mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
Awe anajitambua na kukubali ushauri kama hivi, mtu mwenyewe anang'ang'ana na vyakula vya mafuta. Na alishaambiwa tangu wakati anachumbiwa kuhusu umbile lake alimaintain vilevile hata kama akijifungua matokeo yake duuuhNi kweli kabisa mkuu yaani ukiajichia kidogo tu unakua na mwili wa ajabu sana
Lakini bado hajachelewa ana uwezo wa kufanya mazoezi na akapungua vizuri tu ila asitumie yale madawa ya kujipunguza.