini bado hajachelewa ana uwezo wa kufanya mazoezi na akapungua vizuri tu ila asitumie yale madawa ya kujipunguza.
 
Back
Top Bottom