Kitambi kwa mwanamke hupoteza mvuto wa mwili

Kitambi kwa mwanamke hupoteza mvuto wa mwili

Wewe kwenu mlizaliwa wangapi?? Je, mamako naye alikula matikiti maji kuondoa gas tumboni?? Wazazi wako ni wazaliwa baada ya uhuru au kabla huu uzungu wenu utawa cost siku sio nyingi.

Mwanamke lazima uelewe kuwa unapokwenda kubeba mimba hadi kumzaa mtoto unahitaji matunzo mema. Ndo maana umesema mwenyewe kuwa ulishindwa kuzaa kwa njia ya kawaida kumbe ilikuwa LISHE MGOGORO.

Huwezi niambia kitu. Wapo wanawake "Wajinga" wanaosema hawataki kuzaa kwa njia ya kawaida bali kisu ati wanaogopa K itatepweta. What a nonsense. Muumba aliweka ufundi woote pale kiasi kwamba huwezi kutofautisha kati ya ambaye hajazaa na anayepigwa mijeledi kila siku.

To the point.
Mama mtoto, kula chakula kizuri ili upate maziwa ya kumnyonyesha mwanao ashibe even for 2 years. Atakuwa ana akili nyingi darasani aje kukusaidia baadaye. Acha u bi show, umtunze mwanao. Kwanza, elewa kuwa umbo la kujaa humfanya hata mumeo akutamani. Nnani anatafuta hivyo vimbaombao?? Mvizie huyo mumeo mnapotembea njiani anavyowakodolea mimacho mkutanapo na majike yaliyo jazia jazia zile neema za Allah!

Usidanganyike, kama mmeo ni kicheche hafugiki kwa wewe kujilisha matango.
 
Wewe kwenu mlizaliwa wangapi?? Je, mamako naye alikula matikiti maji kuondoa gas tumboni?? Wazazi wako ni wazaliwa baada ya uhuru au kabla?
Huu uzungu wenu utawa cost siku sio nyingi.
Mwanamke lazima uelewe kuwa unapokwenda kubeba mimba hadi kumzaa mtoto unahitaji matunzo mema. Ndo maana umesema mwenyewe kuwa ulishindwa kuzaa kwa njia ya kawaida kumbe ilikuwa LISHE MGOGORO. Huwezi niambia kitu. Wapo wanawake "Wajinga" wanaosema hawataki kuzaa kwa njia ya kawaida bali kisu ati wanaogopa K itatepweta. What a nonsense. Muumba aliweka ufundi woote pale kiasi kwamba huwezi kutofautisha kati ya ambaye hajazaa na anayepigwa mijeledi kila siku.
To the point.
Mama mtoto, kula chakula kizuri ili upate maziwa ya kumnyonyesha mwanao ashibe even for 2 years. Atakuwa ana akili nyingi darasani aje kukusaidia baadaye. Acha u bi show, umtunze mwanao. Kwanza, elewa kuwa umbo la kujaa humfanya hata mumeo akutamani. Nnani anatafuta hivyo vimbaombao?? Mvizie huyo mumeo mnapotembea njiani anavyowakodolea mimacho mkutanapo na majike yaliyo jazia jazia zile neema za Allah!
Usidanganyike, kama mmeo ni kicheche hafugiki kwa wewe kujilisha matango.

Wewe utakua ni wale wenye vitambi
 
Wewe utakua ni wale wenye vitambi
Miye ni Me kubwa tu lakini mwenye familia na mke ambaye nampenda kama alivyo. Macho yangu yakienda nje huwa nachunguza kuwa nilivutwa na nini halafu naenda kukiongeza pale kwangu. I really hate slim, skinny women. Natamani nikimshika, makucha yangu yabonyee kwenye nyama
 
[emoji28][emoji28][emoji28] hamna mkuu kama atalifunga vizuri ndani ya miezi mitatu litakua sawa tu.
Nikiwa thieta nasubiri operation pale MNH kuna mama aliletwa kwa emergence mshono umeachia baada ya kufunga tumbo. Amefunikwa lile shuka la kijani limeloa damu chepe chepe. Dr wangu akawapa maelekezo wale madaktari wanafunzi kuwa wamfanyie nini sijui....

Aisee niliogopa. Mie tumbo la operation sifungi,napunguza tu kula na kunywa maji moto tu basi.
 
Back
Top Bottom